Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Hii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africaPcha za mambele zinafanya nini? kwanini usiwe realistic tu.
Hii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africaPcha za mambele zinafanya nini? kwanini usiwe realistic tu.
Hapo sawa ngosha.Hii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africa
Green city ya mchongo


Yaani Mbeya inalingana na Nyegezi wakuu hata kimuonekano tokea juu! Kusema kweli Mbeya bado sana aese!
Bora umemwambia inaitwa ROVOS na hapo Ni makambako stationHii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africa
Namuona Gwakisa...Bora umemwambia inaitwa ROVOS na hapo Ni makambako station
acha kufananaisha nyegezi na CBD ya mbeya isiyoeleweka, Nyegezi kuna nyumba zilizopangiliwa vizuri, nyegezi ina ukijani mzuri kutoka milimani, nyegezi ina stendi bora hapa Tanzania, Nyegezi ina chuo kikubwa cha SAUTI.Yaani Mbeya inalingana na Nyegezi wakuu hata kimuonekano tokea juu! Kusema kweli Mbeya bado sana aese!
Hahaha kweli mkuu ni majumba ya tope kila kona!acha kufananaisha nyegezi na CBD ya mbeya isiyoeleweka, Nyegezi kuna nyumba zilizopangiliwa vizuri, nyegezi ina ukijani mzuri kutoka milimani, nyegezi ina stendi bora hapa Tanzania, Nyegezi ina chuo kikubwa cha SAUTI.
Huwa nakaa najiuliza kwanini mbeya iliitwa green city wakati jiji lina ukame na vumbi everywhere.
Ni afadhali zingekuwa na mpangilio kama zile za lindi lakini za mbeya ni nyumba za tope zisizokuwa na mpangilio hakuna njia ya kupita kwa bodaboda na hapo ni katikati ya jiji la Mbeya.Hahaha kweli mkuu ni majumba ya tope kila kona!
Nyie mlieletewa mabehewa ya kisenge kama mapipa ya pombe huko kwenye sgr zenu hamuoni?Hii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africa
Mwisho kwa sasa Serikali unapanga kununua train ya utalii kwenye reli ya sgr kama hii Kwa ajili ya utalii wa ndani..Hii ni ile train ya kitalii ambayo huwa inakuja mara moja kwa mwaka kutokea South africa
Bora tope la Mbeya ni gumu kuliko mauchafu yale kwenye vilima vya huko Mwanza..Hahaha kweli mkuu ni majumba ya tope kila kona!
Na huku mbona hamji? Mbeya 👇
Hapa lazima mpite kimya kimya huku mkisonya 😄😄.Bora ata tupe ziwe na mpangilio kama zile za lindi lakini za mbeya ni nyumba za tope zisizokuwa na mpangilio hakuna njia ya kupita kwa bodaboda na hapo ni katikati ya jiji la Mbeya.
Hizi picha zote ni ghorofa moja angle tofauti.Na huku mbona hamji? Mbeya 👇