The Sunk Cost Fallacy 2 JF-Expert Member Joined Nov 8, 2022 Posts 9,434 Reaction score 10,965 Nov 19, 2022 #9,461 Kitombile said: Hapa umeona kuna maajabu gani? Click to expand... Ni maajabu ambayo hayako Kahama ππ
Kitombile said: Hapa umeona kuna maajabu gani? Click to expand... Ni maajabu ambayo hayako Kahama ππ
Kitombile JF-Expert Member Joined Mar 21, 2021 Posts 7,149 Reaction score 7,966 Nov 19, 2022 #9,462 The Sunk Cost Fallacy 2 said: Ni maajabu ambayo hayako Kahama ππ Click to expand... Lakini kahama ni manispaa na wakati nyie Tunduma bado ni kijijini kilichochangamka.
The Sunk Cost Fallacy 2 said: Ni maajabu ambayo hayako Kahama ππ Click to expand... Lakini kahama ni manispaa na wakati nyie Tunduma bado ni kijijini kilichochangamka.
The Sunk Cost Fallacy 2 JF-Expert Member Joined Nov 8, 2022 Posts 9,434 Reaction score 10,965 Nov 19, 2022 #9,463 Kitombile said: Lakini kahama ni manispaa na wakati nyie Tunduma bado ni kijijini kilichochangamka. Click to expand... Ni TC ,Kama sio Rais Samia kukataa kupandisha ingeshakuwa Manispaa.. Kahama ishukuru Mwendazake.
Kitombile said: Lakini kahama ni manispaa na wakati nyie Tunduma bado ni kijijini kilichochangamka. Click to expand... Ni TC ,Kama sio Rais Samia kukataa kupandisha ingeshakuwa Manispaa.. Kahama ishukuru Mwendazake.
Kitombile JF-Expert Member Joined Mar 21, 2021 Posts 7,149 Reaction score 7,966 Nov 19, 2022 #9,464 The Sunk Cost Fallacy 2 said: Ni TC ,Kama sio Rais Samia kukataa kupandisha ingeshakuwa Manispaa.. Kahama ishukuru Mwendazake. Click to expand... Kahama ilistahili toka enzi za mkapa, sio huruma ya mwendazake. Mfano lindi ni manispaa toka henzi za nyerere je inaizidi nini kahama?
The Sunk Cost Fallacy 2 said: Ni TC ,Kama sio Rais Samia kukataa kupandisha ingeshakuwa Manispaa.. Kahama ishukuru Mwendazake. Click to expand... Kahama ilistahili toka enzi za mkapa, sio huruma ya mwendazake. Mfano lindi ni manispaa toka henzi za nyerere je inaizidi nini kahama?
Mikdde JF-Expert Member Joined Sep 12, 2018 Posts 6,310 Reaction score 5,968 Nov 19, 2022 #9,465 The Sunk Cost Fallacy 2 said: Ni TC ,Kama sio Rais Samia kukataa kupandisha ingeshakuwa Manispaa.. Kahama ishukuru Mwendazake. Click to expand... Unajua vigezo vya kuwa manispaa.?
The Sunk Cost Fallacy 2 said: Ni TC ,Kama sio Rais Samia kukataa kupandisha ingeshakuwa Manispaa.. Kahama ishukuru Mwendazake. Click to expand... Unajua vigezo vya kuwa manispaa.?
Mapank JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 4,157 Reaction score 6,163 Nov 19, 2022 #9,466 The Sunk Cost Fallacy 2 said: Ni TC ,Kama sio Rais Samia kukataa kupandisha ingeshakuwa Manispaa.. Kahama ishukuru Mwendazake. Click to expand... Kahama, Geita na Kibaha zilikuwa kwenye kundi moja. Geita na Kibaha bado ni TC huko kwingine mtasubiria sana.
The Sunk Cost Fallacy 2 said: Ni TC ,Kama sio Rais Samia kukataa kupandisha ingeshakuwa Manispaa.. Kahama ishukuru Mwendazake. Click to expand... Kahama, Geita na Kibaha zilikuwa kwenye kundi moja. Geita na Kibaha bado ni TC huko kwingine mtasubiria sana.
Protector JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 423 Reaction score 900 Nov 19, 2022 #9,467 The Sunk Cost Fallacy 2 said: Tunduma-Dom . Shabibyπ Click to expand... Hahaaa hahaaa ngoja nicheke, umefeli kila kitu unakimbilia kwenye mabasi
The Sunk Cost Fallacy 2 said: Tunduma-Dom . Shabibyπ Click to expand... Hahaaa hahaaa ngoja nicheke, umefeli kila kitu unakimbilia kwenye mabasi
Mapank JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 4,157 Reaction score 6,163 Nov 19, 2022 #9,468 Kitombile said: Kahama ilistahili toka enzi za mkapa, sio huruma ya mwendazake. Mfano lindi ni manispaa toka henzi za nyerere je inaizidi nini kahama? Click to expand... Kwanza tu, ule mradi mkubwa wa maji wa kwanza wa Lake Victoria, target ilikuwa Kahama, sio Shinyanga vijijini, Nyangwale wala Misungwi tena kwa miaka ya hiyo.
Kitombile said: Kahama ilistahili toka enzi za mkapa, sio huruma ya mwendazake. Mfano lindi ni manispaa toka henzi za nyerere je inaizidi nini kahama? Click to expand... Kwanza tu, ule mradi mkubwa wa maji wa kwanza wa Lake Victoria, target ilikuwa Kahama, sio Shinyanga vijijini, Nyangwale wala Misungwi tena kwa miaka ya hiyo.
Protector JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 423 Reaction score 900 Nov 19, 2022 #9,469 Halafu Mbeya pa kishamba kweli, hakuna sehemu unaweza toka out na familia zaidi ya kwenda bar
Mikdde JF-Expert Member Joined Sep 12, 2018 Posts 6,310 Reaction score 5,968 Nov 19, 2022 #9,470 Machette said: Halafu Mbeya pa kishamba kweli, hakuna sehemu unaweza toka out na familia zaidi ya kwenda bar Click to expand... Aliyekuambia mbeya ni mji nani ... mbeya ni Kijiji ...kikubwa
Machette said: Halafu Mbeya pa kishamba kweli, hakuna sehemu unaweza toka out na familia zaidi ya kwenda bar Click to expand... Aliyekuambia mbeya ni mji nani ... mbeya ni Kijiji ...kikubwa
The Sunk Cost Fallacy 2 JF-Expert Member Joined Nov 8, 2022 Posts 9,434 Reaction score 10,965 Nov 19, 2022 #9,471 Machette said: Halafu Mbeya pa kishamba kweli, hakuna sehemu unaweza toka out na familia zaidi ya kwenda bar Click to expand... We jamaa Ni kaongo aisee
Machette said: Halafu Mbeya pa kishamba kweli, hakuna sehemu unaweza toka out na familia zaidi ya kwenda bar Click to expand... We jamaa Ni kaongo aisee
Mikdde JF-Expert Member Joined Sep 12, 2018 Posts 6,310 Reaction score 5,968 Nov 19, 2022 #9,472 The Sunk Cost Fallacy 2 said: We jamaa Ni kaongo aisee Click to expand... Wpi unaweza Toka out .au uwanja wa sokoine
The Sunk Cost Fallacy 2 said: We jamaa Ni kaongo aisee Click to expand... Wpi unaweza Toka out .au uwanja wa sokoine
Protector JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 423 Reaction score 900 Nov 19, 2022 #9,473 The Sunk Cost Fallacy 2 said: We jamaa Ni kaongo aisee Click to expand... Taja sehemu za kutoka out Mbeya
The Sunk Cost Fallacy 2 said: We jamaa Ni kaongo aisee Click to expand... Taja sehemu za kutoka out Mbeya
The Sunk Cost Fallacy 2 JF-Expert Member Joined Nov 8, 2022 Posts 9,434 Reaction score 10,965 Nov 19, 2022 #9,474 Machette said: Taja sehemu za kutoka out Mbeya Click to expand... Kwa hiyo Hakuna Hotels Mbeya?
Kitombile JF-Expert Member Joined Mar 21, 2021 Posts 7,149 Reaction score 7,966 Nov 19, 2022 #9,475 The Sunk Cost Fallacy 2 said: We jamaa Ni kaongo aisee Click to expand... Leta hoja kws kuleta sehemu za starehe ukiacha bars na viwanja vya malaya pale mafiatiππ
The Sunk Cost Fallacy 2 said: We jamaa Ni kaongo aisee Click to expand... Leta hoja kws kuleta sehemu za starehe ukiacha bars na viwanja vya malaya pale mafiatiππ
Kitombile JF-Expert Member Joined Mar 21, 2021 Posts 7,149 Reaction score 7,966 Nov 19, 2022 #9,476 The Sunk Cost Fallacy 2 said: Kwa hiyo Hakuna Hotels Mbeya? Click to expand... Ukiambia leta hotel utaleta hivyo vibanda vya mbeya, mbona unakuwa kama hujawahi kutembea.
The Sunk Cost Fallacy 2 said: Kwa hiyo Hakuna Hotels Mbeya? Click to expand... Ukiambia leta hotel utaleta hivyo vibanda vya mbeya, mbona unakuwa kama hujawahi kutembea.
Protector JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 423 Reaction score 900 Nov 19, 2022 #9,477 The Sunk Cost Fallacy 2 said: Kwa hiyo Hakuna Hotels Mbeya? Click to expand... Hotels ndiyo viwanja vya kujidai kwa Mbeya?
The Sunk Cost Fallacy 2 said: Kwa hiyo Hakuna Hotels Mbeya? Click to expand... Hotels ndiyo viwanja vya kujidai kwa Mbeya?
Kitombile JF-Expert Member Joined Mar 21, 2021 Posts 7,149 Reaction score 7,966 Nov 19, 2022 #9,478 Machette said: Hotels ndiyo viwanja vya kujidai kwa Mbeya? Click to expand... Mfundishe mtu wa mbeya maana ya viwanjaππππππππ
Machette said: Hotels ndiyo viwanja vya kujidai kwa Mbeya? Click to expand... Mfundishe mtu wa mbeya maana ya viwanjaππππππππ
Mapank JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 4,157 Reaction score 6,163 Nov 19, 2022 #9,479 New babe in town, made in Mwanza ππππ
The Sunk Cost Fallacy 2 JF-Expert Member Joined Nov 8, 2022 Posts 9,434 Reaction score 10,965 Nov 19, 2022 #9,480 Machette said: Hotels ndiyo viwanja vya kujidai kwa Mbeya? Click to expand... Ndio