Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ushaanza excuse as normal...
Rukwa
Mbeya
Ruvuma
Iringa
Njombe
Songwe
Vs
Mwanza
Simiyu
Kagera
Geita
Shinyanga
Mara
Ruvuma haihesabiwi Nyanda za Juu bwashee hujui kitu.

Kwanza hata Iringa siku hizi inapata services zake Dom kuliko Mbeya maana Dom ndio jirani.
 
Wewe akili huna , kwenye hicho ki attachment hujaona surplus? Ndio maana mna njaa
Hyo surplus
Lake tuna surplus ya 1+milion tonnes tunakuwaje na njaa ...au hujui maana ya surplus ...kujitosheleza Kwa chakula kunapimwa na kipimo kijulikanacho kama SSR self sufficient ratio .ambapo ukiwa na zaidi ya 120 ratio Eneo Hilo linajitosheleza Kwa chakula ..ukanda wa ziwa una ratio ya 128 ..
 
Hyo surplus
Lake tuna surplus ya 1+milion tonnes tunakuwaje na njaa ...au hujui maana ya surplus ...kujitosheleza Kwa chakula kunapimwa na kipimo kijulikanacho kama SSR self sufficient ratio .ambapo ukiwa na zaidi ya 120 ratio Eneo Hilo linajitosheleza Kwa chakula ..ukanda wa ziwa una ratio ya 128 ..
Hapa umempiga za kichwaa
Secta zote alizokuq anajisifia mara uzalishaji wa mazao umempiga chini
 
Tanzania: Coastal Tanzania (Districts and Wards) - Population Statistics, Charts and Map
1668848827417.png


Kuundwa kwa Mkoa wa Katavi naimani Kanda ya Magharibi ipo njiani (Katavi/Kigoma na Tabora)
 
Tanzania: Coastal Tanzania (Districts and Wards) - Population Statistics, Charts and Map
View attachment 2420854

Kuundwa kwa Mkoa wa Katavi naimani Kanda ya Magharibi ipo njiani (Katavi/Kigoma na Tabora)
Kigoma ipo ukanda gani?
 
Na hizo ni report za BOT ..benki kuu sio platform uchwara
Utawasikia kanda ya ziwa ni dhahabu tu ndio inawabeba😂😂😂, ukiingia kwa ground unaona kanda ya ziwa inaongoza kwa kila kitu.
 
ADEM Mbeya Campus 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221118-125958.png
    Screenshot_20221118-125958.png
    88 KB · Views: 17
  • Screenshot_20221118-130052.png
    Screenshot_20221118-130052.png
    62 KB · Views: 19
Back
Top Bottom