The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Usisahau huko kwenu njaa zimewajaa hadi mnauza wake mpate chakula.👇Mkimuuzi Sank haya mambo huko kwao, kawaida sana. Tuishi nae kwa akili tu. View attachment 2405904
Usisahau huko kwenu njaa zimewajaa hadi mnauza wake mpate chakula.👇Mkimuuzi Sank haya mambo huko kwao, kawaida sana. Tuishi nae kwa akili tu. View attachment 2405904
Usisahau huko kwenu njaa zimewajaa hadi mnauza wake mpate chakula.![]()
Hao mabwana ni wanazaa zaidi ya ukoo wa panya na simbilisi 😁😁.Huwezi kuamini nina rafiki yangu anaitwa masanja yuko ifakara pale kwake anafamilia moja watu kama 60 , kwenye mji mmoja kwanza ana wake 4 watoto kwa wastani kila mke anao 7, 8, 10 halafu hao watoto wake wanaendelea kuzaa ukichukua hiyo family tree hadi ufike kwa wajukuu itakua hatari sana, kingine ni msukuma anapiga sana kazi masanja analima zaidi ya ekari 100 mpunga na mahindi ya kula huenda kulima mlimba kama ekari 20, halafu analima ekari za mpunga wa kula kwake kama ekari 30, bado analima mazao mengine kama viazi vitamu na kafuga ng’ombe wengi sana, uwezo wa yeye kuhudumia familia yake anao mkubwa sana
Huyo Mzee wa Geita anauza wake zake Sababu ya njaa..Njaa usukumani haipo, alipo msukuma kitu njaa kinakimbia hakuna wachapa kazi kama wao, miaka yote mbeya huuza chakula kanda ya ziwa na sababu za kitaalamu ni kwamba wao wanavuna mwezi wa pili mapema, baadae wanaanza kununua kigoma, halafu wanahamia sumbawanga, halafu baadae mahindi kutoka ileje muda kama huu isongole kwenda mwanza japo ileje mahindi mengi hutoka malawi, kingine ukiwa unaenda ludewa ukifika kuanzia mlangali hadi kuvuka ludewa wao huvuna mahindi kuanzia mwezi wa tisa na kumi, hapo ukumbuke kanda ya ziwa wnanyang’anyana mazao na mkenya hapo ahueni hua nj uganda japo mwaka huu hajaingiza mahindi, kwahiyo ni mfumo wa mavuno tu sio vinginevo
Msukuma huku Lake zone ni kama anaisha hivi, huko kilombero/ Kilosa/ Usangu kwa ujumla akina ngosha wamemwaga mbegu sio mchezo, mpaka Zambia Kaskazini nasikia wamefika huko,Hao mabwana ni wanazaa zaidi ya ukoo wa panya na simbilisi 😁😁.
Mara nyingi watu maskini na wasio na Elimu kama wa huko Lake zone ndio hufanya ngono the only leisure they can afford 😂😂
Mbona mimi siwaoni?Msukuma huku Lake zone ni kama anaisha hivi, huko kilombero/ Kilosa/ Usangu kwa ujumla akina ngosha wamemwaga mbegu sio mchezo, mpaka Zambia Kaskazini nasikia wamefika huko,
Tulia kabisa ..Kila dili hua mnapata mgao wenu hapo nawakubali mlikua nahisi wizara ya fedha mtakua na vigogo lazima tu maana kanda ya ziwa miradi hua inakimbizwa chapchap leo Songwe airport haijakamilika lakini daraja la kigongo busisi kila leo viongozi wanalitembelea yaani hua mna kauspecial fulani hivi sijui kwa nini





Nyie mkijitenga mtakufa na njaa😄😄
Tulishahama huko kwenye ujenzi wa single lanes..Barabara ya kyaka .to bugene Hadi Rwanda na Uganda View attachment 2406006View attachment 2406007View attachment 2406008
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako Huwa unaleta mapicha mapicha yasiyo hata na logic. ... hujawahi kukaa kuongea facts na critical analysis...Msijisahaulishe..
Ujenzi wa Machinga Complex Tunduma,zaidi ya Bil.7 na likuwa kali kama lile la Dodoma![]()