Kwa kuongeza tu adi stendi zinakosa nafasi ya mabasi kupark kama vile stendi ya nyamhongolo ilivyojaa na muda mwingine hakuna nafasi kabisa.Humu hakuna wapiga debe wa stand wengine zaidi yako, ndio maana kwenye mabasi hatukujibu. Simple tu, kanda haiwezi kuwa na miji zina stand zaidi ya mbili na zikose bus classic, hiyo ni dalili kanda ina huduma za mabasi nyingi na nzuri, Ukija kwenye usafiri wa abiria hakuna kanda makampuni makubwa yanafanya biashara kama Lake zone.
Huu ni ushamba mwingine, kusifia magari mazuri ambayo hayana impact kwa ukuaji wa mji wakoTutawapasua kwa pressure ya Mineso ya Mbeya,Kaa kwa Kutulia dozi ikuingie.
Another Baby Mneso in the City,kazi ya dhahabu ya Chunya.
Dar-Mbeya na Achimwene Safaris π
TransitHuu ni ushamba mwingine, kusifia magari mazuri ambayo hayana impact kwa ukuaji wa mji wako
Atasema magari yanasaidia usafirishajiπππHuu ni ushamba mwingine, kusifia magari mazuri ambayo hayana impact kwa ukuaji wa mji wako
Aisee ujinga ukichanganya na wivu Ni nouma,kwamba usafiri hauna impacts.ππππHuu ni ushamba mwingine, kusifia magari mazuri ambayo hayana impact kwa ukuaji wa mji wako
ππππ Sindano tayari imefika kunako..mengine Ni kujifariji tuu.Humu hakuna wapiga debe wa stand wengine zaidi yako, ndio maana kwenye mabasi hatukujibu. Simple tu, kanda haiwezi kuwa na miji zina stand zaidi ya mbili na zikose bus classic, hiyo ni dalili kanda ina huduma za mabasi nyingi na nzuri, Ukija kwenye usafiri wa abiria / ndege hakuna kanda makampuni makubwa yanafanya biashara kama Lake zone.
Roho mbaya tuπ π πππππ Sindano tayari imefika kunako..mengine Ni kujifariji tuu.
Tatizo sio kuwa na stand nyingi,swala Ni bus classic..
Yaani watu wanapanda kwenye mabus na mbuzi,michembe,maziwa,wananuka nani awaletee bus Kali?ππ
Nyie Bus zenu ni hizi hapa π
Huwa nakukubali una mbinu nzuri za kujifariji na ku cool down tempa ukizidiwa ππππ..Hayo mabasi mbona ya kawaida sana, ni kama yale yanayoenda bariadi na maswa.
ππ Za Mwanza hizi hapa Sasa πRoho mbaya tuπ π π
Kuna mnyama allys star ana mabasi kama 200 ya aina hii tena ni scania achana na hizi mchina yutong.Huwa nakukubali una mbinu nzuri za kujifariji na ku cool down tempa ukizidiwa ππππ..
Moto fire π₯π₯π₯ Mbeya-Dar-Tunduma π
Hizo ni za arusha, mwanza hakuna mabasi ya kishamba hivyo.ππ Za Mwanza hizi hapa Sasa π
Huyo tuu ndio pekee anajitahidi kuwasitiri maana hata ukifuatilia discussions za ma admn walau wanasema anajitahidi..Kuna mnyama allys star ana mabasi kama 200 ya aina hii tena ni scania achana na hizi mchina yutong.
πππππππππππ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€ΈHizo ni za arusha, mwanza hakuna mabasi ya kishamba hivyo.
Yaani haya mabasi ya Premier Mbeya-Mwanza ndio mabaya lakini ndio makali kwa Mwanza ππ..Transit
Songoro kashusha mizigo ya kuelekea bukoba kutoka Mwanza nyie endeleeni na viswaswadu vyenu vya mabasi.Huyo tuu ndio pekee anajitahidi kuwasitiri maana hata ukifuatilia discussions za ma admn walau wanasema anajitahidi..
Ila Bukoba msijali tunalawaletea hii Abood iliyokuwa Tunduma afu sie tunachukua chuma mpya ππ.
BK kenueni meno ndege zitawamaliza π
Endeleeni kuogelea Kama viboko kwenye maji ,tuacheni na mabusi..Songoro kashusha mizigo ya kuelekea bukoba kutoka Mwanza nyie endeleeni na viswaswadu vyenu vya mabasi.
Hadhi iliyokuwa nayo Mwanza kipindi inapata city status, mbeya hii bado haijafika.Ndio,kwani Mwanza ilipopewa jiji ilikuwa na Nini Cha Maana?
Ndo unajua leo? Habari ndio hiyoKumbe super feo ni mkinga?