Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Mwanza utaijulia wapi wew ..komea mpanda huko ...huku hukuweziHuku sio uyole Ni nje ya Mji huko Nsalaga kwa mbele.
By the way hizo nyumba Ni nzuri kuliko Yale mauchafu ya Mwanza
Mwanza utaijulia wapi wew ..komea mpanda huko ...huku hukuweziHuku sio uyole Ni nje ya Mji huko Nsalaga kwa mbele.
By the way hizo nyumba Ni nzuri kuliko Yale mauchafu ya Mwanza
Unatfuta excuse...nsalaga hyo umbali wake ni sawa na buhongwa.. buhongwa huwezi Kuta vijumba vya masufuria kama hvyoHuku sio uyole Ni nje ya Mji huko Nsalaga kwa mbele.
By the way hizo nyumba Ni nzuri kuliko Yale mauchafu ya Mwanza


Hakika hii italeta mapinduzi makubwa sana ya internet jijini Mwanza😍😍😍😍Wakati mbeya mnatafakari vijumba vya mchongo..mwanza huduma ya mtandao inazidi kushika kasi ..baada ya kuiovertake dar kwenye speed ya internet..now we are connected toView attachment 2437012
Na wanapenda sana kujenga nyumba za udogo adi katikati ya mji, hakika mbeya ni likijiji likubwaaa lisiloeleweka.Sishangai ripoti ya ALAT mbeya ni jiji la mwisho Kwa usafi ...Kwa haya mabanda ni Halali kabisa.....mbeya haijawahi kuwa jiji by qualifications ni jiji by politics
Mitaa mbalimbali ya jiji ...Mara mia nimekaa milima ya mabatini,igogo ,au kigoto ,kumekaa kijanja kuliko hapaView attachment 2437030View attachment 2437032View attachment 2437033View attachment 2437034View attachment 2437035
Mbeya ni aibu tupu ...ndo maana sijawahi ona Timu kubwa inachagua mbeya kama home ground...mji hauko comfortable ule .....Na wanapenda sana kujenga nyumba za udogo adi katikati ya mji, hakika mbeya ni likijiji likubwaaa lisiloeleweka.
Utakufa kwa wivu, vile vichuguu vya mbeya unataka kuvilinganisha na nyumba bora za Mwanza, we endelea kujipa moyo ila sio makosa ya wana Mwanza bali ni juhudi zao za kupambania maisha ndio zimefanya Mwanza iwe mbali sana kwa mbeya.Huku sio uyole Ni nje ya Mji huko Nsalaga kwa mbele.
By the way hizo nyumba Ni nzuri kuliko Yale mauchafu ya Mwanza
Huku sio uyole Ni nje ya Mji huko Nsalaga kwa mbele.
By the way hizo nyumba Ni nzuri kuliko Yale mauchafu ya Mwanza


nsalaga unavyosema wew kumbe ni km 10 Toka mjini ndo Pako hivi dah...tunakosea sana kuilinganisha mbeya na mwanza ..km 10 ni nyegezi,igoma au ilemela.dah 
.. Mungu utusamehe Kwa dhambi hii
Ze grini site katika ubora wao wa kupaukiana utafikiri jiji lote limepakwa poda.
Ze grini site katika ubora wao wa kupaukiana utafikiri jiji lote limepakwa poda.




Nadhani ata singida wapo vizuri zaidi kimpango miji kuliko hili gulio la mbeya.Mbeya ni aibu tupu ...ndo maana sijawahi ona Timu kubwa inachagua mbeya kama home ground...mji hauko comfortable ule .....
Hapa ndio kati kati ya mji wa mbeya ... iringa is far better than mbeya View attachment 2437049
Nilizani ni 20km kumbe 10km unakutana vijiji vya wakina kajamba nani😂😂😂nsalaga unavyosema wew kumbe ni km 10 Toka mjini ndo Pako hivi dah...tunakosea sana kuilinganisha mbeya na mwanza ..km 10 ni nyegezi,igoma au ilemela.dah
.. Mungu utusamehe Kwa dhambi hii
View attachment 2437053View attachment 2437054
Alivyokuwa anajitetea eti huko ni nsalaga nje ya mji ..mi nikajua ni km 30 au hata 20 .kumbe km 10 ...umbali wa kahama town Hadi busoka ..unapata mijengo mikali tuNilizani ni 20km kumbe 10km unakutana vijiji vya wakina kajamba nani![]()



Hapa atakuja na mabus ....... tayari Nishajza kabati la mabus yote makali mwanza....nahakikisha hapati pa kuchomokeaNadhani ata singida wapo vizuri zaidi kimpango miji kuliko hili gulio la mbeya.

Ila nakubaliana na wewe hiyo mbeya ni jiji la michongoAlivyokuwa anajitetea eti huko ni nsalaga nje ya mji ..mi nikajua ni km 30 au hata 20 .kumbe km 10 ...umbali wa kahama town Hadi busoka ..unapata mijengo mikali tu![]()
Ukimbana kwenye mabasi hatakuwa na mbinu lazima atajisalimisha kwa kukimbia uzi😂😂😂😂😂Hapa atakuja na mabus ....... tayari Nishajza kabati la mabus yote makali mwanza....nahakikisha hapati pa kuchomokea![]()
Mnapaponda nsalaga wakati ndio kuna nyumba za kisasa😂😂Mzee wa Nsalanga kaka za utosi![]()
Mnapaponda nsalaga wakati ndio kuna nyumba za kisasa![]()



...nsalaga ndiko jiji linajengwa 


Tazameni hizo nyumba aisee...
Mbalizi mbeya