Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mbona unarudia vijengo vile vile
Vipya vya Mwanza na Kahama viko wapi?

Mbeya Tena 👇
20230105_130013.jpg
Screenshot_20230105-213231.png
Screenshot_20230105-213240.png
Screenshot_20230103-195738.png
Screenshot_20230105-213208.png
20230106_070428.jpg
 
Sunk nimeona nikuulize tu kwanini unapenda kupost sana magari kuliko vitu vingine vya msingi?
Wewe Ni mgeni wa majukwaa ya Ligi,ingia hata jukwaa la Dar vs Nairobi utapata jibu..

Kule ukiacha mabasi,watu wanashindania magari binafsi,vyeti vyao binafsi nk 😁😁.

So tulia tukuoneshe chuma mpyaaa za Kusini naona vile vimachungwa vya Ally's mnavyolingia vimewashika ushamba😜😜

Alama ya kitambaa chekundu huko China Ni Ishara ya upendo, Mwekezaji hufanya hivyo kila anapoleta chuma mpya.

Mwisho huwa napenda kuwakera haters wa Nyanda za Juu Kusini ,whenever kampuni mpya ikianzisha route au kuleta bus jipya lazima nikukere👇
20230106_223253.jpg
20230106_223152.jpg
20230106_223149.jpg
 
Kale Kajengo ka Mahakama mlikuwa mnalingia kujengwa na Ruvuma pia..

I told you kwamba plan Ni kujenga Mikoa yote so kutangulia sio kufika 👇

 
Wewe Ni mgeni wa majukwaa ya Ligi,ingia hata jukwaa la Dar vs Nairobi utapata jibu..

Kule ukiacha mabasi,watu wanashindania magari binafsi,vyeti vyao binafsi nk 😁😁.

So tulia tukuoneshe chuma mpyaaa za Kusini naona vile vimachungwa vya Ally's mnavyolingia vimewashika ushamba😜😜

Alama ya kitambaa chekundu huko China Ni Ishara ya upendo, Mwekezaji hufanya hivyo kila anapoleta chuma mpya.

Mwisho huwa napenda kuwakera haters wa Nyanda za Juu Kusini ,whenever kampuni mpya ikianzisha route au kuleta bus jipya lazima nikukere👇View attachment 2471599View attachment 2471600View attachment 2471601
Ila uzi wenu wa dar vs nairobi wa kisenge sana😂😂😂😂😂 watu wanashindana mpaka msosi kwamba leo amekula nini, wanapiga picha adi za pesa kuahindana, wanashindania adi aina ya viatu, nilishangaa adi wanashindanisha wapi kuna malaya wazuri😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom