Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ili jiji likamilike haya ni mambo ya muhimu si kujaza tu maghorofa mjini, na mwanza imetimiza haya, na sio park tu ina national park katikati ya jiji😍😍😍😍
Sasa kuwa na national ndio Nini hasa? Mwanza na Dom ambako Hakuna hata Kijani Wal hiyo National Park zaidi ya Bustani ya Chinangali,Lipi Ni Jiji Bora?

Mbeya Ina Bustani ya Jiji achilia mbali misitu iliyohifadhiwa inahozunguka Jiji,mbalizi Kuna Samba la Wanayamapori Ifisi,tafuta excuses nyingine.
 
Kwa hiyo kutokuwa na cbd ndio disorganised au ? 😁😁😁😁.

Kati ya Mwanza na Mbeya wapi Ni slums City? 😆😆😆😆.

Bullet train yenu hii hapa 👇
View attachment 2443113
Hii ni bullet train ya nyinyi wadanganyika na sio ya Mwanza, na wadanganyika wengi wamerundikana Dar, dodoma na morogoro zimeletwa kqa ajiri yao msiwe wajinga, sgr Mwanza itakamilika 2027 kwanini mabehewa yaletwe kipindi hiki?
 
Ni hobby tuu,waliopo wako busy na masuala ya kitalii..

Hizi picha hapa chini nilipiga Ituka na Iwambi Kama zingechukuliwa kwa drone ungeona bonge la neighborhood.

Na hapo nilipiga za underconstruction maana finished watu wamefunga ma CCTV camera utakamatwa 👇View attachment 2443115View attachment 2443116View attachment 2443117View attachment 2443118View attachment 2443119View attachment 2443120View attachment 2443121View attachment 2443122View attachment 2443123View attachment 2443124
Nimezoom hiyo picha ya juu nikaona nyumba za udongo kama zote hapo green city naon ilipaswa kuitwa desert city sio kwa ukame huo.
 
Sasa kuwa na national ndio Nini hasa? Mwanza na Dom ambako Hakuna hata Kijani Wal hiyo National Park zaidi ya Bustani ya Chinangali,Lipi Ni Jiji Bora?

Mbeya Ina Bustani ya Jiji achilia mbali misitu iliyohifadhiwa inahozunguka Jiji,mbalizi Kuna Samba la Wanayamapori Ifisi,tafuta excuses nyingine.
Tatizo sio lako bali ni kutokutembea na kutokuijua Mwanza ata hiyo mbeya haiwezi kuizidi Mwanza kwa ukijani, naomba huweke park ya jiji la mbeya hapa au recreation area za mbeya jiji.
 
Haupendezi au siyo? 😂😂😂😂.

Karibia ntakuwa Wade Maya mwenyewe nisajili blog yangu ili niwe nawapa vitu vikali kutoka Mbeya.

Bado tuko Ituka kule wanakaa kina General Mboma 👇View attachment 2443127View attachment 2443128View attachment 2443129View attachment 2443130View attachment 2443131View attachment 2443132View attachment 2443133View attachment 2443134View attachment 2443135View attachment 2443136
Hivi huwa mnapata mvua mm ngapi kwa mwaka nyie green city.
 
NI Sahihi upanuz ukikamilika watazifunga tu mfano saiz mkoa wa njombe wamefunga TAZAM ROAD wangingombe zimefungwa ukija makambako zimefungwa songea road na njombe
 
Hivi huwa mnapata mvua mm ngapi kwa mwaka nyie green city.
1200mm

Naendelea kukupa dozi za Mbeya,the same mtaa wa Ituka/ Iwambi bado 👇
IMG_20221016_084625_708.jpg
IMG_20221016_084604_934.jpg
IMG_20221016_100912_032.jpg
IMG_20221016_100741_608.jpg
 
Back
Top Bottom