The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Sasa wewe unabishana na sensa au? Wewe ndio tukuulize hao 290 imewatia wapi? Kahama au Chato?Eti watu 400k...iwanyee wapi.View attachment 2471946
Sasa wewe unabishana na sensa au? Wewe ndio tukuulize hao 290 imewatia wapi? Kahama au Chato?Eti watu 400k...iwanyee wapi.View attachment 2471946
Ko unataka kusema hadhi ya jiji mmefikia 2022Kama 2012 kulikuwa na Watu 400,000 Sasa 2022 wanashindwaje kufika 500k?



Ripoti si zipo mtandaoni leta figure mbona mm nimekuleteaSasa wewe unabishana na sensa au? Wewe ndio tukuulize hao 290 imewatia wapi? Kahama au Chato?
Iko wapi hiyo hospitali?Wakat mbeya mkijifariji na barabara ya njia nne mwanza kujengwa hospitali nyngne ya rufaa ya mkoa
Sina mda wa kujisumbua maana ukweli unaujua.Ripoti si zipo mtandaoni leta figure mbona mm nimekuletea
Kwani Mwanza mwaka 2005 ilikuwa na hadhi ya Jiji?Ko unataka kusema hadhi ya jiji mmefikia 2022![]()
Sio huna muda wa kujisumbua .. figureSina mda wa kujisumbua maana ukweli unaujua.
Ingia NBS utapata kila kitu.

Sas Kama mwezi Agust 2012 watu 385,000 ~400k by December 2012.Sio huna muda wa kujisumbua .. figureView attachment 2471979
July 2000 Mwanza ikawa JijiKwani Mwanza mwaka 2005 ilikuwa na hadhi ya Jiji?
Soma hii table hapa chini ujinga ukutokeSas Kama mwezi Agust 2012 watu 385,000 ~400k by December 2012.
Leta takwimu za Mwanza mwaka 2005



Wewe ndio fala,Mwanza imekuwa jiji mwaka 2000 ikiwa.na watu 342,000 tuu.
We endelea kugugumia maumivu....Kwanza Mwanza Jiji plus Ilemela haiwezi kuwa na Watu 1,245,000 hii Ni stori za kubumba..
Subiria NBS watatoa takwimu sahihi sio hizi swaga za kindezi.
Mkapa aligawa majiji kama zawadi ..na sio quality.....,, mwanza imefikia vigezo 2006 ..mbeya labda ndio mfikie mwaka huuWewe ndio fala,Mwanza imekuwa jiji mwaka 2000 ikiwa.na watu 342,000 tuu.
Mwaka 2005 ilikuwa na Watu 460,000 Sasa mbona ilikuwa Jiji bila kukidhi kiwango Cha watu 500k?
Ulichokuwa unabisha Ni Nini hasa?



Nyamagana ndio mdudu gani? Uwanja au?We endelea kugugumia maumivu....
nyamagana Ina watu 520k+ ...
Aisee ,,,hivi wew upo Tanzania kweliNyamagana ndio mdudu gani? Uwanja au?

Kale Kajengo ka Mahakama mlikuwa mnalingia kujengwa na Ruvuma pia..
I told you kwamba plan Ni kujenga Mikoa yote so kutangulia sio kufika 👇