Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Attachments

  • FB_IMG_16387056063419988.jpg
    FB_IMG_16387056063419988.jpg
    30.1 KB · Views: 8
Unapafaham mafyati mwanjelwa? Ile tughimbe ni nn?
Taarifa zilizothibitishwa kutoka vyanzo vyangu ni kwamba kupitia mradi wa TACTIC..

-Mbeya kutajengwa km 21 za lami,
-Kutajengwa stand kubwa ya mabasi ya Mkoa eneo la Airport ya Zamani,
-Kutajengwa Soko kubwa la Kisasa ilipo stand ya Mkoa ya Sasa..

Zaidi ya Bil.55 zitatukika.
 
Mwanza sio level yenu ....we mnyaki..ukipata mtaa unique na radiant kama huu nitag.
20221015_214921.jpg
 

Attachments

  • IMG_20221016_065353_097.jpg
    IMG_20221016_065353_097.jpg
    1 MB · Views: 8
  • IMG_20221016_065354_969.jpg
    IMG_20221016_065354_969.jpg
    1.2 MB · Views: 6
  • IMG_20221016_112515_853.jpg
    IMG_20221016_112515_853.jpg
    1.1 MB · Views: 4
Huna unachokijua brother...mbeya ni kahama ya kusini tu hamna kipya
Hii ndo mbeya tunayoijua View attachment 2394001
Umeshaishiwa,pamoja na kuleta hizi picha za mabanda ila ni bora kuliko ule uchafu wa kirumba,butimba,bugando na mabatini..

Ile Mbeya usiyopenda kuiona ni hii hapa 👇
 

Attachments

  • IMG_20221016_114448_083.jpg
    IMG_20221016_114448_083.jpg
    1.3 MB · Views: 9
  • IMG_20221016_112716_914.jpg
    IMG_20221016_112716_914.jpg
    1.2 MB · Views: 7
  • IMG_20221016_111908_948.jpg
    IMG_20221016_111908_948.jpg
    1.1 MB · Views: 9
  • IMG_20221016_100918_548.jpg
    IMG_20221016_100918_548.jpg
    1.5 MB · Views: 6
  • IMG_20221016_100741_608.jpg
    IMG_20221016_100741_608.jpg
    1.5 MB · Views: 8
  • IMG_20221016_084625_708.jpg
    IMG_20221016_084625_708.jpg
    1.8 MB · Views: 12
  • IMG_20221016_084604_934.jpg
    IMG_20221016_084604_934.jpg
    2 MB · Views: 8
Pote nimeishi kulinganisha Mbeya na Mwanza sio fair Mbeya Bado inakua Mwanza ilishakua.
Nadhani tujadili fursa za kimaendeleo zitatusaidia kuliko kubishana wakati majibu tunayo.
 
Pote nimeishi kulinganisha Mbeya na Mwanza sio fair Mbeya Bado inakua Mwanza ilishakua.
Nadhani tujadili fursa za kimaendeleo zitatusaidia kuliko kubishana wakati majibu tunayo.
Fursa zipi za kimaendeleo ...at least kwenye GDP wanajitahidi
Picha ya kwanza ni mwaka 2020 .picha ya pili ni 2021 ... growth rate ya uchumi mwanza ni trillion 1 Kila mwaka ..mbeya ni bilion 700 ...Kwa hyo mwanza Kuna fursa nyingi za uchumi kuliko mbeya
PSX_20221021_212333.jpg
PSX_20221021_212309.jpg
 

Attachments

  • PSX_20221021_212309.jpg
    PSX_20221021_212309.jpg
    45.9 KB · Views: 10
Fursa zipi za kimaendeleo ...at least kwenye GDP wanajitahidi
Picha ya kwanza ni mwaka 2020 .picha ya pili ni 2021 ... growth rate ya uchumi mwanza ni trillion 1 Kila mwaka ..mbeya ni bilion 700 ...Kwa hyo mwanza Kuna fursa nyingi za uchumi kuliko mbeyaView attachment 2394045View attachment 2394048
Mwanza zaidi ya kurundika watu hakuna chochote Cha maana..

Jamaa yako anakufariji wakati Kwenye makazi ya mtu mmja mmja Mbeya ilishachapa Mwanza kitambo👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221021-212130.png
    Screenshot_20221021-212130.png
    263.2 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221021-212251.png
    Screenshot_20221021-212251.png
    267.6 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221021-212803.png
    Screenshot_20221021-212803.png
    177.9 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221021-212826.png
    Screenshot_20221021-212826.png
    172 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221021-212815.png
    Screenshot_20221021-212815.png
    180.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221021-203806.png
    Screenshot_20221021-203806.png
    156.3 KB · Views: 10
Pote nimeishi kulinganisha Mbeya na Mwanza sio fair Mbeya Bado inakua Mwanza ilishakua.
Nadhani tujadili fursa za kimaendeleo zitatusaidia kuliko kubishana wakati majibu tunayo.
GDP ya Mwanza ni 12T vs 9T ya Mbeya..unashindwaje kulinganisha hapa?

Hao Mwanza unaowasifia tumewapiga kwenye Vyuo na kwenye Hospital za Binafsi na Serikali achilia mbali makazi binafsi.

Mwisho huwa mkipita barabara kuu basi mnajua ndio Mbeya hiyo..

Unajua hizi buildings zilizo? 👇
 

Attachments

  • IMG_20221016_072821_463.jpg
    IMG_20221016_072821_463.jpg
    1.3 MB · Views: 9
  • IMG_20221016_072835_882.jpg
    IMG_20221016_072835_882.jpg
    1.5 MB · Views: 10
  • IMG_20221016_071255_677.jpg
    IMG_20221016_071255_677.jpg
    1.3 MB · Views: 8
  • IMG_20221016_063408_362.jpg
    IMG_20221016_063408_362.jpg
    1 MB · Views: 9
  • IMG_20221016_063249_217.jpg
    IMG_20221016_063249_217.jpg
    1.3 MB · Views: 7
  • IMG_20221016_063028_878.jpg
    IMG_20221016_063028_878.jpg
    785 KB · Views: 11
Unatuma render na ramani za ajabu we jamaa ni pyscho sio siri
Hizo nyumba ziko already put in place Wala sio nyumba,nitakuletea picha Halisi..punguza kuweweseka kijana Mbeya mnayosimuliana sio iliyopo sasa.

Juzi nilikuwekea render na actual construction ukaanza kuweweseka 😝😜.

Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221022-071327.png
    Screenshot_20221022-071327.png
    412.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221022-071415.png
    Screenshot_20221022-071415.png
    257.6 KB · Views: 10
Back
Top Bottom