Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Aisee Bukoba kuna majengo aisee....Tatizo watu wengi wakifikia pale stendi ( ilivyo ya ovyo) wanaconclude kuwa Bukoba mjini ni pa kichovu...

Lakin in reality Bukoba Ndo mji wa pili kanda ya ziwa baada ya mwanza kwa wingi wa maghorofa...


Na hii manispaa ina mapato mengi tu...sema kuna ukwepaji mkubw wa kodi kwa wafanyabiashara wajanja na wahuni wa kihaya...
Juzi tu hapa Maduka zaidi ya 800 yamefungwa...hawalipi kodi wala hawana leseni...wakati wanabiashara kubwa tu...
images%20(8).jpg
images%20(10).jpg
images%20(11).jpg
images%20(12).jpg
bukoba-orient-hotel.jpg
images%20(18).jpg
images%20(14).jpg
images%20(19).jpg
victorious-perch-hotel.jpg
2021-03-13.jpg
images%20(13).jpg
images%20(15).jpg
 
Abood kaamua walau kuwafutia aibu Lake zone wapate japo semi Luxury.

Dar Mwanza
Dar Bukoba
Dar Mwanza
 

Attachments

  • Screenshot_20221206-123602.png
    Screenshot_20221206-123602.png
    210.2 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221206-123704.png
    Screenshot_20221206-123704.png
    194.2 KB · Views: 8

Musoma iko vizuri kushinda mbeya, mji umepangika, barabara lami zina Street lights, nyumba ni nzuri pia.

Musoma ifike hapa kwa Sumbawanga kwanza,Naona Mwanza mnatafuta sapoti kwa Musoma Ila Mbeya hamuiwezi.👇
 

Attachments

  • 🟢Muonekano_wa_juu_SUMBAWAANGA_Tanzania_,ona_maajabu_ya_Mji_huu_wa_pekee(480p).mp4
    52.5 MB
Back
Top Bottom