The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Katavi
Ata wao wana TAZARA, tunaomba serikali wawe fair tu kupeleka maendeleo na kanda ya ziwaWanapendelewa vipi ..hizo lami uchwara zisikutie wenge. .. miradi ya maana ni hiiView attachment 2462281View attachment 2462282
Barabara zinajengwa sehemu ambako kulikuwa remote ,na poor accebility....Kanda ya ziwa barabara za kuunganisha mikoa tayari Zina lami ..sa hv tuna deal na barabara za wilaya...Wivu
Barabara Zina impacts kubwa kwenye Uchumi kuliko hizo reli zenu..
Can't wait kuona Mbeya-Makete-Njombe imefunguka,
Mbeya -Rungwa-Singida/Tabora imefunguka,
Sumbawanga-Majimoto-Mlele-Tabora
Sumbawanga-Matai-Kasesya/Zambia Border,
Kyela-Ileje na Kasumulu & Isongole Borders zimefunguka.
Njombe/Kibena-Mlimba-Ifakara,
Na Kuna nyingine ilitangazwa ya kutoka Mafinga Hadi Njombe kupitia kiwanda Cha SPM Mgololo.
Zote hizo ziko underconstruction na bado
Kahama to geita nimuhimu xana kiuchumi wawahi kuijenga. Pia kahama to mwanza, kwasababu geita na mwanza kuna madini yakutosha,na selikali ya samia tayali imeamua kahama iwe mineral procesing hurb, kuna martpurpus refinary inajengwa ulipokua mgodi wa buzwagi,kwaiyo hizo barabara nimuhimu sana kwa kusafilisha makemikia hadi kahama.kwaajili ya kuchenjuliwa.Barabara zinajengwa sehemu ambako kulikuwa remote ,na poor accebility....Kanda ya ziwa barabara za kuunganisha mikoa tayari Zina lami ..sa hv tuna deal na barabara za wilaya...
Barabara zenye lami za zinazounganisha Kanda ya ziwa
Barabara ya shy town to Mwanza
Barabara ya musoma to mwanza
Geita to mwanza
Geita to bukoba via chato
Geita to kigoma via nyakanazi
Shinyanga to bukoba via chato
Shinyanga to kigoma via nyakanazi
Geita to rusumo via biharamulo
Geita to kabanga .
Bariadi to mwanza via lamadi
Bariadi to shinyanga via maswa
Bukoba to karagwe
Bukoba to Kampala via mutukula
Tinde to runzewe via kahama.
Barabara under construction
_kahama to geita via kakola
_shinyanga to maswa
Kahama to tabora border via ushetu
Barabara ambazo Tayari zinasubiri bajeti
-Mwanza to nyanguge via airport
-mkuyuni to nyakato
-kahama to mwanza via mwakitolyo
NB .LAMI KANDA YA ZIWA SIO KITU CHA KUULIZA .
Spika ni wanchinzima siombeya2 wala kusin2,ndio maana anaitwa spika wa bunge la jamhuli ya muungano wa tz, halikazalika mawazili na hata rais.hata wana kanda ya ziwa tuna jivunia kua na spika tulia.na ndomaana kahama wamempa mtaa unaitwa tulia.Zamu yenu ilishapita saizi huko Kanda ya Ziwa tunamalizia miradi aliyoshindwa Rais wenu,Miradi mipya subirieni Tactic tuu..
Tulitengwa Sana saizi tuko na Speaker..
Kwa taarifa yako sio tuu Mbeya na Songwe Bali hata Rukwa Kuna miradi 2 mikubwa ya TanRoads inaendelea nadhani Rais akija kufanya ziara za Katavi,Rukwa na Songwe atakuja kuweka Jiwe la Msingi..
Barabara aliyoizindua juzi kule Kyela Ina mita 11 upana na Ni superpaved ya grade ya Kimataifa ❤️❤️ bado njia za Miguu .Itaunganisha Hadi Songwe kupitia Ileje,yaani itaweza kutoka Malawi Hadi Tunduma bila kupita Mbeya..
Kwa taarifa yako sio tuu hao Manaibu Waziri Bali hata Chief wa TanRods Ni mtu wa Iringa.
Masikini unahangaika mdogo wangu. ...Kikomo chenu ni huu mradi

Ndio maana mnakuwa maskini tatizo mnapapafikia vitu viwivyo na maana kwenye Maisha yenuMasikini unahangaika mdogo wangu. ...Kikomo chenu ni huu mradiView attachment 2462592
Tutolee ushamba wako hapa ...Duniani kote wanajenga na kuimprove mifumo Yao ya relli we unaongea nini hapa ...huo wivu peleka igurusi huko kwenye mashamba ya mpungaNdio maana mnakuwa maskini tatizo mnapapafikia vitu viwivyo na maana kwenye Maisha yenu
Wao wanafanya pale inapohitajika Wala sio sifa Kama huko kwa nyie wajingaTutolee ushamba wako hapa ...Duniani kote wanajenga na kuimprove mifumo Yao ya relli we unaongea nini hapa ...huo wivu peleka igurusi huko kwenye mashamba ya mpunga
Jitoe ufahamu tuuSpika ni wanchinzima siombeya2 wala kusin2,ndio maana anaitwa spika wa bunge la jamhuli ya muungano wa tz, halikazalika mawazili na hata rais.hata wana kanda ya ziwa tuna jivunia kua na spika tulia.na ndomaana kahama wamempa mtaa unaitwa tulia.
Barabara zinajengwa sehemu ambako kulikuwa remote ,na poor accebility....Kanda ya ziwa barabara za kuunganisha mikoa tayari Zina lami ..sa hv tuna deal na barabara za wilaya...
Barabara zenye lami za zinazounganisha Kanda ya ziwa
Barabara ya shy town to Mwanza
Barabara ya musoma to mwanza
Geita to mwanza
Geita to bukoba via chato
Geita to kigoma via nyakanazi
Shinyanga to bukoba via chato
Shinyanga to kigoma via nyakanazi
Geita to rusumo via biharamulo
Geita to kabanga .
Bariadi to mwanza via lamadi
Bariadi to shinyanga via maswa
Bukoba to karagwe
Bukoba to Kampala via mutukula
Tinde to runzewe via kahama.
Barabara under construction
_kahama to geita via kakola
_shinyanga to maswa
Kahama to tabora border via ushetu
Barabara ambazo Tayari zinasubiri bajeti
-Mwanza to nyanguge via airport
-mkuyuni to nyakato
-kahama to mwanza via mwakitolyo
NB .LAMI KANDA YA ZIWA SIO KITU CHA KUULIZA .
Mara ngapi unaambiwa Kanda ya ziwa imebeba robo ya uchumi wa taifa hili ..Wao wanafanya pale inapohitajika Wala sio sifa Kama huko kwa nyie wajinga
Endeleeni kujazana ujinga na kutiana moyo na mji wa kilugaluga kama songea.



