Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kumbe ndio linajengwa 😜😜😜😜.

Na Mbeya tunajenga Masoko 2 kwenye tactic ,una jipya?

Wapiga picha wa Mbeya wanazungua Sana,picha za kwenye mtanddao Ni zile zile haafanyi updates sijui kwa Nini..

Mwisho laiti Kama tungepata picha za kutoka Meta Hadi Mwanjelwa zingekuwa safi Sana maana zinge cover eneo lote la Forest mpya na Zamani Kuna magorofa Mengi Sana pande sote ingetoa view nzuri Sana.
Kmbe ww sio wa Mbeya nilisahau kuwa unatokea Bush Njombe
 
Kmbe ww sio wa Mbeya nilisahau kuwa unatokea Bush Njombe
Sikiliza hapa chini wewe jinga..

Tactic inajenga km 23 za lami Jijini Mbeya na Mbunge wetu Dr Tulia amesema amefanya lobbying ya Barabara zingine huko Tamisemi..

Mbeya ijayo itakuwa Moto wa kuotea mbali ,piteni kimya kimya👇
 
Maeneo ya uyole stendi Mpya ya nanenane...... mwanza mkitapata suburbs Kali kama hii mnitag
img_tmp_tag1669531117391.jpg
 
Mbeya haijawahi kuwa na shughuli ndogo..

Drone footage video ,walau huyu kajitahidi ku cover maeneo muhimu👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221129-214340.png
    Screenshot_20221129-214340.png
    163.1 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221129-162410.png
    Screenshot_20221129-162410.png
    162.9 KB · Views: 8
  • 20221129_162916.jpg
    20221129_162916.jpg
    96.9 KB · Views: 7
  • 20221129_162909.jpg
    20221129_162909.jpg
    96.5 KB · Views: 6
  • 20221129_162801.jpg
    20221129_162801.jpg
    298.1 KB · Views: 6
  • 20221129_162906.jpg
    20221129_162906.jpg
    66.7 KB · Views: 6
  • 20221129_162306.jpg
    20221129_162306.jpg
    108.4 KB · Views: 6
Back
Top Bottom