Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Watu wa zizini mbeya ..mkiona hivi mnaumia sana eti eh [emoji116][emoji116]
Mwanza to bukoba masaa 4 tu . express boat.vitu hivi kuviona nsalaga miaka buku [emoji28][emoji16][emoji16]
NB :sifanyi marketing,,unaruhusiwa kuignore
IMG-20221217-WA0000.jpg
 
Watu wa zizini mbeya ..mkiona hivi mnaumia sana eti eh [emoji116][emoji116]
Mwanza to bukoba masaa 4 tu . express boat.vitu hivi kuviona nsalaga miaka buku [emoji28][emoji16][emoji16]
NB :sifanyi marketing,,unaruhusiwa kuignoreView attachment 2450221
Hayo Ni makaburi Wala siwezi panda hata siku Moja na huwa mnazikwa humo ziwani a k a kaburi wazi
 
Hii ni pride of mwanza.the rock city ....huku purchasing power ni kubwa kuliko huko zizini mbeya .....ndo maana ndege zinafanya safari Kila siku asubuhi na Jioni [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2450071View attachment 2450072
Kama kampuni yako haipo hapa kwenye Orodha fahamu kwamba unasafiria mikokoteni na matela ya bajaji mnayoita mabasi
Screenshot_20221218-072244.png
 
Bomba la mafuta la tazama linaanza kusafirisha mafuta safi na TPDC wanajenga mantak makambako kwaajili ya ku supply mikoa ya nyanda za juu kusini na malawi
FB_IMG_16710751191154190.jpg
 
Back
Top Bottom