Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
That is not seif plaza, isamilo hakuna jengo lolote linaitwa plazaKwa hiyo hako la seif plaza na jengo la Maji ndio limekuchanganya?
Njaa inasababisha unaandika pumba,nenda kale kwanza 👇
That is not seif plaza, isamilo hakuna jengo lolote linaitwa plazaKwa hiyo hako la seif plaza na jengo la Maji ndio limekuchanganya?
Njaa inasababisha unaandika pumba,nenda kale kwanza 👇
Linaitwaje? Hapo kwenye Hilo jengo sio mgeni unless niwe nimesahau jina nimewahi kuja kwa jamaa yangu mwanasheria hapo..That is not seif plaza, isamilo hakuna jengo lolote linaitwa plaza
Linaitwaje? Hapo kwenye Hilo jengo sio mgeni unless niwe nimesahau jina nimewahi kuja kwa jamaa yangu mwanasheria hapo..
Anyway This is Mbeya you are warmly welcome 👇
Achana na hao wahuni....Aibu yenu.
Soma hiyoo![]()
Ntajitahidi kubehave kk🙏🙏Mkuu tusifanye hivyo 🙏🙏🙏🙏🙏, usilipize kwa matusi, huyo sank ni kumzoea tu kamanda.
Hii kata inazidi CBD ya miji mingi TziniIsamilo haina kagorofa kamoja, isamilo ina ghorofa nyingi kuzidi CBD ya mbeya
View attachment 2436445
Sank anagoogle sana adi anajisahauThat is not seif plaza, isamilo hakuna jengo lolote linaitwa plaza
Mbalizi mbeya
Mbalizi Ni Moja ya Mji uliokua haraka Sana bila mipango Miji na matokeo yake ndio haya Sasa.
Mbalizi..mbeya yote nyumba ni za ajabu ..hamna ahueniMbalizi Ni Moja ya Mji uliokua haraka Sana bila mipango Miji na matokeo yake ndio haya Sasa.
Eti Mengi Sasa Kama Ni mengi si Mji wote ungeathirika sasaOngeza na majumba mengi ya tope kama unavyoona hapo wewe The Sunk Cost Fallacy 2
Nashukuru kamanda.Ntajitahidi kubehave kk🙏🙏
Inazidi adi cbd ya mbeya na ndugu zake njombe na tunduma.Hii kata inazidi CBD ya miji mingi Tzini
Mji huathirike mara ngapi?😛😛😛😛Eti Mengi Sasa Kama Ni mengi si Mji wote ungeathirika sasa
Tofauti na vibus vya mchongo..ukitizama background ya bus .hizo ni nyumba za makazi mapya mbeya..ni sawa na kusema kisesa , buhongwa, usagara.mji unakojengwa ,vimejengwa vijumba vya ajabu na vya kizamani...Eti Mengi Sasa Kama Ni mengi si Mji wote ungeathirika sasa




...

..







Huku sio uyole Ni nje ya Mji huko Nsalaga kwa mbele.Tofauti na vibus vya mchongo..ukitizama background ya bus .hizo ni nyumba za makazi mapya mbeya..ni sawa na kusema kisesa , buhongwa, usagara.mji unakojengwa ,vimejengwa vijumba vya ajabu na vya kizamani......
Kila siku tunawaambia purchasing power ya watu wa kusini Iko low hamuelewi..
Uyole kuelekea mlima nyokaView attachment 2436998