Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Weka mambo kwa ground acha ngonjera za makaratasi.Hapa lazima mpite kimya kimya huku mkisonya 😄😄.
Go Mbeya go 👇
Weka mambo kwa ground acha ngonjera za makaratasi.Hapa lazima mpite kimya kimya huku mkisonya 😄😄.
Go Mbeya go 👇
hiyo mbeya ikashindane na ruvuma.Eti wanataka kushindana na Mbeya 👇
Mambo kwa ground nimeshaweka,last week contractors walikuja kufanya site visit..Weka mambo kwa ground acha ngonjera za makaratasi.
Excuses 😁😁hiyo mbeya ikashindane na ruvuma.
Pana ghorofa moja hapo? Una kichaa wewe sio bure.H
Hizi picha zote ni ghorofa moja angle tofauti.
Acha pupa mkuu hapo hakuna flyover utakayokuja kuiona labda kama ni daraja la kuvusha wakulima wa mpunga kutoka uyole.Mambo kwa ground nimeshaweka,last week contractors walikuja kufanya site visit..
Mwezi March kazi zinaanza..render ndio zimeshatoka hivyo.
utakuwa una makengeza kabisa kwani hapo unaona kuna utofauti?Pana ghorofa moja hapo? Una kichaa wewe sio bure.
Daraja la kienyeji kama lile.la mabatini hutokuja kuliona kwenye TANZAM T1..Acha pupa mkuu hapo hakuna flyover utakayokuja kuiona labda kama ni daraja la kuvusha wakulima wa mpunga kutoka uyole.
onyesha daraja lenu la kuvusha magunia ya viazi tuone.Daraja la kienyeji kama lile.la mabatini hutokuja kuliona kwenye TANZAM T1..
Hayi hujengwa kwenye barabara za kienyeji kama hizo za huko uswahilini Mwanza.
Hakuna utofauti 😄😄👇utakuwa una makengeza kabisa kwani hapo unaona kuna utofauti?
Utaliona baada ya ujenzi kukamilika..onyesha daraja lenu la kuvusha magunia ya viazi tuone.
umekuja penyewe mbeya cbd ina ghorofa mbili tu including maranatha hosp😜😜😜😜😜Hakuna utofauti 😄😄👇
Sasa wewe kenge hakuna kitu unajua,Mbeya ina CBD 2,Mafiati-Mwanjelwa na City centre..umekuja penyewe mbeya cbd ina ghorofa mbili tu including maranatha hosp😜😜😜😜😜
we kimbulu kabisa tunaongelea cbd, naona unaokotozeza vijigorofa mpaka vya matakoni huko.Sasa wewe kenge hakuna kitu unajua,Mbeya ina CBD 2,Mafiati-Mwanjelwa na City centre..
Kwa hiyo hizi ziko mbili si ndio? Ziko Mwanjelwa na bado counting zingine 👇
😄😄 Wewe ndio kimba kabisa ,hizo unasosema naokoteza ziko CBD na Nimekwambia Mbeya ni kama.Dar ina CBD nzuri.we kimbulu kabisa tunaongelea cbd, naona unaokotozeza vijigorofa mpaka vya matakoni huko.
na vipi kuhusu mgodi mkubwa sana wa nyanzaga, sengerema, Mwanza ukianza kufanya kazi hakika Mwanza itakuwa ya Kwanza kiuchumi mbele ya Dar.Eti wanataka kushindana na Mbeya kwenye Uchumi..
Ni suala la mda tuu GDP ya Mbeya kuwa second to Dar..
Mgodi wa Ngualla Rare Earth mbioni kujengwa,zaidi ya Bil.500 👇
ukisema kijiji cha Mbeya kina CBD nne basi Mwanza itakuwa na Cbd sita na kwenye hizo cbd sita za mwanza cbd ya mbeya haiwezi kuzidi hizo ata miaka 10 ijayo.😄😄 Wewe ndio kimba kabisa ,hizo unasosema naokoteza ziko CBD na Nimekwambia Mbeya ni kama.Dar ina CBD nzuri.
Tayari umeshajengwa so upo kwenye GDP ya Sasa ya Mwanza ukianza uzalishaji utaongezea ila investment ya kwanza ndio huwa kubwa..na vipi kuhusu mgodi mkubwa sana wa nyanzaga, sengerema, Mwanza ukianza kufanya kazi hakika Mwanza itakuwa ya Kwanza kiuchumi mbele ya Dar.
hizi picha ni gorofa moja alafu hii gorofa huku Mwanza ni kama nyumba tu ya mtu.Sasa wewe kenge hakuna kitu unajua,Mbeya ina CBD 2,Mafiati-Mwanjelwa na City centre..
Kwa hiyo hizi ziko mbili si ndio? Ziko Mwanjelwa na bado counting zingine 👇