Kwani sisi tunaitaka kigoma iwe kanda ya ziwa.Kumbe wewe Ni dish kiasi hiki.
Western zone iko Miaka mingi kabla ya Katavi ilikuwa na Tabota na Kigoma..
Na kwa taarifa yako Serikali inajenga BoT na Hospital ya Kanda Kigoma.
Tunduma mbali na biashara za mipakani kuna nini cha kuizidi kahama.Kahama Ni disorganised poor gulio huwezi linganisha na Tunduma.
Kanda ya kisiasa sio?????Kumbe wewe Ni dish kiasi hiki.
Western zone iko Miaka mingi kabla ya Katavi ilikuwa na Tabota na Kigoma..
Na kwa taarifa yako Serikali inajenga BoT na Hospital ya Kanda Kigoma.
Anazani kujengwa kwa BOT kigoma kutashusha uchumi wa kanda ya ziwa.Kanda ya kisiasa sio?????
Figure ndio zinaongea kuliko maneno matupuWivu ukakuua..
Tunduma inaizidia Kahama Mambo yafuatayo ,
Mapato ya ndani,
Masoko,
Stand,
Hospital na Vituo vya Afya,
Majengo ya ghorofa,
Idadi ya magari.
Umepanic baada ya Kukosa hoja..We kenge kapitie upya report zakoπππ
Leta figure mzeeUmepanic baada ya Kukosa hoja..
Tunaanza na hapa kwanza,Leta jengo Kama hili hapo gulioni
Majengo kama haya yanayopatikana huko mwamashimba ndani ndani ndio unaleta, lakini tatizo sio wewe bali ni kukosa exposure, pole sana mr excusesUmepanic baada ya Kukosa hoja..
Tunaanza na hapa kwanza,Leta jengo Kama hili hapo gulioni π
Weka mapato ya Kahama 2022 robo ya 1..,Leta figure mzee
πππππππππππ Excuses baada ya kukosa..Majengo kama haya yanayopatikana huko mwamashimba ndani ndani ndio unaleta, lakini tatizo sio wewe bali ni kukosa exposure, pole sana mr excuses
Leta mradi wa shule za maghorofa Kama huu hapo Kahama kwa mapato ya ndani..Leta figure mzee
Labda kama ni lango la kuingia kwenye utapiamlo.πππππππππππ Excuses baada ya kukosa..
Hilo gulio sio la kuehindana na Tunduma lango kuu la Sadc
Sio ujenzi mwaka wa 10 huu, madarasa yanatoa huduma KahamaLeta mradi wa shule za maghorofa Kama huu hapo Kahama kwa mapato ya ndani..
Tunduma π
Huna takwimu utaishia kupanic bure, Tunduma sio size ya Kahama..Labda kama ni lango la kuingia kwenye utapiamlo.
Mkuu ili jengo ni la kahama au nisehemu fulani huko ulaya? Hongera sana kahama.Mambo yanaongea siyo porojo porojoView attachment 2421050View attachment 2421051View attachment 2421052
Shule za magorofa ulianza kuziona lini kwa mara ya kwanza, naona unashoboka sana na magorofaπππLeta mradi wa shule za maghorofa Kama huu hapo Kahama kwa mapato ya ndani..
Tunduma π