Tughimbe hiyoUnapafaham mafyati mwanjelwa? Ile tughimbe ni nn?
Tughimbe hiyoUnapafaham mafyati mwanjelwa? Ile tughimbe ni nn?
Ziko nyingi tuu nyingine iko pale Soweto kwenye kituo Cha Mafuta Cha Infinity,inaitwa Bitman shopping center.Kuna century plaza
Hao jamaa ni wapuuzi na wanaweweseka Sana kwa tu sgr.Some time ushamba unarudisha nyuma vitu vingi na kujiona hivyo vitu Ni vya Kwan kufanyika TAZARA ni yakitambo Ina fly over za kutosha na mahandaki ya kutosha na ndio reli yenye mizigo mingi Sana sema haitumiki ipasavyo imepita sehemu zenye bidhaa. Za kutosha
View attachment 2393345
Umeshindwa kuleta nyumba kali za Mwanza Sasa umehamia kwenye maduka 😬😬..Mbeya ndio jiji pekee lisilo na shopping center ...hapa ni manispaa ya ilemelaView attachment 2393154View attachment 2393155
Taarifa zilizothibitishwa kutoka vyanzo vyangu ni kwamba kupitia mradi wa TACTIC..Unapafaham mafyati mwanjelwa? Ile tughimbe ni nn?
Wew kwenye nyumba, Mwanza not your league at least Arusha...nakupa ads kidogoUmeshindwa kuleta nyumba kali za Mwanza Sasa umehamia kwenye maduka..



Haya ni mabweni au posh houses? 😁😁😁😁..Wew kwenye nyumba, Mwanza not your league at least Arusha...nakupa ads kidogo
Niletee flats kama hizi Huko viazi cityView attachment 2393976View attachment 2393977View attachment 2393980
Naona Mawe na minara tuu,kuna hata mtaa kweli hapo hakuna barabara Wala nini..Mwanza sio level yenu ....we mnyaki..ukipata mtaa unique na radiant kama huu nitag.View attachment 2393982
Huna unachokijua brother...mbeya ni kahama ya kusini tu hamna kipyaHaya ni mabweni au posh houses?..





Nonsense.......leta mtaa wa kweli hapo viaziniNaona Mawe na minara tuu,kuna hata mtaa kweli hapo hakuna barabara Wala nini..
Ila maisha ya Mwanza ni hovyo aisee,hakuna tofauti na gulio au zizi.




Nyumba za watu ziko wapi? 😬😬.Nonsense.......leta mtaa wa kweli hapo viazini
Isamilo areaView attachment 2394002View attachment 2394005View attachment 2394006View attachment 2394007View attachment 2394008
Umeshaishiwa,pamoja na kuleta hizi picha za mabanda ila ni bora kuliko ule uchafu wa kirumba,butimba,bugando na mabatini..Huna unachokijua brother...mbeya ni kahama ya kusini tu hamna kipya
Hii ndo mbeya tunayoijuaView attachment 2394001
Fursa zipi za kimaendeleo ...at least kwenye GDP wanajitahidiPote nimeishi kulinganisha Mbeya na Mwanza sio fair Mbeya Bado inakua Mwanza ilishakua.
Nadhani tujadili fursa za kimaendeleo zitatusaidia kuliko kubishana wakati majibu tunayo.

Mwanza zaidi ya kurundika watu hakuna chochote Cha maana..Fursa zipi za kimaendeleo ...at least kwenye GDP wanajitahidi
Picha ya kwanza ni mwaka 2020 .picha ya pili ni 2021 ... growth rate ya uchumi mwanza ni trillion 1 Kila mwaka ..mbeya ni bilion 700 ...Kwa hyo mwanza Kuna fursa nyingi za uchumi kuliko mbeyaView attachment 2394045View attachment 2394048
GDP ya Mwanza ni 12T vs 9T ya Mbeya..unashindwaje kulinganisha hapa?Pote nimeishi kulinganisha Mbeya na Mwanza sio fair Mbeya Bado inakua Mwanza ilishakua.
Nadhani tujadili fursa za kimaendeleo zitatusaidia kuliko kubishana wakati majibu tunayo.
Unatuma render na ramani za ajabu we jamaa ni pyscho sio siriMwanza zaidi ya kurundika watu hakuna chochote Cha maana..
Jamaa yako anakufariji wakati Kwenye makazi ya mtu mmja mmja Mbeya ilishachapa Mwanza kitambo![]()
Hizo nyumba ziko already put in place Wala sio nyumba,nitakuletea picha Halisi..punguza kuweweseka kijana Mbeya mnayosimuliana sio iliyopo sasa.Unatuma render na ramani za ajabu we jamaa ni pyscho sio siri