Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Yaani wewe huna akili na utafuta kichaka Cha kujifichia..

Eti hizo Ni dosari ndogo ndogo πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† my God..

Aisew usikuta ndiko unaishi? Limji zima limejaa uchafu huo unasemaje dosari ndogo ndogo? I rest my case.
Maeneo gani tofauti na mabatini na igogo wewe ni nguchiro tu, acha kulinganisha makazi ya mwanza na mashimo ya sungura huko mbeya.
 
Maeneo gani tofauti na mabatini na igogo wewe ni nguchiro tu, acha kulinganisha makazi ya mwanza na mashimo ya sungura huko mbeya.
πŸ˜†πŸ˜† Limwanza loote limejaa hayo matakataka except hapo city centre ndio maana Kila picha ya Mwanza lazima home hayo mauchafu na ndio hayo mauchafu yalijaa kwenye hesabu ya majengo kwenye sensa πŸ‘‡
 

Attachments

  • 2010-09-13_15-13-13_Tanzania_Mwanza_Mwanza.jpg
    2010-09-13_15-13-13_Tanzania_Mwanza_Mwanza.jpg
    1.6 MB · Views: 9
πŸ˜†πŸ˜† Limwanza loote limejaa hayo matakataka except hapo city centre ndio maana Kila picha ya Mwanza lazima home hayo mauchafu na ndio hayo mauchafu yalijaa kwenye hesabu ya majengo kwenye sensa πŸ‘‡
Mbona sioni uchafu naona ukungu tu wa picha ebu jaribu kupost vizuri ili nione hayo unayosema.
 
Huna hoja zaidi ya kutafuta eneo la kujifichia hayo makazi yenu ya nyanda za juu kusini unaona bora kuliko hizi nyumba za block na zimeezekwa na bati, umejaa wivu tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nilishakwambia siwezi ishi kwenye uchafu huo,niletee picha hata Moja ya Mbeya inayofanana na hayo mauchafu yenu 😁😁.

Yaani hii ndio Mwanza tunayojivunia yaani,no mitaa no Barbara no social services Ni umaskini mtupu πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221110-064709.png
    Screenshot_20221110-064709.png
    211.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221110-064544.png
    Screenshot_20221110-064544.png
    545.2 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221110-064803.png
    Screenshot_20221110-064803.png
    280.9 KB · Views: 9
Mbona sioni uchafu naona ukungu tu wa picha ebu jaribu kupost vizuri ili nione hayo unayosema.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Basi hizi Ni dreams houses zilizojaa kwenye matokeo ya sensa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221110-065216.png
    Screenshot_20221110-065216.png
    403.7 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221110-064852.png
    Screenshot_20221110-064852.png
    393.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221110-064954.png
    Screenshot_20221110-064954.png
    233.2 KB · Views: 9
Nilishakwambia siwezi ishi kwenye uchafu huo,niletee picha hata Moja ya Mbeya inayofanana na hayo mauchafu yenu 😁😁.

Yaani hii ndio Mwanza tunayojivunia yaani,no mitaa no Barbara no social services Ni umaskini mtupu πŸ‘‡
Naona picha ya eneo moja unaangaika kugoogle kote unarudi palepale, hizo ni milima za mabatini tafuta pengine ulete tena.
 
Naona picha ya eneo moja unaangaika kugoogle kote unarudi palepale, hizo ni milima za mabatini tafuta pengine ulete tena.
Ujenzi wa shule za Sekondari za magorofa ukiendelea Mjini Tunduma.

Kokoto,
Tunduma ,
Namole.

Hapa lazima mpite kimya kimya πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221110-080736.png
    Screenshot_20221110-080736.png
    311.8 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221110-080642.png
    Screenshot_20221110-080642.png
    256.2 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221110-080605.png
    Screenshot_20221110-080605.png
    362.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221110-080551.png
    Screenshot_20221110-080551.png
    354.4 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221110-080453.png
    Screenshot_20221110-080453.png
    430.4 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221110-080530.png
    Screenshot_20221110-080530.png
    416.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221110-080435.png
    Screenshot_20221110-080435.png
    372.5 KB · Views: 9
Ujenzi wa shule za Sekondari za magorofa ukiendelea Mjini Tunduma.

Kokoto,
Mpemba,
Namole.

Hapa lazima mpite kimya kimya πŸ‘‡
Kama mwaka 2022 ndio mnaanza kuona ujenzi wa shule za magorofa na kuanza kushangaa huku mkichelea mpaka meno 42 yanaonekana ujue huko uswekeni kuna shida na pia mjua mpo nyuma miaka 100. Lakini poleni sana sio makosa yenu bali ni kosa la ujinga wenuπŸ™πŸ™πŸ™
 
Tembea duniani si kujifungia njombe na ukitoka sana upo mbeya hutoona uzuri wa dunia hii, katafute miji ya scandinavia na miji ya greece au ro de janeiro utaona miji hiyo inavyofanana na MwanzaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
😁😁😁😁 Ngoja niongeze speed kutembea maana sio kwa dream houses hizi πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221110-064709.png
    Screenshot_20221110-064709.png
    211.1 KB · Views: 9
  • Mwanza 3.jpg
    Mwanza 3.jpg
    67.1 KB · Views: 9
  • 2010-09-13_15-13-13_Tanzania_Mwanza_Mwanza.jpg
    2010-09-13_15-13-13_Tanzania_Mwanza_Mwanza.jpg
    1.6 MB · Views: 10
Mkuu wa mkoa wa njombe akiwa kwenye harakati za kuifanya makambako hub of logistic akiongea na viongoz mbalimbali na ombi limekubalika
View attachment 2412047View attachment 2412050View attachment 2412056
Hongereni sana lakini mkumbuke hawa ni wanasiasa kila wanapotembelea mkoa fulani haya ndio huwa maneno yao, mara Tabora itakuwa centre ya logistic hapa Africa mashariki, lakini ngoja akienda na lindi atasema hivyo acheni kufata maneno subiri kwa ground.
 
Kama mwaka 2022 ndio mnaanza kuona ujenzi wa shule za magorofa na kuanza kushangaa huku mkichelea mpaka meno 42 yanaonekana ujue huko uswekeni kuna shida na pia mjua mpo nyuma miaka 100. Lakini poleni sana sio makosa yenu bali ni kosa la ujinga wenuπŸ™πŸ™πŸ™
Maneno meeengi,tuonyeshe za Geita au Kahama maana hapo Ni Tunduma sio Jijini Mbeya.
 
Hongereni sana lakini mkumbuke hawa ni wanasiasa kila wanapotembelea mkoa fulani haya ndio huwa maneno yao, mara Tabora itakuwa centre ya logistic hapa Africa mashariki, lakini ngoja akienda na lindi atasema hivyo acheni kufata maneno subiri kwa ground.
U turn πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜.
 
Back
Top Bottom