Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hyo picha ya juu ,ikiwa ni mbeya ,nipo palee
Lake Nyasa hiyo wewe hater 😆😆..

Haters mnayeswa Sana na wivu,mwenzio alisema eti hakuna sehemu ya kwenda vacation au kupumzika weekend wakati Kuna

-Beaches za Matema,
-Kuna kwenda Lake ngozi na kisiba,
-Kuna kwenda Kitulo NP,
-Kuna kwenda kutembea Kawetere/poroto Mountains almaarufu Kona za Mkoa na
-Kuna kwenda kwenye shamba la wanayamapori Ifisi Tena Ni la Serikali.
👇
 

Attachments

  • kisiba-crater-lake.jpg
    kisiba-crater-lake.jpg
    30.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221106-072925.png
    Screenshot_20221106-072925.png
    243.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221106-072948.png
    Screenshot_20221106-072948.png
    217.2 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221106-073338.png
    Screenshot_20221106-073338.png
    340.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221106-072705.png
    Screenshot_20221106-072705.png
    269 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221106-072750.png
    Screenshot_20221106-072750.png
    272.6 KB · Views: 10
  • IMG_4041.jpg
    IMG_4041.jpg
    49 KB · Views: 8
This is Mbeya Rural 😆
 

Attachments

  • 20221125_082154.jpg
    20221125_082154.jpg
    581.6 KB · Views: 8
  • 20221125_082151.jpg
    20221125_082151.jpg
    317.4 KB · Views: 9
  • 20221120_183021.jpg
    20221120_183021.jpg
    46.5 KB · Views: 9
  • 20221125_081337.jpg
    20221125_081337.jpg
    108.9 KB · Views: 9
Lake Nyasa hiyo wewe hater ..

Haters mnayeswa Sana na wivu,mwenzio alisema eti hakuna sehemu ya kwenda vacation au kupumzika weekend wakati Kuna

-Beaches za Matema,
-Kuna kwenda Lake ngozi na kisiba,
-Kuna kwenda Kitulo NP,
-Kuna kwenda kutembea Kawetere/poroto Mountains almaarufu Kona za Mkoa na
-Kuna kwenda kwenye shamba la wanayamapori Ifisi Tena Ni la Serikali.
Nyasa .ni mbeya ...
Leta site za mbeya jiji ....ukitaka hivyo mi nitakuletea Serengeti national park na nikasema Mwanza
Ukipata barabara smart kama hii nitag
20221124_231033.jpg
20221124_224242.jpg
 
Aliyekuambia kwamba Mbeya haijapangwa Ni Nani? Kwa taarifa yako sehemu kubwa ya Jiji la Mbeya limepangwa kuliko hata Mwanza..

Mji haujapangwa kwenye mitaa Michache na bahati mbaya hiyo Michache ndio iko sehemu ya biashara yaani Ni rahisi kufikika..

Sokomatola Mjini city centre Centre 👇
Kwahiyo hapa ni City Centre 🤔
 

Attachments

  • 20221125_083948.jpg
    20221125_083948.jpg
    644.1 KB · Views: 10
  • 20221125_083717.jpg
    20221125_083717.jpg
    23 KB · Views: 8
  • 2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    84.3 KB · Views: 7
  • 2940501_jr_sports_tz-___CRcAdcUroHE___-.jpg
    2940501_jr_sports_tz-___CRcAdcUroHE___-.jpg
    138.1 KB · Views: 6
  • 2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    55.4 KB · Views: 7
Aisee iringa ni bonge la mji ..mbeya tughorofa twa kuokoteleza
Tungekuwa Ni twa kuokoteza Ungeikuta Iringa kwenye Mikoa top 10 Yenye Magorofa Mengi Tanzania..

Mbeya is big hapo Ni sehemu ndogo tuu ya Sokomatola sipati picha uanzie Meta Hadi Uyole kote huko Ni full Magorofa..

Mitaa classic Mbeya 👇
 

Attachments

  • 20221125_080533.jpg
    20221125_080533.jpg
    99.1 KB · Views: 8
  • 20221125_081216.jpg
    20221125_081216.jpg
    507.1 KB · Views: 9
  • 20221125_080530.jpg
    20221125_080530.jpg
    114.7 KB · Views: 10
  • 20221125_080238.jpg
    20221125_080238.jpg
    46.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221125-080515.png
    Screenshot_20221125-080515.png
    290.9 KB · Views: 8
Kuliko kupanda sgr yenye Mabehewa Kama Bodi za Ngorika Bora nibakie na Mabasi tuu..

Hizi Ni zile chuma jamaa wa kule wanachukia Sana wakiona 🤪🤪😜😜..

Njia Ni Moja Mbeya 👇
 

Attachments

  • 20221127_081750.jpg
    20221127_081750.jpg
    32.3 KB · Views: 9
  • 20221127_081854.jpg
    20221127_081854.jpg
    58.5 KB · Views: 9
  • 20221127_081522.jpg
    20221127_081522.jpg
    107.3 KB · Views: 10
  • 20221127_081539.jpg
    20221127_081539.jpg
    124.5 KB · Views: 10
  • 20221127_081953.jpg
    20221127_081953.jpg
    121.5 KB · Views: 9
  • 20221127_082134.jpg
    20221127_082134.jpg
    111.3 KB · Views: 9
  • 20221127_080334.jpg
    20221127_080334.jpg
    104.5 KB · Views: 10
  • 20221127_080122.jpg
    20221127_080122.jpg
    75.5 KB · Views: 7
  • 20221127_080025.jpg
    20221127_080025.jpg
    44.4 KB · Views: 8
  • 20221127_075956.jpg
    20221127_075956.jpg
    151.5 KB · Views: 7
Tungekuwa Ni twa kuokoteza Ungeikuta Iringa kwenye Mikoa top 10 Yenye Magorofa Mengi Tanzania..

Mbeya is big hapo Ni sehemu ndogo tuu ya Sokomatola sipati picha uanzie Meta Hadi Uyole kote huko Ni full Magorofa..

Mitaa classic Mbeya
hyo ndio mitaa classic mbeya dah ..ni aibu tupu nyahanga kahama ni pazuri kuliko hapo .....nishasema kusini ni iringa tu ,,, pengine ni utopolo tu.... ukiniletea mtaa mkali kuliko gangilonga iringa.nipo pale .....
Ebu angalia mitaa classic ya wenzio
Hizi mitaa hamna vumbi ,ni sauti za ndege tu unazisikia..
Nyamagana area
01b50dfb9da5a7a927c6bccf2ca89804.jpg
3d62f127527167b0171e6485d5327849.jpg
f1a3563538e5f0f8029253a2f93f837e.jpg
30d6499c6572560ca151613c9d861550.jpg
044c3b841ce9d3524d375a4c76447e74.jpg
89f728f1d4bf3bd46f1b059dd9cbf09b.jpg
 
Kuliko kupanda sgr yenye Mabehewa Kama Bodi za Ngorika Bora nibakie na Mabasi tuu..

Hizi Ni zile chuma jamaa wa kule wanachukia Sana wakiona ..

Njia Ni Moja Mbeya
Nashukuru hata pro Samia kama wewe mmeanza kuelewa mama wapi anakosea ......
 
Nashukuru hata pro Samia kama wewe mmeanza kuelewa mama wapi anakosea ......
Anakosea wapi? Huo Ni mpango kazi wa TRC na bajeti Yao, kwa long haul routes zinazobeba watu lazima ziwe na behewa za ngorika..

Watu wanaingia na mbuzi,ndama,kuku,mihigo nk kwenye behewa ndio uwawekee zile Kali? Kuwa serious Basi 🤪🤪

Zile route fupi fupi zitakuwa na behewa nzuri.

😆😆😆😆 Komaeni na zenu hizi hapa 👇
Screenshot_20221116-191515.jpg
 
Anakosea wapi? Huo Ni mpango kazi wa TRC na bajeti Yao, kwa long haul routes zinazobeba watu lazima ziwe na behewa za ngorika..

Watu wanaingia na mbuzi,ndama,kuku,mihigo nk kwenye behewa ndio uwawekee zile Kali? Kuwa serious Basi

Zile route fupi fupi zitakuwa na behewa nzuri.

Komaeni na zenu hizi hapa
Kweli wew ignorance imo kichwani mwako ...
Hizo behewa ni za masafa marefu yaani speed yake sio kubwa ,,,,na zile design nyingine ni masafa mafupi speed yake kubwa.....hiz zimekuja mapema Kwa ajili ya ruti ya dodoma dar ...zile zingine zitakuja Kwa ajili ya ruti ya mega city na major city ..2027 ..ambayo ndio safari ndefu zaidi itahitaji mabehewa ya speed kubwa
 
Kweli wew ignorance imo kichwani mwako ...
Hizo behewa ni za masafa marefu yaani speed yake sio kubwa ,,,,na zile design nyingine ni masafa mafupi speed yake kubwa.....hiz zimekuja mapema Kwa ajili ya ruti ya dodoma dar ...zile zingine zitakuja Kwa ajili ya ruti ya mega city na major city ..2027 ..ambayo ndio safari ndefu zaidi itahitaji mabehewa ya speed kubwa
Mega City 😁😁 .

Aliyemuelewa huyu mbuzi aniambie 🤪🤪
 
Back
Top Bottom