Kahama VS Njombe/Mafinga

Kuna vitu vina umuhimu kwenye miji check hapo geita na kahama geita inaonekana
 

Morogoro kuwa junction imechochea Sana ukuaji hasa kwa kuzitumia vizuri fursa zilizopo
 
Kuna vitu vina umuhimu kwenye miji check hapo geita na kahama geita inaonekana
View attachment 2445467View attachment 2445475
Halafu Geita wanalilia kuhunganishwa na Kahama kwa barabara ya lami Wabunge Geita ‘wamlilia’ Rais Samia ujenzi barabara Geita-Kahama Aaiseee 😄 😄 😄 😄 😄 . Kahama ni zaidi ya hizo keep left, na hiyo miundo mbinu itafuata Kahama yenyewe serikali ipende isipende kama vile mabank yanavyopigana vikumbo kutafuta fursa Kahama,
 
Miji inayokua kutokana na kuwepo kwa junction zinazo unganisha na TAZAM high way hapo ni makambako na morogoro
 
Nilikuwa sijapitia uzi wa dar vs Nairobi, yaani nacheka peke yangu mbeya inavyopekenyuliwa😂😂
 
Nilikuwa sijapitia uzi wa dar vs Nairobi, yaani nacheka peke yangu mbeya inavyopekenyuliwa😂😂

Hiyo ndio picha aliyoweka kwenye uzi wenu wa dar vs nairobi, wakamuuliza wakenya mbona mji hauna ata barabara za kupitisha pikipiki kwahiyo wanajenga wakiwa hawana hitaji la magari wala chombo chochote cha usafiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…