Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Idadi ya Watu
1. Dar es Salaam
2. Mwanza
3. Tabora
4. Morogoro
5. Dodoma
6. Kagera
7. Geita
8. Tanga
9. Kigoma
10. Arusha

Nyanda za juu kusini hakuna top 10 hata mkoa mmoja...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Namba kumi toa Arusha weka Mara Wana 2.37 mln. Vs 2.35 ya Arusha.👇
 

Attachments

  • 20221101_052001.jpg
    20221101_052001.jpg
    217.5 KB · Views: 8
Idadi ya Watu
1. Dar es Salaam
2. Mwanza
3. Tabora
4. Morogoro
5. Dodoma
6. Kagera
7. Geita
8. Tanga
9. Kigoma
10. Arusha

Nyanda za juu kusini hakuna top 10 hata mkoa mmoja...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Na wanang'ang'ana kutwa kulalamika kuwa serikali imewatenga , sasa sjui serikali ipelekee huduma popo na mijusi
 
Nyanda za juu mko wachache ila ndo mmejaza nyumba za tope mijini zisizo na mpangilio
Wewe mara nyingi hunaga akili na hata shule ulikuwa kukamilisha vidato tuu..

Mikoa ya Kanda ya Ziwa ina Msongamano mkubwa sana wa watu ni kama mnaishi kwenye zizi badala ya nyumba..

Mfano Kwa Mwanza 3,690,000/868,000 Unapata uwiano wa nyumba moja inakaliwa na watu 4.25 wakati Kwa Mbeya 2,340,000/623,000 Unapata uwiano wa 3.75..

Sasa kwa hesabu hizo wapi wanaishi kwenye makazi ya tembe,tope na kwenye slums?

Tena baadhi ya mikoa yetu uwiano ni mdogo zaidi mfano Njombe tuna 3.1 kumaanisha we live in decent houses.
 
Ukitoa Dar giant wa siasa na wanaoamua ni kanda ya ziwa, nyanda za juu kusini na magharibi, nasubiri LNG na Mabomba ya gesi ikamilike huko nako makusanyo yapae juu, miradi ya kigoma ikiisha makusanyo yatakua maradufu, nasubiri ziwa nyasa miradi iishe mapato kusini yapae, Arusha wao tayari waongeze juhudi wafikie bilioni hata 700, Geita migodi izalishe zaidi mapato yapae juu, Dodoma huduma pekee itapandisha mapato mara dufu, Tanga bandari iishe mapato nayo yapae yaani Tanzania tusitegemee Dar pekee kwenye makusanyo uchumi na fursa zisambae ndio nchi itapiga hatua na kukimbia kimaendeleo
 
Na wanang'ang'ana kutwa kulalamika kuwa serikali imewatenga , sasa sjui serikali ipelekee huduma popo na mijusi
Kuwe na kanuni maalumu ya Mgawanyo wa rasilimali za Taifa kulingana na vigezo sio utashi wa Kiongozi..

Vigezo vinavyotakiwa viwe,
-uchangiaji kwenye Pato la Taifa,
-idadi ya watu,
-ukubwa wa eneo/landmass,
-Nature of Terrain and Climatic Condition,
-Other Social Factors kama Kuwa Mipakani nk..

Tukienda kwa utaratibu huu hutosikia mtu analalamika maana atapata anachostahili badala ya kurundika kila kitu huko Lake zone kulikojaa wavivu.
 
Ukitoa Dar giant wa siasa na wanaoamua ni kanda ya ziwa, nyanda za juu kusini na magharibi, nasubiri LNG na Mabomba ya gesi ikamilike huko nako makusanyo yapae juu, miradi ya kigoma ikiisha makusanyo yatakua maradufu, nasubiri ziwa nyasa miradi iishe mapato kusini yapae, Arusha wao tayari waongeze juhudi wafikie bilioni hata 700, Geita migodi izalishe zaidi mapato yapae juu, Dodoma huduma pekee itapandisha mapato mara dufu, Tanga bandari iishe mapato nayo yapae yaani Tanzania tusitegemee Dar pekee kwenye makusanyo uchumi na fursa zisambae ndio nchi itapiga hatua na kukimbia kimaendeleo
Watu mil.16 mtaweza kuamua mbele ya watu mil.45? Acheni ujinga nyie.
 
Watu mil.16 mtaweza kuamua mbele ya watu mil.45? Acheni ujinga nyie.

Sijui umenisoma vizuri nakucholea ramani siasa inaanzia Mbeya, Rukwa, Katavi, Tabora, Kigoma, Songwe, Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, hiyo mikoa ndio kura nyingi zilipo nikasema vyama viwekeze huko, Dar ina idadi kubwa ya watu lakini ushiriki kwenye mambo mengi tuko nyuma au tunapiuzia, nikaja nikasema miradi kwenye mikoa mbali mbali ikikamilika ikiwepo miradi ya chuma na makaa pale njombe, uchimbaji wa madini kiwira, ziwa nyasa miradi ikamilike kabisa mbeleni tuchimbe mafuta ya ziwa nyasa mapato mikoa ya nyanda za juu kusini itakua balaa sana, halafu nikasema kanda ya ziwa nao wapambane mapato yapae zaidi itoke kwenye bilioni kadhaa ifike trillion kadhaa hapo lindi LNG itakua inaingiza pesa nyingi sana, Tanga bomba la mafuta kutoka Uganda litapaisha mapato kua juu, halafu pwani itakua sumaku zaidi ya viwanda plus bandari ikiisha mapato yatakua maradufu huku Dodoma itakua ni kinara wa huduma na watu wataingia na kutoka kwa wingi hivo uchumi utasambaa mikoa yote ndio itakua safi mambo ya kila kitu Dar sio sawa maana kwingine kuna dumaa leo naongea fact sitaki ligi zetu zile
 
Hawa watu sjui huwa wanafkria Kwa kutumia matako., Hzo si zilikuwa projections , wakat huo zikisubir actual data , sasa assumption unapingana na primary source , ujinga mtupu
Baada ya Magufuli kufa, hawa watu wameonekana ni wa hovyo kabisa hawawezi kuongoza nchi.
Haijulikani wanasimamia nini
 
Back
Top Bottom