Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Watu 7,000 kwa wakati mmoja, nadhani ndio litakuwa kanisa kubwa kuliko yote TanzaniaHapa Tanzania hakuna kanisa zuri kama linalojengwa kawekamo mwanza la katoliki
Watu 7,000 kwa wakati mmoja, nadhani ndio litakuwa kanisa kubwa kuliko yote TanzaniaHapa Tanzania hakuna kanisa zuri kama linalojengwa kawekamo mwanza la katoliki
Wekeni picha tulione maana makanisa makubwa yapo mengi tuWatu 7,000 kwa wakati mmoja, nadhani ndio litakuwa kanisa kubwa kuliko yote Tanzania
Bado kanisa la zamani la Kawekamo hauwezi linganisha na haka KajumbaHili lipo makambako town ko sio mnajihakikishia wakati hamjajua maeneo mengine
View attachment 2411053View attachment 2411055
Warumi wanawekeza, sio hadithi tu.Hili lipo makambako town ko sio mnajihakikishia wakati hamjajua maeneo mengine
View attachment 2411053View attachment 2411055
Hilo kanisa la kawaida Sana Tena sanaWarumi wanawekeza, sio hadithi tu. View attachment 2411086
Sasa hivi wanafanya roofing
Mlitaka lijengwe Makambako eti???Hilo kanisa la kawaida Sana Tena sana


Sasa ndio Kanisa kubwa kwa sasa Tanzania.UZuri picha zipo ndo uone utofautiBado kanisa la zamani la Kawekamo hauwezi linganisha na haka Kajumba
Mlitaka lijengwe Makambako eti???Sasa ndio Kanisa kubwa kwa sasa Tanzania.
Sema ni kubwa kwa mkoa wa mwanza au Kanda ya ziwa angalia jingine Hilo Endelea kulinganisha makanisa huku mzee yanajengwa SI mchezo Sasa jengo Hilo ndo unasema Tanzania nzima hakunaMlitaka lijengwe Makambako eti???![]()
Sasa ndio Kanisa kubwa kwa sasa Tanzania.![]()
Ili kanisa kuu la Bukoba....ukipita lazima utageuka kuliangaliaHili lipo makambako town ko sio mnajihakikishia wakati hamjajua maeneo mengine
View attachment 2411053View attachment 2411055
idadi ya watu sio kigezo mzee swala ni kuwa na pesa na maisha Bora nakuwa wengi alafu ni masikini ni aibu tupuMkoa una watu hawazidi laki 9, mnataka na nyie kanisa la watu 7000????![]()
Hao watu wako stagnant au?Mkoa una watu hawazidi laki 9, mnataka na nyie kanisa la watu 7000????![]()
Kuna wasukuma wapo Kilombero, mkakati uliopo ni kuja kufanya kazi ya Bwana hapo Njombe, ni sensa ijayo tu, lazima msome 1.5m. Wasukuma hiyo kazi tunaijua vizuriidadi ya watu sio kigezo mzee swala ni kuwa na pesa na maisha Bora nakuwa wengi alafu ni masikini ni aibu tupu




Nimetembelea makanisa mengi nchi hii...sijawahi ona kanisa refu, zuri na lenye architectural design nzr kama hili la Bukoba....Sema ni kubwa kwa mkoa wa mwanza au Kanda ya ziwa angalia jingine Hilo Endelea kulinganisha makanisa huku mzee yanajengwa SI mchezo Sasa jengo Hilo ndo unasema Tanzania nzima hakuna View attachment 2411155View attachment 2411153View attachment 2411154
Baada ya kupigwa za uso kwenye masuala ya Uchumi sasa mumegeukia makanisa kujifariji 😆😆Nimetembelea makanisa mengi nchi hii...sijawahi ona kanisa refu, zuri na lenye architectural design nzr kama hili la Bukoba....
Kanisa hili kumezikwa kardinali wa kwanza mweusi duniani...kardinal RugambwaView attachment 2411252View attachment 2411253View attachment 2411254View attachment 2411255View attachment 2411256View attachment 2411257View attachment 2411258
Wacha kukurupuka fuatilia uzi,utajua muanzisha mada ya Kanisa humu katoka wapi?Baada ya kupigwa za uso kwenye masuala ya Uchumi sasa mumegeukia makanisa kujifariji![]()
Mkuu naomba link ya hii habari au ulikutana tuu na Train?Mambo yameanza kubadilika TAZARA tayari kampuni binafsi zimeanza kuingiza train zake na ndio maana baadhi ya mizigo imeshaanza kupakiliwa makambako mkuu wa mkoa wa njombe naona malengo yake ya kuifanya makambako hub of logistic yameanza kuonekana
View attachment 2410927
Uchumi upi ......mikoa potential kiuchumi ni hiiBaada ya kupigwa za uso kwenye masuala ya Uchumi sasa mumegeukia makanisa kujifariji![]()

Na ndio maana viongozi wake wanafanya conference kwenye majukwaa makubwa