Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Viwanda complex na significant kama hvi huwezi vipata huko ,,, Kijiji kikubwa Cha viazi
images (36).jpg
images (33).jpg
images (35).jpg
 
Vimewekwa kwenye viwanda 20 vya kati ..hyo figure ya mbeya ni Mpya ...yaani total ya viwanda vikubwa na vya kati mbeya ni 30 .
Ujinga ni mzigo.

viwanda vyote hapo vimeanza Kazi mwaka 2021 so haviko kwenye hiyo hesabu ya 2019/2020.
 
Japo napenda ligi yenu lakini tusiishie kusifia mali za watu wengine huu ushindani utupeleke tukaribishane kila mmoja kwao alipo tuone uwekezaji wake ni upi na wengine wajifunze haina maana kupost na kusifia tu vitu vya wengine tujiongeze na kujenga urafiki wa maendeleo na kupeana fursa mpya na zilizopo na tufanye mambo halali tulipe kodi nchi isonge mbele
Nikishawashauri hii kitu lakini naona ligi Iko kwenye nyumba na mabasi
 
Basi tuwaongezee .. hvyo 5 mfike 35 .mnatia huruma ..mkoa mzima mnazidiwa na wilaya 1View attachment 2395223
Yaani unajitoa ufahamu eti 😜😜😜😜.

Ongeza hivyo kwenye 1790 na kumbuka hivyo ni vikubwa na vya Kati ila vidogo ni countless..

Mbeya kwenye viwanda ni next leve.Wakati kina Mwanza mkishangilia viwanda vya wazungu na kina kanjibai wenzenu wanajenga viwanda vyao kama wazawa kufanya value addition 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-101053.png
    Screenshot_20221023-101053.png
    135.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221023-101228.png
    Screenshot_20221023-101228.png
    126.4 KB · Views: 6
Viwanda complex na significant kama hvi huwezi vipata huko ,,, Kijiji kikubwa Cha viaziView attachment 2395198View attachment 2395199View attachment 2395201
Endelea kushangilia viwanda vya kanjibai huku mnazidi kuwa maskini 😁😁..

Hatua za mwisho za Ujenzi wa Kiwanda cha Value addition ya Mazao ya mbogamboga na matunda chini ya Agri-Connect unaenda kuzinduliwa mwezi wa 11,inanufaisha wakulima moja kwa Moja nyie mnashangilia kanjibai 😂😂.

Mbeya ni next level,sipati Picha GDP ya 2022 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-095308.png
    Screenshot_20221023-095308.png
    99.1 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221023-095616.png
    Screenshot_20221023-095616.png
    95.9 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221023-095652.png
    Screenshot_20221023-095652.png
    105.4 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221023-095734.png
    Screenshot_20221023-095734.png
    149.9 KB · Views: 7
😬😬😬😬 Wameamua kujitoa Njombe na kuhamia Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-083800.png
    Screenshot_20221023-083800.png
    168.3 KB · Views: 11
Tukuwekee hapa ili ...sema nikutumie nauli uje nikutembeze ...nauli ya mbeya ni elfu 60 nichek pm
hizo hospital ni hiz na Sina muda wa kutumia picha waweza google

Sekotouere hospital
Bugando hospital
Uhuru hospital
AAR hospital
Tanzanite hospital
Mwanza hospital
Kamanga medics
Agha Khan hospital
Mwananchi hospital
Nyamagana hospital
Hindu Mandal hospital
.ukitaka addition nakupa
Mbona umeisahau hospitali ya wasabato pale pasiansi yenye gorofa 6
 
Back
Top Bottom