instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,490
Hiv vitu sio vya kusifia hata kidogo...hapo mnakuza uchumi wa china na watu wake kwa kufanya huo uchuuzi...Eti wachina saiz wakinga wanaona ni third home mzee Endelea kukeleka
View attachment 2431310View attachment 2431312View attachment 2431313View attachment 2431314
Ningewaona wamaana sana kama wangefungua viwanda vinavyotumia malighafi za hapa nchini..na nyie mkielekea huko china mnaenda na kitu cha kuwauzia..sio mnaenda mikono mitupu halafu mnarudi na bidhaa zao...ambazo nazo nyingi ni feki...
Kwa kuangalia maendeleo binafsi hao watu wachache wataonekana matajiri kwa huo uchuuzi...lakin kwa maendeleo ya jumla tutabaki maskini tu miaka yote...
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app







