Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Acha Makelele huu mradi ushafanyika na wakafanya aya maeneo kua accessible pia huu mwaka wamekuja na project Mpya Hakuna sehemu mwanza ikakosa Maji, uko Milimani wameshajenga sewage systems ambazo zipo almost maeneo yote. Niletee mkoa ambao unaizidi Mwanza kwa sewage systems au Maji, pia hayo maeneo zmejengwa ngazi kuyafanya maeneo kupitika. Usisahau Mwanza informal settlement yake ni Block na bati za kueleweka sio Tembe na Mabanda ya Ng'ombe ya uko Salanga. Nafkr unawaona ao watoto
View attachment 2439120
Sihitaji makelele huo mradi umeshaondoa mabanda ya nguruwe huko Sasa Ni nyumba Kali 😆😆😆😆
 
Naishi hapa sae Mbeya najua tuchowazidi Mwanza ni upikaji wa mdudu hapa Mbeya pazuri,vamponji,mama John,Sae na Moon dust mengineyo tunachangamsha group tu
Unaweza kuwa unaisha Sae hata Mbeya huijui vizuri umekariri kwamba Mbeya Ni humo along barabara kuu.

Kama hakipo tunachowazidi Mwanza na wewe unaifahamu Mwanza,umewahi ona Mbeya Imejaa mabanda ya nguruwe Kama yaliyoijaza Mwanza?

Mwanza Ina hata master plan kweli? Jiji zima 3/4 ya watu wanaishi kwenye mabanda afu unaongea Nini wewe jamaa? Au umepagawishwa na skyline ya vigkrofa vya pale Mjini Kati?

Waambie watu wa Mwanza wakuletee mitaa 2 tuu inayofanana na Forest na Iwambi achilia mbali hapo Sae.
 

Attachments

  • Screenshot_20221208-065648.png
    Screenshot_20221208-065648.png
    41.4 KB · Views: 8
Unaweza kuwa unaisha Sae hata Mbeya huijui vizuri umekariri kwamba Mbeya Ni humo along barabara kuu.

Kama hakipo tunachowazidi Mwanza na wewe unaifahamu Mwanza,umewahi ona Mbeya Imejaa mabanda ya nguruwe Kama yaliyoijaza Mwanza?

Mwanza Ina hata master plan kweli? Jiji zima 3/4 ya watu wanaishi kwenye mabanda afu unaongea Nini wewe jamaa? Au umepagawishwa na skyline ya vigkrofa vya pale Mjini Kati?

Waambie watu wa Mwanza wakuletee mitaa 2 tuu inayofanana na Forest na Iwambi achilia mbali hapo Sae.
Lete picha za forest na Iwambi
 

Attachments

  • 20221125_080533.jpg
    20221125_080533.jpg
    99.1 KB · Views: 7
  • 20221125_080530.jpg
    20221125_080530.jpg
    114.7 KB · Views: 7
  • 20221125_081216.jpg
    20221125_081216.jpg
    507.1 KB · Views: 7
  • IMG_20170813_082058.jpg
    IMG_20170813_082058.jpg
    30.5 KB · Views: 7
  • IMG_20170813_082102.jpg
    IMG_20170813_082102.jpg
    42.6 KB · Views: 7
  • DSC_6738.JPG
    DSC_6738.JPG
    16.4 KB · Views: 7
  • 2017-03-29.jpg
    2017-03-29.jpg
    23.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221208-145533.png
    Screenshot_20221208-145533.png
    333.4 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221208-145529.png
    Screenshot_20221208-145529.png
    66.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221208-145503.png
    Screenshot_20221208-145503.png
    198.9 KB · Views: 7
Bonaki Hotel 👇
 

Attachments

  • 2017-03-08.jpg
    2017-03-08.jpg
    33.8 KB · Views: 7
  • 2020-08-29.jpg
    2020-08-29.jpg
    18.5 KB · Views: 8
  • 20190316_120244.jpg
    20190316_120244.jpg
    13.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221208-150555.png
    Screenshot_20221208-150555.png
    280.4 KB · Views: 7
Watapita kimya kimya bila kusoma 😆😆

Al Saedy 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221207-204326.png
    Screenshot_20221207-204326.png
    182.1 KB · Views: 7
  • 20221207_204335.jpg
    20221207_204335.jpg
    162.2 KB · Views: 7
  • 20221206_123439.jpg
    20221206_123439.jpg
    120 KB · Views: 7
  • 20221205_224936.jpg
    20221205_224936.jpg
    119.2 KB · Views: 7
Unaweza kuwa unaisha Sae hata Mbeya huijui vizuri umekariri kwamba Mbeya Ni humo along barabara kuu.

Kama hakipo tunachowazidi Mwanza na wewe unaifahamu Mwanza,umewahi ona Mbeya Imejaa mabanda ya nguruwe Kama yaliyoijaza Mwanza?

Mwanza Ina hata master plan kweli? Jiji zima 3/4 ya watu wanaishi kwenye mabanda afu unaongea Nini wewe jamaa? Au umepagawishwa na skyline ya vigkrofa vya pale Mjini Kati?

Waambie watu wa Mwanza wakuletee mitaa 2 tuu inayofanana na Forest na Iwambi achilia mbali hapo Sae.
Iyo Forest Mpya na Ya Zamani znazidiwa na Forest ya Morogoro, Forest Mbeya inatupwa kuleeee na Nyakato National
 
🤣🤣🤣🤣 Hii ndio Forest inayoongelewa na Ndugu yenu yaani ni Igogo pure, means Uswazi Mwanza ni rich area Mbeya city, Forest Mbeya haiwezi kuwa Rich neighbourhood kwa Mwanza ni uswazi iliyochangamka
Kwenye mdomo uko vizuri ,ziko wapi picha za Mwanza?
 
Back
Top Bottom