Hayo Ni makaburi Wala siwezi panda hata siku Moja na huwa mnazikwa humo ziwani a k a kaburi waziWatu wa zizini mbeya ..mkiona hivi mnaumia sana eti eh
Mwanza to bukoba masaa 4 tu . express boat.vitu hivi kuviona nsalaga miaka buku
NB :sifanyi marketing,,unaruhusiwa kuignoreView attachment 2450221
Kama kampuni yako haipo hapa kwenye Orodha fahamu kwamba unasafiria mikokoteni na matela ya bajaji mnayoita mabasiHii ni pride of mwanza.the rock city ....huku purchasing power ni kubwa kuliko huko zizini mbeya .....ndo maana ndege zinafanya safari Kila siku asubuhi na JioniView attachment 2450071View attachment 2450072
Watu wabinafsi wanazidi kufanya yao Bukoba.....
Tutasubiri serikali hadi lini...View attachment 2450386View attachment 2450387View attachment 2450388
Tembea uone...acha kujificha huko njombe...Hako Kakijiji kanatia huruma yaani Miaka yote kako kwenye giza Totoro kumbe?
It makes no sense,mtu gani binafsi anaweza weka miundombinu kwenye public utilities?.
Mkiacha kuishi kwenye mazizi huko mbeya mtapunguza makasirikoHako Kakijiji kanatia huruma yaani Miaka yote kako kwenye giza Totoro kumbe?
It makes no sense,mtu gani binafsi anaweza weka miundombinu kwenye public utilities?.
Hapa ndio zizini mbeyaMkiacha kuishi kwenye mazizi huko mbeya mtapunguza makasiriko View attachment 2450694
This is Mbeya we know 👇Mkiacha kuishi kwenye mazizi huko mbeya mtapunguza makasiriko View attachment 2450694
Kusini Vyuma Vipya Ni kawaida.Mkinga kashusha vyombo tena
View attachment 2450748
Kila siku unapost nyumba hizi hizi je hamna nyumba mpya au makazi bora huko??
Yapo mkuu haya hapa 👇Kila siku unapost nyumba hizi hizi je hamna nyumba mpya au makazi bora huko??
Hivi aliyeita mbeya green zilikuwa zinamtosha kweli??