Kahama VS Njombe/Mafinga

Maneno meengi.

Weka hapa ramani ya Jiji la Mwanza Kama nilivyoweka ili tuone wapi Kiko disorganised au unaona aibu ya zile dream houses zenu? πŸ˜†πŸ˜†.
Haya bhana kwa akili hizi kama zako acha nchi jirani zituache thousands miles, ila jiji la mbeya lina mpangilio mzuri sanw kuliko majiji yote ya Tanzania pia ujenzi wa nyumba zao katikati ya cbd ipo njema, kwa kweli kazi iendelee.
 
Haya bhana kwa akili hizi kama zako acha nchi jirani zituache thousands miles, ila jiji la mbeya lina mpangilio mzuri sanw kuliko majiji yote ya Tanzania pia ujenzi wa nyumba zao katikati ya cbd ipo njema, kwa kweli kazi iendelee.
Lina mpangilio kuliko Mwanza usitafute pa kutokea 😁😁.

Jiji lenye mpangilio mzuri kuliko yote Ni Dom na Tanga usijitoe ufahamu.
 
Lina mpangilio kuliko Mwanza usitafute pa kutokea 😁😁.

Jiji lenye mpangilio mzuri kuliko yote Ni Dom na Tanga usijitoe ufahamu.
Dodoma ni jiji lenye mpangilio kuliko yoteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakati ni mkoa wa mwisho kwa anuani za makazi, endelea kujifaraji.
 
Viwanda 5 vya kuchakata mafuta ya Parachichi for exports vinapatikana kwenye Mikoa ifuatayo

1.Mbeya =2,
2.Njomne=1
3.Iringa=1,
4.Songwe=1.

Hapa lazima mpite kimya kimya πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • Screenshot_20221125-102523.png
    196.9 KB · Views: 9
Viwanda 5 vya kuchakata mafuta ya Parachichi for exports vinapatikana kwenye Mikoa ifuatayo

1.Mbeya =2,
2.Njomne=1
3.Iringa=1,
4.Songwe=1.

Hapa lazima mpite kimya kimya πŸ˜‚πŸ˜‚
Ata kahama wangekuwa na viwanda vingi tu kama zao la parachichi lingekuwa linalimwa huko, punguza mihemko, na jaribu kuficha ujinga ata mara moja, mbona singida kuna viwanda vingi vya mafuta ya alzeti, mbona mwanza kuna viwanda vingi tu vya mafuta ya pamba.
 
Mwanza wanaviwanda vya kutengeneza meli na boat je nyie mnavyo? Vitu vingine vingine vinatokea kwasababu ya availability ya resources, hii ndio kama ile ile hali hali ya kuwalingishia Nairobi madaraja wakati hawana bahari wala ziwa.
Songoro anafanya uwekezaji Kyela na MbambaBay
 
Siwezi kuonea wivu miji ya ajabu kama hiyo, tatizo unapenda sana siasa kuliko uhalisia wa mambo.
😁😁😁😁.

Mbeya itakupasua bandama wewe kima πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221125-081149.png
    225 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221125-081031.png
    149.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221125-082129.png
    157.6 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221125-082320.png
    196.3 KB · Views: 6
  • 20221125_083118.jpg
    494.9 KB · Views: 8
  • 20221125_081957.jpg
    132.8 KB · Views: 8
  • 20221125_081303.jpg
    72.3 KB · Views: 8
  • 20221125_080059.jpg
    106.1 KB · Views: 6
  • 20221125_081047.jpg
    44.6 KB · Views: 8
Ulishaona chaka lako la kujifichia ni kupost mabasi tuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…, huko nyanda za juu hakuna vitu vya kuweka zaidi ya mabasi?
Bus gani nimepost hapo?

Mbeya City piga huyu tumbili arudi Saanane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • Screenshot_20221125-083510.png
    131.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221125-080515.png
    290.9 KB · Views: 6
  • 20221125_083611.jpg
    336.6 KB · Views: 8
  • 20221125_082622.jpg
    440.4 KB · Views: 8
  • 20221125_082212.jpg
    58.8 KB · Views: 7
  • 20221125_081337.jpg
    108.9 KB · Views: 8
  • 20221125_081216.jpg
    507.1 KB · Views: 9
  • 20221125_081017.jpg
    60 KB · Views: 9
  • 20221125_080530.jpg
    114.7 KB · Views: 8
  • 20221125_080533.jpg
    99.1 KB · Views: 8
  • 20221125_080238.jpg
    46.1 KB · Views: 8
  • 20221125_080215.jpg
    57.5 KB · Views: 7
  • 20221125_080209.jpg
    512.8 KB · Views: 8
  • 20221125_080059.jpg
    106.1 KB · Views: 9
Atakuja na Mabasi tu πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
Wera wera vyuma kutoka Nyumbani ambako nyie mnaita Mbeya πŸ‘‡
 

Attachments

  • 20221125_081821.jpg
    379.5 KB · Views: 7
  • 20221125_194453.jpg
    159.7 KB · Views: 9
  • 20221125_194427.jpg
    317.1 KB · Views: 8
  • 20221125_194442.jpg
    300.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221126-161132.png
    147.7 KB · Views: 6
  • 20221126_162232.jpg
    80.1 KB · Views: 9
  • 20221126_162151.jpg
    402.8 KB · Views: 7
  • 20221126_162135.jpg
    449.3 KB · Views: 8
  • 20221126_162006.jpg
    95.7 KB · Views: 9
  • 20221126_161638.jpg
    163.8 KB · Views: 7
  • 20221126_161624.jpg
    102.8 KB · Views: 7
  • 20221126_161605.jpg
    76.6 KB · Views: 8
  • 20221126_161101.jpg
    75.4 KB · Views: 10
Na hapa mtakuja na excuse zenu 😁😁.

Mambo yameiva Makambako huko πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221125-193558.png
    157.7 KB · Views: 10
Uelekeo Ni mmja tuu Njombe πŸ‘‡
 

Attachments

  • 20221125_194500.jpg
    523.4 KB · Views: 10
  • 20221125_194248.jpg
    297.6 KB · Views: 7
  • 20221125_193851.jpg
    80.8 KB · Views: 8
  • 20221125_194119.jpg
    94.1 KB · Views: 8
  • 20221125_194131.jpg
    55.2 KB · Views: 8
  • 20221125_194045.jpg
    347.1 KB · Views: 10
Ujumbe wako huu hapa
Huu unakuhusu wewe maana anasema anayeumia kwa kuupiga mwingi ni wewe, mimi nimepongeza kwa kuupiga mwingi kwa jitihada za kujenga daraja kwa bei ndogo ila limetoka kwa viwango vya kimataifa mpaka likazinduliwa kwa camera ili wananchi tuone jitihada zilizofanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…