hiyo five milion ndio mkoa mzima wa Dar tunataka za jiji la Ilala wana idadi gani ya watu?Population za majiji 2022
Dar 5 milioni
Mwanza 1 milion
Dodoma 600k
Arusha 500k
Mbeya 500k
Tanga 350k
Sent using Jamii Forums mobile app
waache utapeli kwani kisesa ipo mkoa gani?Hilo sharti lilitoka pamoja na ombi la kupewa wilaya ya kisesa....,,watu wa buchosa waliomba kuhamishiwa geita Kwa sababu ni km 58 tu tofauti na mwanza ni km 100 ... mwanza waliomba wilaya ya kisesa...Kwa hyo sharti ni kuwa mwanza watoe buchosa wapewe kisesa
Sent using Jamii Forums mobile app
waache utapeli kwani kisesa ipo mkoa gani? mimi najua kisesa pia ipo Mwanza wilaya ya Geita. wakitaka maeneo wakachukue huko kakonko mkoani kigoma.Hilo sharti lilitoka pamoja na ombi la kupewa wilaya ya kisesa....,,watu wa buchosa waliomba kuhamishiwa geita Kwa sababu ni km 58 tu tofauti na mwanza ni km 100 ... mwanza waliomba wilaya ya kisesa...Kwa hyo sharti ni kuwa mwanza watoe buchosa wapewe kisesa
Sent using Jamii Forums mobile app
chato itakuwa capital navyohisi.Unajifariji,Capital ni Chato ambapo tayari Mwendazake alishaweka infrastructure za ngazi ya Mkoa.
Watu wa buchosa wenyewe ndo wanaotaka waende geitAwaache utapeli kwani kisesa ipo mkoa gani? mimi najua kisesa pia ipo Mwanza wilaya ya Geita. wakitaka maeneo wakachukue huko kakonko mkoani kigoma.
wana magorofa mengi lakini ni vidogo vidogo sana kama vya mombasa.
Huoni chato ikipelekwa kuwa mkoa geita itabaki haina eneo ...Kwa sababu wilaya ya bukombe ,katoro na chato zenyewe zitaondolewa Geita ..ndo maana Geita waliomba buchosaachato itakuwa capital navyohisi.
huo mchele mnaexport ulaya kodi ikiwa inabaki Dar.Tena tuna export mchele Ulaya Mzee.
waache waondoke wenyewe na mizigo yao hiyo buchosa waiache hapo hapo.
kamanda me sijaona umuhimu wa chato kuwa mkoa wakitaka kuwa mkoa wagawane maeneo ya huko kagera na kigoma.Huoni chato ikipelekwa kuwa mkoa geita itabaki haina eneo ...Kwa sababu wilaya ya bukombe ,katoro na chato zenyewe zitaondolewa Geita ..ndo maana Geita waliomba buchosaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona buchosa hata syo ya kuipigania..wilaya potential mwanza ni sengerema, misungwi na kwimba..hizi wilaya Zina reserve kubwa ya madini ya almasi na dhahabu.pamoja ardhi yenye rutuba ..waache waondoke wenyewe na mizigo yao hiyo buchosa waiache hapo hapo.
mkuu huwa nakukubali sana kwenye mambo ya uchumi au labda huijui Buchosa nakuomba uangalie upya ramani ya mkoa wa Mwanza na angalia mahali buchosa ilipo theni uje uandike upya kamanga wangu.Mbona buchosa hata syo ya kuipigania..wilaya potential mwanza ni sengerema, misungwi na kwimba..hizi wilaya Zina reserve kubwa ya madini ya almasi na dhahabu.pamoja ardhi yenye rutuba ..
Kuhusu ziwa Wilaya ya magu na ilemela na ukerewe zipo na zinachangia vizuri kwenye uchumi wa blue
Sent using Jamii Forums mobile app
sengerema unayojitambia kuwa kuna uchumi wa blue ni kwasababu ya halmashauri yake ya buchosa na visiwa vyake.Mbona buchosa hata syo ya kuipigania..wilaya potential mwanza ni sengerema, misungwi na kwimba..hizi wilaya Zina reserve kubwa ya madini ya almasi na dhahabu.pamoja ardhi yenye rutuba ..
Kuhusu ziwa Wilaya ya magu na ilemela na ukerewe zipo na zinachangia vizuri kwenye uchumi wa blue
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukibakia Dar Wala sio tatizo bali exporter anakuwa kaingiza chake,kwani Mbeya kuna bandari au Uwanja mkubwa?huo mchele mnaexport ulaya kodi ikiwa inabaki Dar.
Kwani Kisesa ipo wapi...?!Hilo sharti lilitoka pamoja na ombi la kupewa wilaya ya kisesa....,,watu wa buchosa waliomba kuhamishiwa geita Kwa sababu ni km 58 tu tofauti na mwanza ni km 100 ... mwanza waliomba wilaya ya kisesa...Kwa hyo sharti ni kuwa mwanza watoe buchosa wapewe kisesa
Sent using Jamii Forums mobile app
ha hahahahah...waache waondoke wenyewe na mizigo yao hiyo buchosa waiache hapo hapo.
Kisesa ni kata ...mwanza waliomba iwe manispaa,,,ndio wakapewa sharti hilo
Hapo Nimeelewa mkuu.Kisesa ni kata ...mwanza waliomba iwe manispaa,,,ndio wakapewa sharti hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweli hata kabla ya kugawanywa Iringa ilikuwa ni ndogo kwa Tabora. Tafadhali usidanganye watuHatugawi watu pekee Bali tunagawa ukubwa wa eneo,nature of Terrain na Potential ya eneo GDP na kusogeza huduma zaidi.
Mawilaya ya huko Tabora mengi ni tambarare na yamejee wavivu kama wewe..
Mwisho kabla ya kugawa ,Iringa ilikuwa kubwa kuliko Tabora.
Hujui kitu kabisa. Kutoka Mwanza kwenda Geita kupitia Kamanga Ferry ni km 98 tu. Aidha, kutoka Mwanza kwenda Geita kupitia Busisi ni Km 120 tu siyo km 200 kama unavyodanganya.Wewe mara nyingi huwa nakwambia hunaga akili..
Sasa ukitoa Kahama ikawa Mkoa kwa Hiyo Shinyanga itakuwa nini sasa? Maana Wilaya zote za Za Mkoa wa Shinyanga ziko upande wa Kahama huko..
Kuongezeka kwa idadi ya watu sio kigezo cha kugawa Mkoa bali hadhi ya Mji kukua na kuongeza ngazi za chini kama Halmashauri mpya nk..
Ingekuwa hivyo basi kila Wilaya ya Dar ingekuwa Mkoa sasa..
Shinyanga itabakia hivyo hivyo hadhi ya Mji inaweza badilikuwa kuwa na Jiji au Halmashauri zingine..
Kigezo kikubwa cha kugawa Mkoa ni geografia ya eneo na nature of Terrain..
Ndio Maana Njombe ilimegwa kutoka Iringa kwa sababu kutoka Makambako kwenda Iringa Mjini ni zaidi ya km 100 hapo bado hujataja Njombe,Makete na Ludewa..
Hivyo hivyo Kwa Geita,Manyara na Katavi.Mfano kutoka Mpanda ambao ndio mkoa wa Katavi hadi Sumbawanga ni km 245.
Kwa muktadha huo basi Mikoa itakayogawanywa ni Tabara, Morogoro,Ruvuma na Lindi..
Chato haina vigezo bali ni upuuzi na ubinafsi wa Mwendazake.