Reli Gani mliyo nayo ...kama sio Nyerere kufadhiliwa na mchina ..hyo reli mngeisikia tu .....huku reli Ina miaka mia kadhaa Toka mwingereza anatawala..ndo ujue tuko productive long ago
TANZAM Highway ni barabara kubwa kuliko yoyote Tanzania ni ile ya kutoka Dar hadi Tunduma na ndiyo ina code ya T1 wakati ya kwenda Arusha ina code ya T2 na ile ya kwenda Mwanza ina code ya T3! Kwenye hilo nawatetea Mbeya.


