Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kampuni nyingine hiyo
FB_IMG_16697470199802266.jpg

FB_IMG_16697467600073829.jpg
 
aibu .. japanese brand imekuwa wakinga Tena
Ukitaka kujua zaidi njoo uone na investment zao makambako na yard Yao tunduma swala la kibiashara watu wako kimataifa zaidi sio huko kajenga jengo moja kelele Kanda nzima
 
Hainaga kufeli
E0oS5pdXoAAGijV.jpg
IMG_20170421_153131.jpg
 

Attachments

  • IMG_20170421_151349.jpg
    IMG_20170421_151349.jpg
    78.8 KB · Views: 8
Haya Sasa Yale makampuni makubwa ya ununuzi wa parachichi ambapo mara ya kwanza yalikuwa na viwanda kenya Sasa yameingia mkoa wa njombe na yamejenga viwanda makambako tc
FSuZMybXwAAsaf3.jpg
FS2r9-sXEAAMenK.jpg
HTB1uLApdFmWBuNjSspdq6zugXXaH.jpg
Balozi Anisa 2.jpg
IMG_4060-768x512.jpg
U5lMHoxwA5zYIHq_.jpg
 
Ukitaka kujua zaidi njoo uone na investment zao makambako na yard Yao tunduma swala la kibiashara watu wako kimataifa zaidi sio huko kajenga jengo moja kelele Kanda nzima
Waokote wenzio .sio sisi....be forward ni wajapan ,kodtek ni wachina....hayo maduka ya huko ni mawakala tu ...acha ubena bas
 
WWe
Waokote wenzio .sio sisi....be forward ni wajapan ,kodtek ni wachina....hayo maduka ya huko ni mawakala tu ...acha ubena bas
Wewe ndo huelewi chochote ukiona kampuni unajua ya wazungu tu kwenye swala la kibiashara tupo mbali mzee
 
Eti wachina saiz wakinga wanaona ni third home mzee Endelea kukeleka
FB_IMG_16697845205677403.jpg
FB_IMG_16697843859608088.jpg
FB_IMG_16697844097704417.jpg
FB_IMG_16697845009321525.jpg
 
Kuanzia leo Kijiji cha Mbeya itabattle na Ilemela, Njombe bush itabattle na Nyegezi full stop
 
Nyie bado mnajenga mijini tu...

Kagera tupo vijijini...siku hiz maendeleo yanafanyika kimya kimya......

Cheki barabara za vijijini huko Rubya muleba kagera 90km from Bukoba....

Wilaya muleba...Tarafa moja tu ya kimwani ndo barabara zake ni changamoto ingawa barabara kuu za mwanza na ile biharamulo zinapita huko...

Lakin Tarafa nzima ya kamachumu na vijiji vyake kuna lami....
Tarafa ya nshamba na vijiji vyake kuna lami

Tarafa ya Izigo vijiji vyake vinalami

Tarafa ya muleba hio ndo kabisa...


NB..wilaya ya muleba pekee ina watu sawa na mkoa mzima wa njombeView attachment 2427763
Kuna watu taarifa kama hizi huwa hawataki kuzielewa au kuziamini, chuki zao huanzia hapa
 
Kuanzia leo Kijiji cha Mbeya itabattle na Ilemela, Njombe bush itabattle na Nyegezi full stop
Umeishiwa vibaya Sana 😜😜.
Mwanza sii tuu haiwezi ku battle na Mbeya Bali inatia aibu..

Tactic km 23 za lami,
Tactic Stand kuu ya Mikoani
Tactic Masoko 2

Tamisemi km 17 za Lami.

TanRoads km 32 Dual Carriage Nsalaga to Airport with flyover na daraja la waenda kwa Miguu.

TanRoads km 45 za Mbeya Bypass
 
Back
Top Bottom