Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hako Ka Bukoba kweli Ni kakijiji kalikochangamka yaani 2km uko nje ya Mji?
Nan kakwambia hapo ni nje ya mji? Hapo ni karibu kabisa na bandari ya Bukoba ndo pawe nje ya mji...sema hilo eneo ni la viwanda...kuna viwanda vikubwa bunena zaidi ya vitano...
Kiwanda cha kahawa kikubwa kuliko vyote tz cha Tanica...
Kiwanda cha kahawa Bukop
Kiwanda cha kusindika kahawa amir hamza
Kiwanda cha majani ya chai YetuChai
Kiwanda cha maji bunena
Kiwanda cha maji asilia.....




Yes Bukoba sio mji mkubwa sana...lakin unajitosheleza kila kitu...isipokuwa stendi tu ya mabasi na soko la kisasa...

Lakin mji una shule za kutosha, maji ya bomba 98%, hospital nzr zaidi ya tano, uwanja wa ndege mzr tu, bandari kubwa.., barabara za lami karibu mitaa yote, na siku hiz barabara zake nyingi zina taa za barabarani...


Mji sio lazima usambae ovyo ovyo kama mbeya ilivyo kijiji kikubwa
 
Seminari kuu ya Ntungamo Bukoba...ninaambiwa seminari kuu kama hiz zipo tano tu tz nzima...moja wapo ni hii...

Tazameni mazingira wadau...kwa nini mtu husiwe padre
Screenshot_20221203-124520.jpg
Screenshot_20221203-123437.jpg
Screenshot_20221203-123442.jpg
Screenshot_20221203-123610.jpg
 
Dar-Mbeya..

Imani Plus-Believer 👇
 

Attachments

  • 20221202_055453.jpg
    20221202_055453.jpg
    35.9 KB · Views: 4
  • 20221202_052838.jpg
    20221202_052838.jpg
    99.3 KB · Views: 4
  • 20221202_062853.jpg
    20221202_062853.jpg
    46.1 KB · Views: 4
  • 20221203_224233.jpg
    20221203_224233.jpg
    119.1 KB · Views: 4
  • 20221204_132446.jpg
    20221204_132446.jpg
    189.8 KB · Views: 4
  • 20221204_132225.jpg
    20221204_132225.jpg
    365 KB · Views: 4
  • 20221204_132000.jpg
    20221204_132000.jpg
    89.9 KB · Views: 4
  • 20221204_131828.jpg
    20221204_131828.jpg
    78.5 KB · Views: 4
  • 20221204_131810.jpg
    20221204_131810.jpg
    282.9 KB · Views: 4
  • 20221204_131756.jpg
    20221204_131756.jpg
    239.4 KB · Views: 4
  • 20221204_131741.jpg
    20221204_131741.jpg
    134.7 KB · Views: 4
  • 20221204_131655.jpg
    20221204_131655.jpg
    52.7 KB · Views: 5
Sasa mtu anayejielewa na mwenye biashara zake anaishije Kijijini? Kama Ni mababu watapanda vipi kwenye Gorofa na uzee?
Kwan huwezi kuishi vijijini ukafanya biashara?

Wazee wengi sana wa kihaya wakistaafu kazi zao wanarudi vijijini bukoba kufanya zero grazing za ng'ombe wa frijeni na kuuza maziwa...wanaweka vitega uchumi kama vifamasi na vidispensary...

Mimi mwenyew nikiwa mzee najirudia zangu huko Bukoba baada ya kujenga huko nifanye shughuli ndogo ndogo za uzee...
 
Mwekezaji hupeleka gari zaidi ya 2 Kwenye kila Mji hapa hivyo kufanya zaidi ya Bus 24 kwenda na kurudi Dar kutokea Nyanda za Juu Kusini kila siku.

Songea 2
Kyela 2
Sumbawanga 2
Bwawa 2
Tunduma 3
Mbeya 4 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221202-055018.png
    Screenshot_20221202-055018.png
    194.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221202-055327.png
    Screenshot_20221202-055327.png
    118.7 KB · Views: 5
  • 20221202_055515.jpg
    20221202_055515.jpg
    54.1 KB · Views: 4
  • 20221202_055209.jpg
    20221202_055209.jpg
    126.2 KB · Views: 4
  • 20221202_055030.jpg
    20221202_055030.jpg
    424.8 KB · Views: 4
  • 20221202_054022.jpg
    20221202_054022.jpg
    68.3 KB · Views: 4
  • 20221202_053319.jpg
    20221202_053319.jpg
    418.9 KB · Views: 4
  • 20221202_052738.jpg
    20221202_052738.jpg
    56.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221203-084013.png
    Screenshot_20221203-084013.png
    201.1 KB · Views: 5
Kwan huwezi kuishi vijijini ukafanya biashara?

Wazee wengi sana wa kihaya wakistaafu kazi zao wanarudi vijijini bukoba kufanya zero grazing za ng'ombe wa frijeni na kuuza maziwa...wanaweka vitega uchumi kama vifamasi na vidispensary...

Mimi mwenyew nikiwa mzee najirudia zangu huko Bukoba baada ya kujenga huko nifanye shughuli ndogo ndogo za uzee...
Hizo Ni hulka za watu wanaopenda white collar jobs ambazo ndio sifa za nyie wahaya.

Wafanyabiashara hawana kitu inaitwa kustaafu.
 
Dar-Njombe.

Luwinzo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221203-083818.png
    Screenshot_20221203-083818.png
    204.1 KB · Views: 4
  • 20221203_083829.jpg
    20221203_083829.jpg
    494.8 KB · Views: 4
  • 20221203_083832.jpg
    20221203_083832.jpg
    421.1 KB · Views: 4
  • 20221204_131553.jpg
    20221204_131553.jpg
    84.3 KB · Views: 4
Dar-Tunduma.

Abood Bus Very Luxury👇
 

Attachments

  • 20221203_083037.jpg
    20221203_083037.jpg
    416.1 KB · Views: 4
  • 20221203_083056.jpg
    20221203_083056.jpg
    344.8 KB · Views: 4
  • 20221203_083041.jpg
    20221203_083041.jpg
    347.1 KB · Views: 4
  • 20221203_083046.jpg
    20221203_083046.jpg
    420.6 KB · Views: 4
Hizo Ni hulka za watu wanaopenda white collar jobs ambazo ndio sifa za nyie wahaya.

Wafanyabiashara hawana kitu inaitwa kustaafu.
Hao wafanyabiashara wasiostaafu ni wachuuzi.
.


Nyie ni wachuuzi tu..wafanya biashara...


We need startups especially technological and technical startups...kama wahaya wengi wanavyofanya....
Tunataka viwanda vinavyomanufacture na kuprocess mazao ya hapa nchini....


Naona unapost mabus ya wachina hapa...

Kwa nini hasiwepo mtu ya njombe mmoja akaanzisha kiwanda cha kuunganisha mabus na kuunda mabus yetu hapa nchini...


Angalia wafanyabiashara wakubwa wa kihaya...wengi wapo kwenye hisa,technology, health, education business, nk nk



Uchuuzi sio biashara mkuu...ni kuwatajirisha hao wachina sijui wahindi nk...
 
Afu anakuja mtu anasema kwao Kuna Luxury Bus ukisema zionueshe anatimua mbio 🏃🏃

Dar-Mbeya

Achimwene Safaris 👇
 

Attachments

  • 20221203_132922.jpg
    20221203_132922.jpg
    138.7 KB · Views: 4
  • 20221203_132900.jpg
    20221203_132900.jpg
    231 KB · Views: 4
  • 20221202_052202.jpg
    20221202_052202.jpg
    98 KB · Views: 4
  • 20221202_052217.jpg
    20221202_052217.jpg
    131.1 KB · Views: 4
  • 20221203_221413.jpg
    20221203_221413.jpg
    101.4 KB · Views: 4
  • 20221203_223823.jpg
    20221203_223823.jpg
    333.5 KB · Views: 4
  • 20221203_222613.jpg
    20221203_222613.jpg
    123.4 KB · Views: 4
  • 20221204_131530.jpg
    20221204_131530.jpg
    327.1 KB · Views: 4
  • 20221204_131516.jpg
    20221204_131516.jpg
    95.6 KB · Views: 4
Naendelea kukichafua..

ABC Upper Class
Dar-Iringa
Dar-Mafinga
Dar-Njombe
Dar-Mbeya
👇
 

Attachments

  • 20221203_220417.jpg
    20221203_220417.jpg
    374.1 KB · Views: 5
  • 20221203_220347.jpg
    20221203_220347.jpg
    56 KB · Views: 5
  • 20221203_220435.jpg
    20221203_220435.jpg
    134.4 KB · Views: 5
  • 20221202_052843.jpg
    20221202_052843.jpg
    348.1 KB · Views: 5
  • 20221203_224217.jpg
    20221203_224217.jpg
    133.2 KB · Views: 5
  • 20221203_223945.jpg
    20221203_223945.jpg
    107.5 KB · Views: 6
  • 20221203_222420.jpg
    20221203_222420.jpg
    125.5 KB · Views: 5
  • 20221203_220347.jpg
    20221203_220347.jpg
    56 KB · Views: 5
  • 20221204_132134.jpg
    20221204_132134.jpg
    495.8 KB · Views: 4
  • 20221204_111615.jpg
    20221204_111615.jpg
    28.8 KB · Views: 4
Biashara ya mbao makambako
maxresdefault(0).jpg
 

Attachments

  • 94142112.jpg
    94142112.jpg
    79.9 KB · Views: 5
Dah mwenyewe nimecheka Sana wakati saiz miji mingi ni kuanzia km kumi na point ndo unakua nje ya mji
Mji au unplanned settlements?..miji inakua ovyo ovyo ndo inapanuka panuka hovyo, huku huduma za kijamii zikiwa majanga kama ilivyo mbeya...

Acheni kujisifia slums aisee...


But hata Bukoba km 10 unakuwa bado mjini vzr..mfano stendi kuu ya mkoa inapojengwa ni km 10 kutoka mjini kati...
 
Sauli Mfalme wa Mbeya anawafanya watu wanune huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221202-052103.png
    Screenshot_20221202-052103.png
    232.2 KB · Views: 5
  • 20221203_224143.jpg
    20221203_224143.jpg
    111.9 KB · Views: 5
  • 20221203_083739.jpg
    20221203_083739.jpg
    403.8 KB · Views: 4
  • 20221203_080703.jpg
    20221203_080703.jpg
    64.9 KB · Views: 4
  • 20221203_080428.jpg
    20221203_080428.jpg
    75.1 KB · Views: 4
  • 20221202_052846.jpg
    20221202_052846.jpg
    191.7 KB · Views: 4
  • 20221202_051941.jpg
    20221202_051941.jpg
    122.7 KB · Views: 4
  • 20221202_053350.jpg
    20221202_053350.jpg
    143.6 KB · Views: 4
  • 20221204_130341.jpg
    20221204_130341.jpg
    122.7 KB · Views: 4
  • 20221204_130138.jpg
    20221204_130138.jpg
    77.3 KB · Views: 4
  • 20221204_130153.jpg
    20221204_130153.jpg
    41.7 KB · Views: 4
Back
Top Bottom