Kwani Mbeya mliambizana majengo mwisho 5f?Kuna mbuzi mmja alikuwa anasema kila Gorofa Ni la taasisi,Sasa haya magorofa Ni ya taasisi gani?
Sweet Mbeya π
View attachment 2443270View attachment 2443271View attachment 2443272View attachment 2443274View attachment 2443275View attachment 2443276View attachment 2443277View attachment 2443278View attachment 2443279View attachment 2443280View attachment 2443281View attachment 2443282
π¨π¨Wamekalia maneno na data za michongo, hapa watapita kimya
Udumavu uliosababishwa na lishe hafifu ilikuathiri toka utotoni, wenzako wanaleta picha real ww unaleta michoro.Ona Sasa umeshaanza kushikwa na kiwewe Cha chukiππππ.
Nimepost majengo zaidi ya 20 kutoka mtaa mmja sasa sijui unaweweseka na Nini ππ.
Naendelea kukuletea picha kutoka the same mtaa wa Iwambi/Ituka View attachment 2443197View attachment 2443198View attachment 2443199View attachment 2443200View attachment 2443201View attachment 2443202View attachment 2443203View attachment 2443204View attachment 2443205View attachment 2443206View attachment 2443207this time from sopesya company π
Michoro iko wapi wewe ng'ombeUdumavu uliosababishwa na lishe hafifu ilikuathiri toka utotoni, wenzako wanaleta picha real ww unaleta michoro.
Anza kuhesabu hapa chini πKwani Mbeya mliambizana majengo mwisho 5f?
Hawana CBD hao.Nikisema CBD ya Mbeya ni saw na Buzuruga
Umempiga na nyundo ya utosi πππππππππKwa hyo mnaongoza Kwa ignorance sio
Hawana CBD hao na bado linaitwa jiji! Hii serikali lazima ituambie walifikiria nini kuipa mbeya hadhi ya jiji?View attachment 2443273
View attachment 2443273
Guys tell me, nini maana ya CBD? coz hiyo mlioweka ni vijumba vya watu wa normal life kuishi
Nimeona ghorofa moja na soko la mwanjelwa jumla magorofa mawili.
Hapo mjini kati pamejaa makazi ya watu tena makazi duni katikati ya mji, na hamna commercial buildings, hamna hotels hamna kila kitu zaidi ya soko tu haya buana ila mlishazoea maisha yenu nyie watu wa green city.
Achana na hao chawa wa sisiemu(ccm) hawatakuwa na mchango wowote kwenye maendeleo ya kanda ya ziwa nao wanapigania ugali wa familia zao, tuendelee kupambana kwa maendeleo ya vizazi vyetu vijavyoπ€π€Kwny uchaguzi wa ccm juz wajumbe Zaid ya asilimia 75 wanatoka Kanda ya ziwa hyo ni indication kuwa Kanda ya ziwa inatoa viongozi bright na ndio inaamua mustakabali wa nchi
Kweli yule mkenya katu saidia sanaHauna kitu chochote hapo hizo ghorofa mbili unazorudia rudia mbona zinakuzuzua kuna nini hapo piga picha moja eneo zima sio nyumb moja moja, ila nashukuru kwasasa umeelewa kupost picha baada ya mkenya wa uzi wenu wa dar vs nairobi kukufundisha.
Hujawahi ishiwa excuses ππ.Hapo mjini kati pamejaa makazi ya watu tena makazi duni katikati ya mji, na hamna commercial buildings, hamna hotels hamna kila kitu zaidi ya soko tu haya buana ila mlishazoea maisha yenu nyie watu wa green city.
Acha uongo hapo ni KigomaMusoma/ Mara
View attachment 2415280
Hujawahi ishiwa excuses ππ.
Barabara zetu' huku Mbeya πView attachment 2443425View attachment 2443426View attachment 2443427View attachment 2443430View attachment 2443432View attachment 2443433View attachment 2443434View attachment 2443435View attachment 2443436View attachment 2443437View attachment 2443438View attachment 2443439View attachment 2443440View attachment 2443441View attachment 2443442View attachment 2443448View attachment 2443448View attachment 2443447
Highway zenu zimekaa unyama sana.Hujawahi ishiwa excuses ππ.
Barabara zetu' huku Mbeya πView attachment 2443425View attachment 2443426View attachment 2443427View attachment 2443430View attachment 2443432View attachment 2443433View attachment 2443434View attachment 2443435View attachment 2443436View attachment 2443437View attachment 2443438View attachment 2443439View attachment 2443440View attachment 2443441View attachment 2443442View attachment 2443448View attachment 2443448View attachment 2443447
Ruvuma ni Kanda ya Kusini, yaani kundi moja na Lindi na Mtwara, kiufupi kanda ya Kusini ina mikoa mitatuWe ndo hujui kitu .... southern eastern inahusisha mikoa ya mashariki kusini...hyo ruvuma Iko mashariki Gani ...
No excuse...songea ni nyanda za juu kusini
Hater gonna say no ππππ