Hakuna kitu mkoa mzima watu laki nane tu. Huko uswekeni tu.Ukiangalia hii idadi ya Magorofa ukalinganisha ukongwe na ukubwa wa mkoa kijiografia utagundua kuwa Njombe inapiga maendeleo kwa Kasi sana.Kwenye mikoa mikongwe Magorofa mengine ni ya NHC yaliyojengwa miaka Mingi sana kwenywe makao makuu ya mikoa.Njombe ndio mkoa wenye eneo dogo kabisa Tanzania ukiondoa mikoa ya Zanzibar lakini Ina Magorofa mengi kwa uwiano wa idadi ya makazi na Magorofa karibia asilimia ishirini yapo vijijini.We are in the right direction.
Hujui kitu tuulize sisi tunaojua, Ipo proposal ya mkoa mpya wa Nyanza ambao utakuwa na Wilaya za Busega, Magu, Kwimba, Sengerema, Buchosa na Misungwi. Huku baadhi ya maeneo ya kata za Magu na Misungwi zikianzisha wilaya mpya ya Kisesa na kulifanya Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania (Mwanza ) kuwa na Wilaya tatu yaani Nyamagana, Ilemela na Kisesa. Wazo la Chato kuwa mkoa linakufa natural death.Then shinyanga apewe Kwimba na baadhi ya maeneo ya Usagara ili Kutengeneza Metropolitan City nzur kwa upande wa Mwanz
Wapi Arusha wanakojidai kwamba ni matajiri ?Naam kagera ipo top Five kwa idadi ya majengo
Sasa hayp majengo sio kwamba yapo kwenye mji mdogo kama Bukoba...la asha yapo huko vijijini na majumba na majumba...
View attachment 2404708
MhhhDar with all the resources wanashindwa kweli kujenga madarasa ya Maghorofa Ili ku accommodate watoto?
Nilishasema siwesi ishi sehemu yenye watu wamerundika hovyo kama huko kwenu,mara nyingi huduma huwa no horrible.
Mwanza hata hata hapa bado iko juu tu.Iringa ina tofauti gani na Bukoba? Kamji kadogo tumajengo tuchache tumerundikana hapo Mjini kati..
Acha kulinganisha Mbeya na vitu vya Kijinga..
Mbeya gorofa 1073 vs Iringa 529 ,So usilinganishe Mbeya na vitu vya Kipuuzi
Kila mahala mwanza baba laoKanda ya Ziwa mumejitahidi kiasi kwa huduma za jamii ila kwa hiyo idadi yenu kubwa ya watu mtakuwa mnapata tabu Sana aisee kwa Msongamano.
Vituo vya kutolea huduma za afya
Chanzo ?Population za majiji 2022
Dar 5 milioni
Mwanza 1 milion
Dodoma 600k
Arusha 500k
Mbeya 500k
Tanga 350k
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo ?Population za majiji 2022
Dar 5 milioni
Mwanza 1 milion
Dodoma 600k
Arusha 500k
Mbeya 500k
Tanga 350k
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii habari nyeti sana, na iwe hivyoHujui kitu tuulize sisi tunaojua, Ipo proposal ya mkoa mpya wa Nyanza ambao utakuwa na Wilaya za Busega, Magu, Kwimba, Sengerema, Buchosa na Misungwi. Huku baadhi ya maeneo ya kata za Magu na Misungwi zikianzisha wilaya mpya ya Kisesa na kulifanya Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania (Mwanza ) kuwa na Wilaya tatu yaani Nyamagana, Ilemela na Kisesa. Wazo la Chato kuwa mkoa linakufa natural death.
me hapo sijaelewa kitu kwa hiyo mkoa wa Mwanza utakuwa na wilaya tatu za nyamagana, ilemela na kisesa tu?Hujui kitu tuulize sisi tunaojua, Ipo proposal ya mkoa mpya wa Nyanza ambao utakuwa na Wilaya za Busega, Magu, Kwimba, Sengerema, Buchosa na Misungwi. Huku baadhi ya maeneo ya kata za Magu na Misungwi zikianzisha wilaya mpya ya Kisesa na kulifanya Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania (Mwanza ) kuwa na Wilaya tatu yaani Nyamagana, Ilemela na Kisesa. Wazo la Chato kuwa mkoa linakufa natural death.
Katoro haiondoki Geita hujafuatilia. Inaondoka Bukombe na Chato kuungana na Biharamulo na Ngara. Hii ndio propasal.Huoni chato ikipelekwa kuwa mkoa geita itabaki haina eneo ...Kwa sababu wilaya ya bukombe ,katoro na chato zenyewe zitaondolewa Geita ..ndo maana Geita waliomba buchosaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana. Wilaya ya Sengerema bila Buchosa hakuna kitu.Mbona buchosa hata syo ya kuipigania..wilaya potential mwanza ni sengerema, misungwi na kwimba..hizi wilaya Zina reserve kubwa ya madini ya almasi na dhahabu.pamoja ardhi yenye rutuba ..
Kuhusu ziwa Wilaya ya magu na ilemela na ukerewe zipo na zinachangia vizuri kwenye uchumi wa blue
Sent using Jamii Forums mobile app
We subiri tu utakubali siku mojaHii habari nyeti sana, na iwe hivyo
Huoni kwamba hata idadi ya watu huwa tunasingiziwa, wanasema tupo milioni zaidi ya 20 kumbe Tuko milioni 16 tu.Kanda ya Ziwa mumejitahidi kiasi kwa huduma za jamii ila kwa hiyo idadi yenu kubwa ya watu mtakuwa mnapata tabu Sana aisee kwa Msongamano.
Vituo vya kutolea huduma za afya 👇
Ndio mpango ulivyo, we subiri utaona. Kumbuka watu wa Busega mpaka leo wanaona kwamba walionewa sana kupelekwa Simiyu na ndio mambo yanakwenda hivyo.me hapo sijaelewa kitu kwa hiyo mkoa wa Mwanza utakuwa na wilaya tatu za nyamagana, ilemela na kisesa tu?
Ni suala la muda tu, kujaa kwa wilaya ya Nyamagana kumeanza kunufaisha wilaya za jiraniBasi waboreshe adi uko Kwimba
Hii kitu itakuja kutokea miaka 500 ijayo sio sasaNdio mpango ulivyo, we subiri utaona. Kumbuka watu wa Busega mpaka leo wanaona kwamba walionewa sana kupelekwa Simiyu na ndio mambo yanakwenda hivyo.
Kwamba mnaiga Dar ilivyozungukwa na Pwani au? 😃😃.Hujui kitu tuulize sisi tunaojua, Ipo proposal ya mkoa mpya wa Nyanza ambao utakuwa na Wilaya za Busega, Magu, Kwimba, Sengerema, Buchosa na Misungwi. Huku baadhi ya maeneo ya kata za Magu na Misungwi zikianzisha wilaya mpya ya Kisesa na kulifanya Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania (Mwanza ) kuwa na Wilaya tatu yaani Nyamagana, Ilemela na Kisesa. Wazo la Chato kuwa mkoa linakufa natural death.
Wewe ndio huna akili, sijataja kigezo chochote kwa nini kahama itamegwa, ila umejibu kana kwamba ni idadi ya watu.Wewe mara nyingi huwa nakwambia hunaga akili..
Sasa ukitoa Kahama ikawa Mkoa kwa Hiyo Shinyanga itakuwa nini sasa? Maana Wilaya zote za Za Mkoa wa Shinyanga ziko upande wa Kahama huko..
Kuongezeka kwa idadi ya watu sio kigezo cha kugawa Mkoa bali hadhi ya Mji kukua na kuongeza ngazi za chini kama Halmashauri mpya nk..
Ingekuwa hivyo basi kila Wilaya ya Dar ingekuwa Mkoa sasa..
Shinyanga itabakia hivyo hivyo hadhi ya Mji inaweza badilikuwa kuwa na Jiji au Halmashauri zingine..
Kigezo kikubwa cha kugawa Mkoa ni geografia ya eneo na nature of Terrain..
Ndio Maana Njombe ilimegwa kutoka Iringa kwa sababu kutoka Makambako kwenda Iringa Mjini ni zaidi ya km 100 hapo bado hujataja Njombe,Makete na Ludewa..
Hivyo hivyo Kwa Geita,Manyara na Katavi.Mfano kutoka Mpanda ambao ndio mkoa wa Katavi hadi Sumbawanga ni km 245.
Kwa muktadha huo basi Mikoa itakayogawanywa ni Tabara, Morogoro,Ruvuma na Lindi..
Chato haina vigezo bali ni upuuzi na ubinafsi wa Mwendazake.
Mara nyingi nyie Misukule wa Mwendazake huwana hamna emotional stabiliy na mnadanganywa kirahisi Sana 😁😁😁😁..Wewe ndio huna akili, sijataja kigezo chochote kwa nini kahama itamegwa, ila umejibu kana kwamba ni idadi ya watu.
Kivevele nenda taratibu🤣🤣