The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Igawa
Mbeya inajulikana nchi nzima na Duniani kote .kuwa ni zizi linaloitwa jijiHizi ndio Habari Haters wa Mbeya wakizisikia wanataka kuharisha.
Kunywa maji baridi kabla ya kusikiliza hii clip

Mbeya inajulikana nchi nzima na Duniani kote .kuwa ni zizi linaloitwa jiji
Sio Mimi ila ni wadau mbalimbali wanoijua mbeya vizuri View attachment 2471853
Sio mim ..View attachment 2471860
Sasa hao wote na wewe mna tofauti gani?Jiji la mwisho Kwa usafi View attachment 2471887
Sasa hao wote na wewe mna tofauti gani?
Wote hamjui vigezo vya Jiji ,
Wanaozingumzia Slum labda Kama hawajawahi fika Mwanza au Dar maana mauchafu ya slums za huko huwezi kuta Mbeya..
Mwisho waambie huko kwenye Majiji Yao ukiacha Dar na Dom unafuata Mbeya kwa kuwa na dual carriage way ya zaidi ya km 32 Katikati ya Jiji.







Kigezo kipi ambacho haijakidhi?
Endelea kujifarijiSasa hao wote na wewe mna tofauti gani?
Wote hamjui vigezo vya Jiji ,
Wanaozingumzia Slum labda Kama hawajawahi fika Mwanza au Dar maana mauchafu ya slums za huko huwezi kuta Mbeya..
Mwisho waambie huko kwenye Majiji Yao ukiacha Dar na Dom unafuata Mbeya kwa kuwa na dual carriage way ya zaidi ya km 32 Katikati ya Jiji.

kasafishe mitaa kwanzaPopulation..Kigezo kipi ambacho haijakidhi?
Mbeya kwa Sasa Ina Idadi ya watu wangapi?Population..
Huoni population...hyo Iko chini ya laki 5Kigezo kipi ambacho haijakidhi?
Leta figureMbeya kwa Sasa Ina Idadi ya watu wangapi?
Kama 2012 kulikuwa na Watu 400,000 Sasa 2022 wanashindwaje kufika 500k?Huoni population...hyo Iko chini ya laki 5
Kwani Mwanza wakati inatangazwa ilikuwa na Watu 500k? Iwatoe wapi?Leta figure
Na unambie imetangazwa kuwa jiji mwaka Gani
Eti watu 400k...iwanyee wapi.Kama 2012 kulikuwa na Watu 400,000 Sasa 2022 wanashindwaje kufika 500k?