Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Halafu wana kiwanda cha cement, lakezone hakuna kiwanda cha cement ila upuuzi huu haupoTazameni hizo nyumba aisee...
Ni aibu jiji kuwa na nyumba za udongo..
Halafu wana kiwanda cha cement, lakezone hakuna kiwanda cha cement ila upuuzi huu haupoTazameni hizo nyumba aisee...
Ni aibu jiji kuwa na nyumba za udongo..
Naona slums tu hapa...Sishangai ripoti ya ALAT mbeya ni jiji la mwisho Kwa usafi ...Kwa haya mabanda ni Halali kabisa.....mbeya haijawahi kuwa jiji by qualifications ni jiji by politics
Mitaa mbalimbali ya jiji ...Mara mia nimekaa milima ya mabatini,igogo ,au kigoto ,kumekaa kijanja kuliko hapaView attachment 2437030View attachment 2437032View attachment 2437033View attachment 2437034View attachment 2437035
Mbalizi mbeya
Umejua kumnyoooooshaMbeya ni aibu tupu ...ndo maana sijawahi ona Timu kubwa inachagua mbeya kama home ground...mji hauko comfortable ule .....
Hapa ndio kati kati ya mji wa mbeya ... iringa is far better than mbeya View attachment 2437049
Yaan 10km upo kijijini kabsansalaga unavyosema wew kumbe ni km 10 Toka mjini ndo Pako hivi dah...tunakosea sana kuilinganisha mbeya na mwanza ..km 10 ni nyegezi,igoma au ilemela.dah
.. Mungu utusamehe Kwa dhambi hii
View attachment 2437053View attachment 2437054
Hiyo ndio mbeya na maajabu yake, hizo ni nyumba grade one.Jamani izo Nyumba zipo town
Kwani zile za Town na hizi za nsalaga kuna utofauti?Jamani izo Nyumba zipo town
Uwezo tatizoHalafu wana kiwanda cha cement, lakezone hakuna kiwanda cha cement ila upuuzi huu haupo
Ndo content uliyobakizaAbood kaamua walau kuwafutia aibu Lake zone wapate japo semi Luxury.
Dar Mwanza
Dar Bukoba
Dar Mwanza


Musoma iko vizuri kushinda mbeya, mji umepangika, barabara lami zina Street lights, nyumba ni nzuri pia.
🤣🤣🤣🤣🤣Musoma ifike hapa kwa Sumbawanga kwanza,Naona Mwanza mnatafuta sapoti kwa Musoma Ila Mbeya hamuiwezi.👇
Hiyo Sumbawanga sasaMusoma ifike hapa kwa Sumbawanga kwanza,Naona Mwanza mnatafuta sapoti kwa Musoma Ila Mbeya hamuiwezi.👇
Sumbawanga sio level za kina Musoma hata siku Moja 👇Hiyo Sumbawanga sasa
Nsalaga iliyochangamkaHiyo Sumbawanga sasa
Hii ndo ile inaelekea Bukoba?Mwanza Mwanza Mwanza, jamaa anatujazia Kimbinyiko kwenye uzi tu
View attachment 2438540
Ndio yenyewe Boss, masaa matatu mpaka nne, unakuwa umefika Bukoba. Nauli sijajua bado