Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Naona mashamba tu .Vichekesho gani Sasa hapo? Hapo Kuna ushua gani wakati Ni mtaa tuu wa kawaida Jijini Mbeya?
Ingekuwa Ni Mwanza ndio pangekuwa pa kishua Sasa.
Mbeya Ni next level wewe![]()
Naona mashamba tu .Vichekesho gani Sasa hapo? Hapo Kuna ushua gani wakati Ni mtaa tuu wa kawaida Jijini Mbeya?
Ingekuwa Ni Mwanza ndio pangekuwa pa kishua Sasa.
Mbeya Ni next level wewe![]()
Istiqaama Secondary School Sumbawanga.Bukoba washaachana serikali siku hiz...tena hii ya CCM ? Ndo hovyo kabisa???
Watu wanajitegemea wenyew....na hii ndo faida ya kuwa na wasomi wengi na watu wengi wenye kipato cha kati....
Achana na serikali na takwimu zao za kupika kuwa kagera ni mkoa maskini....
Usafiri mpya wa Mwamza Bukoba....boat yenye kubeba watu zaidi 250...na inatumia masaa matatu...
View attachment 2441046View attachment 2441047
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Naona vipicha vilevile vya googleNunua miwani ya macho.
Mbeya![]()



Nishasema iringa is better than mbeyaNunua miwani ya macho.
Mbeya![]()






Unalingia makontena 😂😂.Endelea kujifariji tu na viglucose ..ila hapa dozi ya haijaisha ....kamata booster ya Pfizer biontech hapa ili uviko ukuishe kichwani mwako
Huku hamna vitu vya nsalaga
Dom to Rock City
View attachment 2441049View attachment 2441050View attachment 2441052View attachment 2441053View attachment 2441054View attachment 2441055
Wakati unaendelea kujitafutiza tupicha twa bus za michongo .. vidonge ni hv ,,,,dawa Mseto ya udumavuUnalingia makontena.
Buses looks like this![]()






ruti hii ina bux comfortable kuliko ruti nyingi,za masafa marefu hapo nsalaga 
Picha za Google Ni hizi hapa 😁😁😁😁Naona vipicha vilevile vya google![]()
Unqchagua Uzi,vibasi gani hivyo havina hata hadhi ?Wakati unaendelea kujitafutiza tupicha twa bus za michongo .. vidonge ni hv ,,,,dawa Mseto ya udumavu
Mwanza to tarimeruti hii ina bux comfortable kuliko ruti nyingi,za masafa marefu hapo nsalaga
View attachment 2441154View attachment 2441155View attachment 2441156View attachment 2441157View attachment 2441158
The city with incredible health care services..Unalingia makontena.
Buses looks like this![]()



Iringa kwa Mbeya Ni Kijiji Kama Vijiji vya Bukoba,Musoma na Kahama 🤪🤪
Nishakuambia daily kuwa mbeya is just a trash ...Unqchagua Uzi,vibasi gani hivyo havina hata hadhi ?
Mabasi huwa yanafanana hivi![]()




Sasa tunavuka Border..The city with incredible health care services..
Bugando transport in a classic and comfortable lux coach ..
ONLY IN MWANZAView attachment 2441176View attachment 2441177
Umeanza kuiba mabasi yetu 😂😂
Nimeamini kweli udumavu uliharibu akili yako ...wenzio tunakuletea end route..weww unaleta via ruti ... kama mko far above.leta bus zinazoishia mbeya .Sasa tunavuka Border..
Safiri Kati ya Dar-Mbeya-Tunduma na Harare.
Classic![]()







