Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Achana na matakwimu ya kijinga hayo kamanda wangu.Kaghorofa kamoja...HIV takwimu za sensa ,,,zilipotaja maghorofa 1000 walimaanisha mabanda au .maana hatuoni chochote
Achana na matakwimu ya kijinga hayo kamanda wangu.Kaghorofa kamoja...HIV takwimu za sensa ,,,zilipotaja maghorofa 1000 walimaanisha mabanda au .maana hatuoni chochote
Hapa duniani hakuna nchi ya cbd mbili ata new york au london haina cbd mbili acha porojo za kishambenga haya niambie hiyo dar ina cbd zipi hizo mbili.Huwa nakwambia Mara nyingi kwamba Mbeya Ni Kama Dar Ina CBD 2.
Mjini Sokomatola na Mafiat yote Hadi Mwanjelwa.
Sasa Kama Ni kamoja zile ulizomuwekea hapo zimetoka wapi? 😁😁.Kaghorofa kamoja...HIV takwimu za sensa ,,,zilipotaja maghorofa 1000 walimaanisha mabanda au .maana hatuoni chochote
Mji mzima hauna magorofa ya watu binafsi ukikuta ni gorofa basi ni shule kama sio shule ni chuo kama sio chuo ni soko kama sio soko ni mahospitali ya serikali huu mji ni ovyo kabisaaa.In addition to hiyo Ni hii hapa 👇View attachment 2442859View attachment 2442861View attachment 2442862
Picha moja angle mbalimbali pole sana sio kosa lenu ni uchumi wenu mdogo na kukosa exposure.Sasa Kama Ni kamoja zile ulizomuwekea hapo zimetoka wapi? 😁😁.
Huelewi hata unachoandika..
Mbeya is huge mzee na Wala haijasongamana Kama Mwanza..
Mwanjelwa 👇View attachment 2442868View attachment 2442869View attachment 2442870View attachment 2442871View attachment 2442872View attachment 2442873View attachment 2442874View attachment 2442875View attachment 2442876View attachment 2442877View attachment 2442878
Nimekuchoka maana hata huelewi.Naomba aerial view ya cbd yenu yote ya mbeya, na uniambie mecover maeneo gani? Huu mji umekaa kama mazingaombwe.
Wewe Ni zwazwa.Mji mzima hauna magorofa ya watu binafsi ukikuta ni gorofa basi ni shule kama sio shule ni chuo kama sio chuo ni soko kama sio soko ni mahospitali ya serikali huu mji ni ovyo kabisaaa.
Cbd ni central business district, kama hizo mwenge sijui kijitonyama mara wapi ni districts basi zinastahili kuwa ata cbd 50 dar, je kwa mwanza tuseme nyegezi, kirumba, buzuruga na buhongwa ni cbd kwasababu pamechangamka kibiashara.Nimekuchoka maana hata huelewi.
Posta kwa Dar Ni wapi?
Kariakoo unaitaje?
Kijitonyama?
Mwenge?
Hauna kitu chochote hapo hizo ghorofa mbili unazorudia rudia mbona zinakuzuzua kuna nini hapo piga picha moja eneo zima sio nyumb moja moja, ila nashukuru kwasasa umeelewa kupost picha baada ya mkenya wa uzi wenu wa dar vs nairobi kukufundisha.Wewe Ni zwazwa.
Haya Ni magorofa ya taasisi gani? 👇View attachment 2442883View attachment 2442884View attachment 2442886View attachment 2442887View attachment 2442888View attachment 2442890View attachment 2442891View attachment 2442892View attachment 2442893View attachment 2442894View attachment 2442895View attachment 2442896View attachment 2442897View attachment 2442899View attachment 2442900View attachment 2442901View attachment 2442902View attachment 2442903
Zipi nilizorudia rudia?Hauna kitu chochote hapo hizo ghorofa mbili unazorudia rudia mbona zinakuzuzua kuna nini hapo piga picha moja eneo zima sio nyumb moja moja, ila nashukuru kwasasa umeelewa kupost picha baada ya mkenya wa uzi wenu wa dar vs nairobi kukufundisha.
Hizo picha umeweka mara ngapi? Tena hizo hizo muda wote, naomba huweke neighbouhoid kali ya mbeya hapa kwa aerial view ukishindwa mbeya ikashindane na tandahimba.Zipi nilizorudia rudia?
Umeanza kuhamisha magoli Mara narudia picha Mara niweke neibourhood 😂😂.Hizo picha umeweka mara ngapi? Tena hizo hizo muda wote, naomba huweke neighbouhoid kali ya mbeya hapa kwa aerial view ukishindwa mbeya ikashindane na tandahimba.
Hamna kitu, huko ni mavumbi na nyumba za tope, umekalia kugoogle picha za milima ya igogo na mabatini za miaka ya 1999 utashindwa nini kuleta picha za isyesye mavumbini a.k.a matopeniUmeanza kuhamisha magoli Mara narudia picha Mara niweke neibourhood 😂😂.
Sina aerial photos za neibourhood za kule Ituka,Forest,Isyesye,Uzunguni,Veta Ikulu,Ivumwe,Iwambi,Tazara nk
Wenzio wa mbeyaUmeanza kuhamisha magoli Mara narudia picha Mara niweke neibourhood.
Sina aerial photos za neibourhood za kule Ituka,Forest,Isyesye,Uzunguni,Veta Ikulu,Ivumwe,Iwambi,Tazara nk









Hao wajinga na wewe mko kundi moja tuu ,aliyewaelewa anijulishe maana sielewi kabisa..
Huwezi kuwaelewa Hadi uvccm uiweke pembeniHao wajinga na wewe mko kundi moja tuu ,aliyewaelewa anijulishe maana sielewi kabisa..
Huyo mwingine anasema unashindwa na Sumbawanga Mara na Iringa Ila ukiwauliza unashindwa kwa lipi Hakuna majibu![]()
. massage sent and deliveredOna Sasa ulivyo punguani,hakuna anashindwa kuleta Bali photographer wa Mbeya ndio wanazungua.Hamna kitu, huko ni mavumbi na nyumba za tope, umekalia kugoogle picha za milima ya igogo na mabatini za miaka ya 1999 utashindwa nini kuleta picha za isyesye mavumbini a.k.a matopeni
Huwezi kuwaelewa Hadi uvccm uiweke pembeni. massage sent and delivered
Nyumba za kawaida zipi? Harafu hiyo picha ni ya zamani Sana Wala hapako hivyo Sasa hivi kwa taarifa yako..Cbd imejaa nyumba za kawaida kuliko commercial buildings hatari sana, ni bora nyumba bora kwenye cbd kuliko nyumba za tope katikati ya mji.
Tukusaidie na wew kifuta machozi ujifariji farijiNyumba za kawaida zipi? Harafu hiyo picha ni ya zamani Sana Wala hapako hivyo Sasa hivi kwa taarifa yako..
Mbeya imekosa photographer wanaoipenda Mbeya ndio maana wanashindwa kufanya updates ya Mara kwa Mara,wenye drone Ni Kama hawapo maana ndio wangepiga picha nzuri hasa za Mbeya neibourhoods.

