Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hivi aliyeita mbeya green zilikuwa zinamtosha kweli??
Una Shaka na Hilo? This is Mbeya 👇
20221125_083717.jpg
20221125_080530.jpg
20221125_080533.jpg
1670643629572.jpg
1670643675510.jpg
1670643774863.jpg
1670643782045.jpg
1670643791582.jpg
1670643811713.jpg
1670644034660.jpg
1670644124586.jpg
1670644164350.jpg
1670644172114.jpg
1670644184253.jpg
20221106_072512.jpg
 
Vyuo Kama hivi huwezi bikuta kwenye Mikoa ya washamba 😆😆

VETA Rukwa 👇
Screenshot_20221218-181216.png
 
Kwa hiyo niliyoquote ni wapi, au tukubaliane mbeya ni nusu green na nusu mpauko
Hilo Ni eneo jipya la makazi miti sio mingi,hata hivyo greenery ya Mbeya iko kwenye milima inahozunguka Jiji inakuwa Kama vile inaleta shadow.

Mwisho Mbeya sio Bukoba kwamba inapokea mvua karibu mwaka mzima Bali msimu mmja ,kiangaza majani hukauka na miti ku shedoff trees.

Ila ukitaka ukijani mwaka mzima na mvua Hakuna kukata Basi karibu Rungwe hakunaga kiangazi huko.
 
Hilo Ni eneo jipya la makazi miti sio mingi,hata hivyo greenery ya Mbeya iko kwenye milima inahozunguka Jiji inakuwa Kama vile inaleta shadow.

Mwisho Mbeya sio Bukoba kwamba inapokea mvua karibu mwaka mzima Bali msimu mmja ,kiangaza majani hukauka na miti ku shedoff trees.

Ila ukitaka ukijani mwaka mzima na mvua Hakuna kukata Basi karibu Rungwe hakunaga kiangazi huko.
Of course maana mbeya naijua nimekaa SAE mwaka mzima nimetembea mbeya kwa kiasi chake
 
Ndege zishaanza kujaa huku...wenye mkoa wao maskini kuliko yote ( kadri ya report za michongo za serikali inayosema watu wengi wa kagera hawapati hata laki kwa mwezi) lakin wanajaza ndege hadi zinazidiwa....wana majumba makubwa ya 50millions na kuendelea vijijini....watoto wao wanasoma shule nzr asilimia kubwa..hawajawahi omba msaada wa chakula....wanalisha nchi kwa maharage, ndizi, sukari, kahawa, vanilla, viazi nk nk...
1671611459989.jpg
 
Ndege zishaanza kujaa huku...wenye mkoa wao maskini kuliko yote ( kadri ya report za michongo za serikali inayosema watu wengi wa kagera hawapati hata laki kwa mwezi) lakin wanajaza ndege hadi zinazidiwa....wana majumba makubwa ya 50millions na kuendelea vijijini....watoto wao wanasoma shule nzr asilimia kubwa..hawajawahi omba msaada wa chakula....wanalisha nchi kwa maharage, ndizi, sukari, kahawa, vanilla, viazi nk nk...View attachment 2453543
Mkuu achana na mareport ya michongo ya Tanzania hii, ukweli unajulikana kamanda kwa ground.
 
Mkuu achana na mareport ya michongo ya Tanzania hii, ukweli unajulikana kamanda kwa ground.
Achana nao...mtu akiamini hizo report zao halafu akafika Bukoba vijijini, muleba, misenyi hadi huko karagwe atajiona mbuzi...
 
Achana nao...mtu akiamini hizo report zao halafu akafika Bukoba vijijini, muleba, misenyi hadi huko karagwe atajiona mbuzi...
Watoa report huwa wanapenda kuandaa za kukandamiza mikoa ya kanda ya ziwa bila data wala facts, watakuambia ruvuma na lindi na mingine kama hiyo ni mikoa tajiri.
 
Back
Top Bottom