The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
MkapaKanda ya Ziwa ndio pekee iliyotoa marais wawili katika nchi hii. Je, huko kwenu livingstone hills mmetoa nani ??
MkapaKanda ya Ziwa ndio pekee iliyotoa marais wawili katika nchi hii. Je, huko kwenu livingstone hills mmetoa nani ??
HadithiiiHuwezi kuamini nina rafiki yangu anaitwa masanja yuko ifakara pale kwake anafamilia moja watu kama 60 , kwenye mji mmoja kwanza ana wake 4 watoto kwa wastani kila mke anao 7, 8, 10 halafu hao watoto wake wanaendelea kuzaa ukichukua hiyo family tree hadi ufike kwa wajukuu itakua hatari sana, kingine ni msukuma anapiga sana kazi masanja analima zaidi ya ekari 100 mpunga na mahindi ya kula huenda kulima mlimba kama ekari 20, halafu analima ekari za mpunga wa kula kwake kama ekari 30, bado analima mazao mengine kama viazi vitamu na kafuga ng’ombe wengi sana, uwezo wa yeye kuhudumia familia yake anao mkubwa sana
Mkapa siyo wa Southern Highland yeye ni wa Southern pure yaani Mtwara, Ruvuma na Lindi wakati nyie ni Iringa, Mbeya, Rukwa, Songwe na Njombe.Mkapa
Kote huko ni KusiniMkapa siyo wa Southern Highland yeye ni wa Southern pure yaani Mtwara, Ruvuma na Lindi wakati nyie ni Iringa, Mbeya, Rukwa, Songwe na Njombe.
Jifunze wewe. Usikurupuke.
Mkapa
Kahama imekojolewa mapato na Tunduma huko 😆😆Mtwara, Lindi ni Coastal, Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya, Songwe, Rukwa ndio Southern Highland
Yaani hako kamradi ndio ka bilionea? 😁😁..Vipi Maendeleo ya Royal hospital hapo Ghana wadau chini ya Bilionea Ndegesela!
View attachment 2406680
Kuanzia mwez wa pili ila safar hii yatapungua mfano zao la mbao njombe dc wameshusha ushuru wao wafanyabiashara wamehamia huko pia nakufunguliwa Bara bara Ya makete nayo imeathiri wanafuata mzigo hukohuko tofauti na mwanzoWadau wangu wa Njombe mje mnisaidie kidogo hapa..
Hivi ni miezi ipi Njombe huwa wanakuwa na activities za kukusanya pesa nyingi maana kuna Taarifa imenistua kwamba Kwa robo ya kwanza Njombe TC imekusanya Bil.1.3 tuu..
Njombe itaweza vipi Kufikia makusanyo ya Bil.8.4 kwa mwenendo huu? 👇
Okay hapa sasa umeeleza ukweli maana hata mimi ndugu yangu alikuwa anafuata Mbao Mbeya sasa anafuata Makete au Njombe DC moja kwa Moja hadi Mpanda..Kuanzia mwez wa pili ila safar hii yatapungua mfano zao la mbao njombe dc wameshusha ushuru wao wafanyabiashara wamehamia huko pia nakufunguliwa Bara bara Ya makete nayo imeathiri wanafuata mzigo hukohuko tofauti na mwanzo
Mnapokuwa na undiversified economy hayo ndio matatizo yakeOkay hapa sasa umeeleza ukweli maana hata mimi ndugu yangu alikuwa anafuata Mbao Mbeya sasa anafuata Makete au Njombe DC moja kwa Moja hadi Mpanda..
Ndio maana Makete ilipata mapato bil.4 mwaka Jana seems mwaka huu watapata zaidi..
Njombe Mjini imeshawakata hiyo,hawataweza fikia Bil.8
Sawa Southern Highland haijawahi kutoa Raisi wa nchi hii, Kanda ya ziwa imetoa wawili na tunajiandaa kutoa watatu.Kahama imekojolewa mapato na Tunduma huko 😆😆
No. Siyo kweliKote huko ni Kusini

Umeamua kutoa kituko cha mwaka, ila siku mkiacha kupauka mtafikia angalau level za huko bukoba vijijini