Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Ukileta vitu kama hii hapo sombweha ..ndo tutaacha kuicheka songela
Inachekesha sana kuona mtu anapatetea Kahama halafu anapaponda Songea
Ni msenge pekee anaweza fanya hivyo
Kahama



Ukileta vitu kama hii hapo sombweha ..ndo tutaacha kuicheka songela
Inachekesha sana kuona mtu anapatetea Kahama halafu anapaponda Songea
Ni msenge pekee anaweza fanya hivyo



Hiyo reli inakuja kufanya Nini huko? Kubeba samaki au? 🤣🤣Mara ngapi unaambiwa Kanda ya ziwa imebeba robo ya uchumi wa taifa hili ..
Mara ngapi unasoma na kuambiwa Kanda ya ziwa inatoa asilimia 95 ya dhahabu na madini ya Vito ya nchi hii
Mara ngapi unasoma Kanda ya ziwa ina watu takribani theluthi 1 ya watu wote nchini
Mara ngapi unaambiwa Kanda ya ziwa inatoa asilimia 95 ya export ya samaki nchini
Mara ngapi unaambiwa Kanda ya ziwa ni lango na hub ya nchi zote za Kanda ya ziwa ..
Be careful bro ....
Huo mradi ni kuifungua nchi kwenda kwenye fursa za kiuchumi.
Kahama ujenzi unaendelea Kwa kasi ..


Utajua hujui..mshamba wewHiyo reli inakuja kufanya Nini huko? Kubeba samaki au?![]()


Vijumba Kama hivi size yake Ni Chunya 👇Kahama ujenzi unaendelea Kwa kasi ..
Mbulu suburbs View attachment 2462657View attachment 2462658View attachment 2462660
Hyo chunya ikapambane na shunu huko
We kenge wa nyanda za juu kusini unataka kila mtu apende limji la kifala kama songea.
Inachekesha sana kuona mtu anapatetea Kahama halafu anapaponda Songea
Ni msenge pekee anaweza fanya hivyo
Ukiona hivi ujue Ni Maumivu ya wivu,Hakuna Mji wa kulinganisha na Songea huko kwa Maskini ukiacha Bukoba.We kenge wa nyanda za juu kusini unataka kila mtu apende limji la kifala kama songea.
Kila siku tunakwambia hko sisi hatuna shida nako TAZARA ipo Bomba la mafuta lipo ziwa lipo Sasa Cha kutuzid ni Nini zaidi ya sisi kuwa zidi nyie maana saiz huku lami zimemwagila mzee tayari mikoa inaenda kuwa busy mara mbili yake mfano Barabara ya songea road kutoka makambako hadi msumbiji saiz inakuwa lami yote ambayo ni km 417 sawa na morogoro to makambako mwingiliano unaenda kuongezeka zaidi bado makete had mbeya afu kyera hadi kiwira bandarin Kuna njombe hadi ludewa kwenye madini inaendelea kujengwa bado ya lupembe ko hku soon shida ya Barabara Inakuwa haipo wilayo zote wame link kwa lami mzee na nchi jiran ko saiz mabasi ya kwenda msumbiji na baadhi ya maeneo ya malawi yatakuwa yanapita songea road na siku moja yanatoboa mzeeMasikini unahangaika mdogo wangu. ...Kikomo chenu ni huu mradiView attachment 2462592
Hilo jengo mbona Lina wa zuzua Sana nyie watu wa kahama hadi mna his maeneo mengine hivyo vitu havipo mzee project za mtindo huo zipo za kutosha za finishing za kuweka kioo zipo.za kuzidi mzee soon tutakupa brand new project za mfumo huo ndo ujue nyanda za juu kusini saiz pesa inaongeaUkileta vitu kama hii hapo sombweha ..ndo tutaacha kuicheka songela
KahamaView attachment 2462650
View attachment 2462651View attachment 2462652![]()