Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Ninavyokuambia urudi shule ukajifunze Huwa naamnisha siku moja usije aibika .......,,,,,,GDP ni jumla ya thamani ya uchumi uliopo ndani ya eneo husika ...hata ukisema ni pesa mzungu saw kabisa Kwa sababu wawekezaji ndio chanzo kikubwa maendeleo... mzungu huyo ataajiri watu ,,atafanya expense ..nk ...Kwa taarifa yako,,,madini mchango wake ni asilimia 7 ya uchumi wa mikoa ya Kanda ya ziwa . asilimia 93 niUnfortunately GDP yote ya Kanda ya Ziwa ni pesa ya migodi ya Mzungu..
Kilimo(shinyanga na mwanza wanauza Mchele Uganda,Rwanda na kenya .mwanza inauza choroko na dengu India. )
Uvuvi (mwanza,Kagera na musoma zinauza dagaa na samaki nchi nzima na ulaya)
Mifugo(shinyanga, mwanza wanauza ngombe wa nyama dar es salaam)
Utalii (Serengeti,rubond island,saa nane
NK


