Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwanza inatakiwa ujue kibiashara watu wa mkoa wa njombe wapo vizuri ndo maana wanacheza vizur na fursa zilizopo mkoani mwao na hivyo Ni viwanda vya awali vya bati ,misumar ,na nondo vipo makambako na usubiri kusikia Cha magari na pikipiki maana wamiliki wa kampuni ya befoward wapo makambako
FB_IMG_16640456583693640.jpg
IMG_20220219_154031~3.jpg
FB_IMG_16232302026875324.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20221022-064856.png
    Screenshot_20221022-064856.png
    224.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221022-064911.png
    Screenshot_20221022-064911.png
    314.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221022-064922.png
    Screenshot_20221022-064922.png
    182 KB · Views: 5
hii ,,,saw na gas ya mtwara.. beneficiary ni dar na pwani ....the same applies to this
Usifananishe mlivyopigwa huko kwenu Kwa kuwapa wazungu dhahabu na huku kwetu..

Migodi ya makaa na chuma itafaidisha Mkoa kwa mapato hatari..

Hata sasa aisee kuna maelfu ya malori yanasomba Makaa kupeleka Mtwara port na kila Lori linalipa pesa ushuru kwenye Halmashauri,hapo bado mapato ya TRA na STAMICO ambapo kwa pamoja yataonesha GDP ya Mkoa kuwa kubwa..

Ni vile Tanzania hatuna kanuni nzuri ya mgawanyo wa rasilimali ndio maana hakuna faida Sana ya kimaendeleo Kwa maeneo yanayotoa mali.
 

Attachments

  • IMG_20221016_070038_183.jpg
    IMG_20221016_070038_183.jpg
    1.4 MB · Views: 6
  • IMG_20221016_065745_576.jpg
    IMG_20221016_065745_576.jpg
    931.1 KB · Views: 7
  • IMG_20221016_065511_854.jpg
    IMG_20221016_065511_854.jpg
    971.7 KB · Views: 4
  • 2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    84.3 KB · Views: 5
  • 2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    55.4 KB · Views: 5
Bonaki Hotel ,Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221022-071444.png
    Screenshot_20221022-071444.png
    273.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221022-071243.png
    Screenshot_20221022-071243.png
    259.2 KB · Views: 5

Attachments

  • Screenshot_20221022-070644.png
    Screenshot_20221022-070644.png
    159.4 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221022-070651.png
    Screenshot_20221022-070651.png
    158.9 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221022-071243.png
    Screenshot_20221022-071243.png
    259.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221021-221222.png
    Screenshot_20221021-221222.png
    400.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221021-221213.png
    Screenshot_20221021-221213.png
    290.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221021-221155.png
    Screenshot_20221021-221155.png
    423.5 KB · Views: 7
Tunapowaambia watu wa Kanda ya Ziwa kwamba Nyanda za Juu ni matajiri muwe mnaelewa..

Soma huo Utajiri wa gas ya helium ulioko Ziwa Rukwa namba 2 Duniani Kwa kuwa na deposits kubwa.

So ni suala la mda tuu kuwa second to Dar Kwa GDP 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221011-195002.png
    Screenshot_20221011-195002.png
    150.7 KB · Views: 6

Attachments

  • Screenshot_20221022-070703.png
    Screenshot_20221022-070703.png
    193.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221022-181849.png
    Screenshot_20221022-181849.png
    106.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221022-181649.png
    Screenshot_20221022-181649.png
    130.3 KB · Views: 7
  • mqdefault.jpg
    mqdefault.jpg
    15.8 KB · Views: 6
Tunapowaambia watu wa Kanda ya Ziwa kwamba Nyanda za Juu ni matajiri muwe mnaelewa..

Soma huo Utajiri wa gas ya helium ulioko Ziwa Rukwa namba 2 Duniani Kwa kuwa na deposits kubwa.

So ni suala la mda tuu kuwa second to Dar Kwa GDP
Huioni nickel hapo ...katafute matumizi ya nickel ujue thamani yake ..Kagera ...mnajaribu kujitutumua lakini wapi
 
Top 3 ya GDP Tanzania
Mwanza imeshawapiga gap la trillion 2 ...na growth rate ya mwanza ni trillion 1 Kwa mwaka..wakati mbeya ni billion 500 ..sijui mtaifika Lini mwanza ... shinyanga Iko nyuma hapo ina trillion 8.3 na Ina growth rate ya billion 700 ..mwakani mnakuwa na trillion 9 sawa na shy
 
Mwanza imeshawapiga gap la trillion 2 ...na growth rate ya mwanza ni trillion 1 Kwa mwaka..wakati mbeya ni billion 500 ..sijui mtaifika Lini mwanza ... shinyanga Iko nyuma hapo ina trillion 8.3 na Ina growth rate ya billion 700 ..mwakani mnakuwa na trillion 9 sawa na shy
Kila siku nakuambia akili huna..

Nani kakuambia rate ya GDP ni constant kila mwaka?

Pili Shinyanga ndani yake kuna Simiyu wakigawana tuu hapo hakuna kitu...

Mwisho niletee kinda hata kimoja Cha Pombe kali hapo Mwanza kama ilivyo Mbeya.
 
Back
Top Bottom