The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Kumbe haikuwa na hadhi ya jijiSpeaker wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini amesema Mbeya itapata hadhi stahiki![]()



Hizo....ni kelele tuNaona mumepoteana.
BRT ndani ya Mbeya,patamu hapo![]()
Hadhi ya Kwenye miundombinu boya wewe.Kumbe haikuwa na hadhi ya jiji![]()
Eti hadhi ya kimiundombinu ...kama ipi Kwa hyo mbeya ilipewa hadhi bila ya kuwa na miundombinu yenye hadhi ya jijiHadhi ya Kwenye miundombinu boya wewe.
yule RAIS wa Wasukuma alikuwa anachujua Pesa zetu' anajenga Mwanza na Dom.


Coal exports itainua Sana GDP ya Njombe,Ruvuma,Mbeya na Mtwara msimu huu..
Ukisafiri njia ya Songea malori yanayomiminika sio ya Nchi hii![]()
nchini
Mbona njaa ndio imejaa huko na Bei hazikamatiki,chakula gani mnazalisha sasa.Kanda ya ziwa inaongoza Kwa uzalishaji wa chakula nchini ...nyie wanyaki na wabena njooni muone huku
Uzalishaji wa chakula
Kanda ya ziwa 5.7 milioni tonnes
Kanda ya nyanda za juu 4.5 milion tonnes
View attachment 2420457
Wingi wa mikoa na wilaya ndio inaweka difference ila tukija kwenye area Moja Moja ,Kanda ya ziwa Ni hamna kitu huko.Takwimu za kiuchumi zinazidi kuikataa Kanda ya kusini
Nyanda za juu yawa ya mwisho makusanyo halimshauri
1 dar
2 lake View attachment 2420460
Pointi Ni ile ile Wingi wa Mikoa..Kanda ya ziwa imeshika nafasi ya kwanza Kwa uchumi tanzania
1 lake 38
2 northern 25.5
3 dar 25.2
View attachment 2420463
Mngekuwa na hizo figure msingekuwa wa mwishoWinhi wa mikoa na wilaya ndio inaweka difference ila tukija kwenye area Moja Moja ,Kanda ya ziwa Ni takataka tuu..
Ukiacha Mwanza CC,Ilemela,Geita, Kahama na Tarime Wilaya zingine Ni takataka tuu zinakusanya chini ya Bil.5 kwa mwaka..
Sie Southern Highlands tuna Mbeya Jiji,Tunduma,Njombe,Mafinga,Mufindi,Chunya,Mbarali,Rungwe na Mbeya DC zote zinakusanya zaidi ya 5 bln.


Ushaanza excuse as normal...Pointi Ni ile ile Wingi wa Mikoa..
Lake zone Mikoa 7 ,Nyanda za Mikoa 5
Kanda ya Kusini inqhusisha Ruvuma,Lindi na Mtwara..Unajua Zina wilaya au Halmashauri nyingi kuliko Southern Highlands yenye Mikoa 5?Mngekuwa na hizo figure msingekuwa wa mwisho
.mmezidiwa na Hadi na mtwara na linndi![]()