Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Igawa
20230105_212732.jpg
20230105_212735.jpg
20230105_212738.jpg
 
Watu wa mbeya ... kumbe mbeya pazuri hivi na mlikuwa kimya...sijapenta hii tobia
PSX_20230107_114149.jpg
 
Mbeya inajulikana nchi nzima na Duniani kote .kuwa ni zizi linaloitwa jiji
Sio Mimi ila ni wadau mbalimbali wanoijua mbeya vizuri View attachment 2471853
Tofauti ya kahama na mbeya ..ni viazi mviringo tu
nunueni magari kwanzaView attachment 2471863
Jiji la mwisho Kwa usafi View attachment 2471887
Sasa hao wote na wewe mna tofauti gani?

Wote hamjui vigezo vya Jiji ,

Wanaozingumzia Slum labda Kama hawajawahi fika Mwanza au Dar maana mauchafu ya slums za huko huwezi kuta Mbeya..

Mwisho waambie huko kwenye Majiji Yao ukiacha Dar na Dom unafuata Mbeya kwa kuwa na dual carriage way ya zaidi ya km 32 Katikati ya Jiji.
 
Sasa hao wote na wewe mna tofauti gani?

Wote hamjui vigezo vya Jiji ,

Wanaozingumzia Slum labda Kama hawajawahi fika Mwanza au Dar maana mauchafu ya slums za huko huwezi kuta Mbeya..

Mwisho waambie huko kwenye Majiji Yao ukiacha Dar na Dom unafuata Mbeya kwa kuwa na dual carriage way ya zaidi ya km 32 Katikati ya Jiji.

Ni Lini mbeya imefikia hivyo vigezo
PSX_20230107_125409.jpg
20230107_113211.jpg
 
Sasa hao wote na wewe mna tofauti gani?

Wote hamjui vigezo vya Jiji ,

Wanaozingumzia Slum labda Kama hawajawahi fika Mwanza au Dar maana mauchafu ya slums za huko huwezi kuta Mbeya..

Mwisho waambie huko kwenye Majiji Yao ukiacha Dar na Dom unafuata Mbeya kwa kuwa na dual carriage way ya zaidi ya km 32 Katikati ya Jiji.
Endelea kujifariji kasafishe mitaa kwanza
20230107_112920.jpg
 
Back
Top Bottom