Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

_20221027_193450.JPG

Mwanza

Green city mje mwanza mjifunze kupanda miti na kupanga mji.
 
Hii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africa
Bora umemwambia inaitwa ROVOS na hapo Ni makambako station
 

Attachments

  • FB_IMG_16667564881191025.jpg
    FB_IMG_16667564881191025.jpg
    7.7 KB · Views: 6
  • FB_IMG_16667564795864093.jpg
    FB_IMG_16667564795864093.jpg
    52.6 KB · Views: 7
  • FB_IMG_16667563293766437.jpg
    FB_IMG_16667563293766437.jpg
    38.4 KB · Views: 6
  • FB_IMG_16667563017181091.jpg
    FB_IMG_16667563017181091.jpg
    39.9 KB · Views: 6
  • FB_IMG_16667562390029025.jpg
    FB_IMG_16667562390029025.jpg
    32 KB · Views: 8
Yaani Mbeya inalingana na Nyegezi wakuu hata kimuonekano tokea juu! Kusema kweli Mbeya bado sana aese!
acha kufananaisha nyegezi na CBD ya mbeya isiyoeleweka, Nyegezi kuna nyumba zilizopangiliwa vizuri, nyegezi ina ukijani mzuri kutoka milimani, nyegezi ina stendi bora hapa Tanzania, Nyegezi ina chuo kikubwa cha SAUTI.
Huwa nakaa najiuliza kwanini mbeya iliitwa green city wakati jiji lina ukame na vumbi everywhere.
 
acha kufananaisha nyegezi na CBD ya mbeya isiyoeleweka, Nyegezi kuna nyumba zilizopangiliwa vizuri, nyegezi ina ukijani mzuri kutoka milimani, nyegezi ina stendi bora hapa Tanzania, Nyegezi ina chuo kikubwa cha SAUTI.
Huwa nakaa najiuliza kwanini mbeya iliitwa green city wakati jiji lina ukame na vumbi everywhere.
Hahaha kweli mkuu ni majumba ya tope kila kona!
 
Hii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africa
Nyie mlieletewa mabehewa ya kisenge kama mapipa ya pombe huko kwenye sgr zenu hamuoni?
Hii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africa
Mwisho kwa sasa Serikali unapanga kununua train ya utalii kwenye reli ya sgr kama hii Kwa ajili ya utalii wa ndani..
 

Attachments

  • Screenshot_20221022-071444.png
    Screenshot_20221022-071444.png
    273.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221022-071243.png
    Screenshot_20221022-071243.png
    259.2 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221022-070651.png
    Screenshot_20221022-070651.png
    158.9 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221022-070644.png
    Screenshot_20221022-070644.png
    159.4 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221021-221222.png
    Screenshot_20221021-221222.png
    400.5 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221021-221213.png
    Screenshot_20221021-221213.png
    290.7 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221021-221155.png
    Screenshot_20221021-221155.png
    423.5 KB · Views: 8
Bora ata tupe ziwe na mpangilio kama zile za lindi lakini za mbeya ni nyumba za tope zisizokuwa na mpangilio hakuna njia ya kupita kwa bodaboda na hapo ni katikati ya jiji la Mbeya.
Hapa lazima mpite kimya kimya huku mkisonya 😄😄.

Go Mbeya go 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221029-161618.png
    Screenshot_20221029-161618.png
    137.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221029-161612.png
    Screenshot_20221029-161612.png
    159.5 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221026-160714.png
    Screenshot_20221026-160714.png
    200.5 KB · Views: 8
Eti wanataka kushindana na Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221027-232050.png
    Screenshot_20221027-232050.png
    165.1 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221027-232104.png
    Screenshot_20221027-232104.png
    207.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221027-232243.png
    Screenshot_20221027-232243.png
    444.1 KB · Views: 6
Back
Top Bottom