The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Excuses hazitakaa zikusaidie Mzee na hapa bila shaka ni maumivu yanendelea 😁😁.Tatizo lako Huwa unaleta mapicha mapicha yasiyo hata na logic. ... hujawahi kukaa kuongea facts na critical analysis...
Ukitaka battle iende vizuri punguza hayo mapicha yako yasiyo na maana .leta hoja Jenga facts chambua Kwa kutumia figure na valid data
Sent using Jamii Forums mobile app
Njombe imewasilisha bandiko Kwa Mji rafiki Germany kwa ajili ya miradi ya maendeleo 👇




