Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Wameshindwa kina Shinyanga na migodi zaidi ya 3 sembuse hako kamoja?

Geita iko wapi? Mtaipata ila sio ndani ya miaka 3,the moment mnaifikia hiyo Mbeya itakuwa imeshawapita zamani Sana..

Mbeya tutawapita bila hata Migodi bali kwa barabara tuu.
Daraja la busisi a.k.a booster ya uchumi mwanza ni kama vumbi la congo kwa mwanaume lofa kama wewe, pili sgr ni kama kilainishi cha uchumi mwanza, meli za mizigo na abiria ndani ya ziwa victoria ni kama mwanamke mrembo kwa rijali kama mimi, miundombinu ya barabara, masoko, mastendi kila mahali hakika hivi vitu vikija kukamilika uchumi wa nyanda za juu kusini ikiwemo mbeya zikipangwa 7 ndio zitalingana na mwanza, sisi wana Mwanza tutakuwa tunalamba tu asali😋😋😋😋😋
 
Daraja la busisi a.k.a booster ya uchumi mwanza ni kama vumbi la congo kwa mwanaume lofa kama wewe, pili sgr ni kama kilainishi cha uchumi mwanza, meli za mizigo na abiria ndani ya ziwa victoria ni kama mwanamke mrembo kwa rijali kama mimi, miundombinu ya barabara, masoko, mastendi kila mahali hakika hivi vitu vikija kukamilika uchumi wa nyanda za juu kusini ikiwemo mbeya zikipangwa 7 ndio zitalingana na mwanza, sisi wana Mwanza tutakuwa tunalamba tu asali😋😋😋😋😋
Nimeshakwambia kwamba wakati wa capital investment kama sasa ndio GDP hukua zaidi ila baada ya hapo ukuaji huwa mdogo..

As we speak vyote hivyo viko Mwanza ndio hiyo 11 wakati Mbeya bado so tukija kuviweka tutawapita kama mshale 😝😝..

Barabara zinatosha kabisa kuwita..

TANZAM Road to dual carriage.
Barabara ya Chunya,
Barabra ya Kufika Njombe via Makete,

Hizo tuu zinatosha kuwafikia sijagusa mambo mengine.
 
Habari njema Kwa Mbeya na Singida'👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221019-130258.png
    Screenshot_20221019-130258.png
    127.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221019-130423.png
    Screenshot_20221019-130423.png
    56.8 KB · Views: 10
Nimeshakwambia kwamba wakati wa capital investment kama sasa ndio GDP hukua zaidi ila baada ya hapo ukuaji huwa mdogo..

As we speak vyote hivyo viko Mwanza ndio hiyo 11 wakati Mbeya bado so tukija kuviweka tutawapita kama mshale ..

Barabara zinatosha kabisa kuwita..

TANZAM Road to dual carriage.
Barabara ya Chunya,
Barabra ya Kufika Njombe via Makete,

Hizo tuu zinatosha kuwafikia sijagusa mambo mengine.
Hii kitu ikija kukamilika...mbeya na mwanza itakuwa mbingu na ardhi
Screenshot_20221017-234440_YouTube.jpg
IMG-20221019-WA0003.jpg
IMG-20221019-WA0004.jpg
 
Kwa hiyo kinachokufanya uweweseke ni nini hasa? Hako ka station au hiyo train ilivyokuwa elevated ya hizo barabara?

Endelea kufurahia makaratasi
Hyo hapo ni paracatemol ..amodiaquine ni hii mbona malaria utapona tu ...najua huna Twitter,,nenda play store andika Twitter then install jiunge (utani pm nikuelekeze ) njoo ukclick hii link uone dozi yako safi
 

Reli hakuna kitu itabadili kwenye maisha maana haijawahi kuwa na impacts yeyote kwenye maisha ya watu..

Labda mtakachofaidi ni kusafiri na kuwahi maeneo mnakoenda kupiga picha ila hakuna cha maana tangible kitaonekana kwenye maisha yenu..

Maisha yanabadilishwa na viwanda,Viwanda 2 vya wenyeji wa Mbeya.

1.Kiwanda cha Spirit-BlueMaster Limited,
2.Kiwanda Cha Pareto(Viwatilifu) 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221019-194226.png
    Screenshot_20221019-194226.png
    225.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221019-194122.png
    Screenshot_20221019-194122.png
    133.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221019-193616.png
    Screenshot_20221019-193616.png
    147.7 KB · Views: 11
Hyo hapo ni paracatemol ..amodiaquine ni hii mbona malaria utapona tu ...najua huna Twitter,,nenda play store andika Twitter then install jiunge (utani pm nikuelekeze ) njoo ukclick hii link uone dozi yako safi

Unaweweseka Sana na reli 😁😁😁😁..

Mbeya tuna reli Bora kabisa miaka mingi,Cha kufahamu ni kwamba reli haitabadili chochote in terms of your poverty..

The only thing we want in Mbeya City ni barabara tuu ndio zitabadili maisha ya watu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221019-194435.png
    Screenshot_20221019-194435.png
    279 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221019-194417.png
    Screenshot_20221019-194417.png
    52 KB · Views: 7
Kwa hiyo kinachokufanya uweweseke ni nini hasa? Hako ka station au hiyo train ilivyokuwa elevated ya hizo barabara/ Viaduct?

Endelea kufurahia makaratasi 😂😂
Sasa huyu kunguni anabisha nn wakat watu wameishaanza ujenzi wa hyo flyover ya reli wapo mkuyuni mwanza 😄😄😄😄😄😄
 
Sasa huyu kunguni anabisha nn wakat watu wameishaanza ujenzi wa hyo flyover ya reli wapo mkuyuni mwanza 😄😄😄😄😄😄
Kunguni gani anaebisha kwamba hakuna Ujenzi?

Swali ni hili,kinachowababaisha na kuwaonyesha ushamba ni hiyi viaduct au kuna kingine?

Hiyo kitu mtafaidika kwa kupigia picha ila sgr kama sgr haitaleta significant yeyote kwenye uchumi wa mtu mmja mmja,impacts yake ni ndogo Sana kulinganisha na barabara..
 
Wakati pimbi wa Mwanza wakishangilia reli ya sgr ,Mbeya ni mwendo wa Viwanda tuu,baadae wakiongoza kwa umaskini utaskia ooh tumeonewa 😆😆..

Msije kupita kimya kimya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221020-115758.png
    Screenshot_20221020-115758.png
    153.2 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221020-115341.png
    Screenshot_20221020-115341.png
    157.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221020-115235.png
    Screenshot_20221020-115235.png
    140.9 KB · Views: 12
  • Screenshot_20221020-115150.png
    Screenshot_20221020-115150.png
    158.9 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221020-115045.png
    Screenshot_20221020-115045.png
    157.8 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221020-114832.png
    Screenshot_20221020-114832.png
    160.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221020-114547.png
    Screenshot_20221020-114547.png
    153.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221020-114534.png
    Screenshot_20221020-114534.png
    145.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221020-114317.png
    Screenshot_20221020-114317.png
    112.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221020-120053.png
    Screenshot_20221020-120053.png
    132.7 KB · Views: 8
Mkinga kutoka Njombe 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221020-114153.png
    Screenshot_20221020-114153.png
    117.8 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221020-114129.png
    Screenshot_20221020-114129.png
    120.1 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221020-113935.png
    Screenshot_20221020-113935.png
    125 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221020-113826.png
    Screenshot_20221020-113826.png
    93.7 KB · Views: 12
  • Screenshot_20221020-113820.png
    Screenshot_20221020-113820.png
    111.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221020-113806.png
    Screenshot_20221020-113806.png
    97.5 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221020-113757.png
    Screenshot_20221020-113757.png
    113.7 KB · Views: 8
Some time ushamba unarudisha nyuma vitu vingi na kujiona hivyo vitu Ni vya Kwan kufanyika TAZARA ni yakitambo Ina fly over za kutosha na mahandaki ya kutosha na ndio reli yenye mizigo mingi Sana sema haitumiki ipasavyo imepita sehemu zenye bidhaa. Za kutosha
FB_IMG_16650292171125309.jpg
 
Back
Top Bottom