Kahama VS Njombe/Mafinga

Pia sensa imeongea kila kitu, kuhusu makazi, huduma za afya, huduma za elimu n.k Mwanza is ahead.
 
Kwa hiyo hiyo HDI itapatikana bila kuwa na Per Capita Kubwa? Kiazi wewe..

Kwa kutumia Mfano tuu unaoutoa Ni wazi uko less informed na Sina haha ya kurudia takwimu nilishaleta humu..

Mikoa inayoongoza kwa Per Capita income kubwa hivyo hivyo Ina HDI kubwa ,na Mikoa hiyo Ni
Dar,
Kilimanjaro,
Iringa,
Arusha,
Njombe.

Narudia Tena kwa metric yeyote ya ubora wa maisha,Mwanza mnajambiwa na Mbeya by far,umeelewa wewe bogus?
 
Leta mapato ya NBS na siyo hiyo ya tunduma peke yake, na hiyo ni ya mirzi mingap?
Ona Sasa ulivyokuwa mpumbavu na kutafuta excuses za kijinga.

Sasa uzidiwe mapato ya Halmashauri ndio utakuwa na mapato Mengi hata kwa Takwimu za NBS?

Sina mda wa kubishana na Jambo Liko obvious Mkoa wa Songwe uko top 10 ya mapato ya TRA na 3/4 yanatokea hapo hapo Tunduma,Shinyanga hata haipo Sasa mtatuzidi vipi ikiwa takwimu zote hizo mumepigwa given your large number of people in your region and Kahama MC in particular.
 

Attachments

  • 20221125_083948.jpg
    644.1 KB · Views: 10
  • 20221125_080215.jpg
    57.5 KB · Views: 10
  • 20221125_080209.jpg
    512.8 KB · Views: 8
  • 20221125_083717.jpg
    23 KB · Views: 8
Je mbeya ndio top ten ya mapato ya TRA?
 
Utakuwa nashida sehemu.
 
KAHAMA weeeeeehhhhh😄😄😄😄😄
Inaondoka Buzwagi inakuja Tembo Nickel soon mitambo ya kuchenjua madini itaanza kufungwa baada ya masuala la assessment kukamilika, na sasa wapo kwenye hatua environmental/ social impact assessment ya mradi. Full oparation ikianza kuna uwezekano wa kuongeza eneo la mradi Kahama.

Matangazo kama yote kwenye local radio na TBC FM kuhamasisha ushiriki wa wananchi.
 
Operation zishaanza kitambo tu ... mgodi wanachimba muda tu. .
 
Hii ni processing plant, kwa ajili ya Nickel ya Ngara / Kabanga. Inakuwa installed eneo la Buzwagi
Dah kwa hiyo mapato ya Ngara kagera...yanaenda kuhesabiwa kahama shinyanga?...

Halafu wakitoa takwimu za mikoa yenye GDP kubwa kagera inakuwa haimo..na mkoa unaonekana maskini..

Kwa nini hizo processing plant zisijengwe huko huko ngara?...

Hii kitu ilifanyika kwenye kahawa miaka mingi tu...soko na mnada wake unakuwa moshi na mapato kuhesabiwa huko Kilimanjaro wakati wakulima wako kagera...

Pia kwenye sukari ya kagera...mapato na tathmini yake inahesabiwa Dar huko...ndo maana bei ya sukari bado iko juu hata maeneo ya karibu na viwanda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…