Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Watu wa zizini mbeya ..mkiona hivi mnaumia sana eti eh
Mwanza to bukoba masaa 4 tu . express boat.vitu hivi kuviona nsalaga miaka buku
NB :sifanyi marketing,,unaruhusiwa kuignore
IMG-20221217-WA0000.jpg
 
Bomba la mafuta la tazama linaanza kusafirisha mafuta safi na TPDC wanajenga mantak makambako kwaajili ya ku supply mikoa ya nyanda za juu kusini na malawi
FB_IMG_16710751191154190.jpg
 
Back
Top Bottom