The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Iko wapi? 😜😜Kuna ile kitu ya deputy attoney general inyojengwa sasa ni nouma, achana na vituo jumuhishi vya kutolea haki, Mwanza ni fire fire.
Iko wapi? 😜😜Kuna ile kitu ya deputy attoney general inyojengwa sasa ni nouma, achana na vituo jumuhishi vya kutolea haki, Mwanza ni fire fire.
Unataka adi picha au video? Inajengwa tena palepele buswelu jirani na jengo la mahakama la kutolea haki, sasa hilo dude lipo floor ya tatu....tulia dozi ikuingie.Iko wapi? 😜😜
Dozi iniingiaje wakati hiyo miradi itajengwa Nchi nzima?Unataka adi picha au video? Inajengwa tena palepele buswelu jirani na jengo la mahakama la kutolea haki, sasa hilo dude lipo floor ya tatu....tulia dozi ikuingie.
Kwanini wameanza na mwanza?Dozi iniingiaje wakati hiyo miradi itajengwa Nchi nzima?
Eti ushuzi unaoitwa Kahama.....Mi naona Mwanza ingetolewa tu kwenye hii battle maana Mwanza ni next level kuliko miji yote inayoongelewa humu
Battle ingekuwa Njombe, Iringa na Songea vs Bukoba, Musoma, Geita, Simiyu na huo ushuzi unaoitwa Kahama![]()
Lhi shinhu kahamaMi naona Mwanza ingetolewa tu kwenye hii battle maana Mwanza ni next level kuliko miji yote inayoongelewa humu
Battle ingekuwa Njombe, Iringa na Songea vs Bukoba, Musoma, Geita, Simiyu na huo ushuzi unaoitwa Kahama![]()
...
Nimetupia kiwanda Cha maziwa na Chuo Kikuu umeshindwa kulipa unakimbilia kwenye maduka 🤣🤣Lhi shinhu kahama...
Njombe mkifikia huku ,. Itakuwa ni awamu ni 8 ya serikali.
Supermarket and other food /medical chain investment View attachment 2473163View attachment 2473165