We namaa ni mshamba sana,kiwanda cha pombe kali mpaka geita uko kipo sembuse mwanza?Shinyanga tu kampuni za vinywji vikali nikama canon general supply(shujaa,zhimwa nk),East Africa spirits co ltd(diamond rocks,Hansons choice nk na zinapatikana nchi nzima),Bia kuna kiwanda kipya kikubwa na cha kisasa cha Gaki investments.Ukanda wa ziwa ndio unafuata kwa viwanda vingi baada ya dar na pwani.Mfano Shinyanga Kampuni ya Jambo tu inaviwanda zaidi ya 15(Maji,juisi mbalimbali,soda,ice cream,pipi,biskuti,bidhaa za mikate,bidhaa za asali,nyanya zakusindika,matunda nk,pia amefungua kampuni ya media(jambo fm&tv kampuni ya uingereza imefunga mitambo na inasimamia),viwanda vya vifungashio na mifuko viwili(Kisumwa na fresho parkaging),Viwanda vya nyama viwili,kiwanda cha nyuzi na nguo(jielong),viwanda vya mafuta na pamba vingi,kiwanda cha mabati,chuma,viti navyombo vya plastiki.Viwanda ni vingi sana navingine vipo hatua yakujengwa kama cha cement na sukari.Hii ni upande wa Shinyanga mji tu,Mwanza ndio vimejaa.