Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kuwa na akili Hiyo sio hospital ya Wilaya ya Chato bali ni ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa yote Yaani mbadala wa Bugando usijitoe ufahamu..

Inaonekana hata hujui tofauti ya Hospital ya Rufaa ya Mkoa na Hospital ya Rufaa ya Kanda..

Nimeweka wodi za Hospital ya Mkoa wa Mbeya,nikiweka Rufaa ya Kanda hiyo Chato na Bugando ni takataka.
 
Kuwa na akili Hiyo sio hospital ya Wilaya ya Chato bali ni ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa yote Yaani mbadala wa Bugando usijitoe ufahamu..

Inaonekana hata hujui tofauti ya Hospital ya Rufaa ya Mkoa na Hospital ya Rufaa ya Kanda..

Nimeweka wodi za Hospital ya Mkoa wa Mbeya,nikiweka Rufaa ya Kanda hiyo Chato na Bugando ni takataka.
Ila wewe dogo unajilisha sana upepo unajua ukizungumzia kanda ya ziwa sio level ya Mbeya na kanda yenu! Hospital ya rufaa mbeya mbona ya kawaida sana! Unalinganishaje na Bugando hospital kubwa kwa kila kitu!
 
Kuwa na akili Hiyo sio hospital ya Wilaya ya Chato bali ni ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa yote Yaani mbadala wa Bugando usijitoe ufahamu..

Inaonekana hata hujui tofauti ya Hospital ya Rufaa ya Mkoa na Hospital ya Rufaa ya Kanda..

Nimeweka wodi za Hospital ya Mkoa wa Mbeya,nikiweka Rufaa ya Kanda hiyo Chato na Bugando ni takataka.
Unajua kaka uchumi huaa haurazimishwi ni hali inatokea kutokana na location ya eneo! Usije hata siku moja ukajidanganya eti Mbeya itakuja kuizidi mwanza!
Kwanza location na hardworking ya wakazi wake inaibeba daima!
 
Unajua kaka uchumi huaa haurazimishwi ni hali inatokea kutokana na location ya eneo! Usije hata siku moja ukajidanganya eti Mbeya itakuja kuizidi mwanza!
Kwanza location na hardworking ya wakazi wake inaibeba daima!
Kwa nini isiizidi Mzee? Mtapigwa tena sana tuu..

Imagine GDP ya 11 vs 9 ndio unamtishia nani Mzee?

Tuna resources nyingi untapped kuliko huko Mwanza.
 
Ila wewe dogo unajilisha sana upepo unajua ukizungumzia kanda ya ziwa sio level ya Mbeya na kanda yenu! Hospital ya rufaa mbeya mbona ya kawaida sana! Unalinganishaje na Bugando hospital kubwa kwa kila kitu!
We kenge Kama Rufaa Mbeya ni ya Kawaida unaweza pata pata wodi kama hii huko Mwanza? 👇
 

Attachments

  • 20220805_191713.jpg
    20220805_191713.jpg
    123 KB · Views: 11
  • 20220805_190820.jpg
    20220805_190820.jpg
    389.9 KB · Views: 11
  • 20220805_190824.jpg
    20220805_190824.jpg
    416.7 KB · Views: 12
Hakuna kitu chochote Cha maana Mwanza itaishinda Mbeya..

Onyesha Hospital kama hii ya private huko Mwanza..K'S Hospital Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-105737.png
    Screenshot_20220918-105737.png
    190.8 KB · Views: 10
  • Screenshot_20210804-224127.png
    Screenshot_20210804-224127.png
    273.3 KB · Views: 8
Unaishi Tanzania ipi wewe?
Mathematically ...mbeya haitakuja kuifika mwanza Kwa GDP ... angalia growth quantity
Mbeya imetoka trillion 8.5 mwaka Jana Hadi 9.08 . Ongezeko ni billion 50 ...
Mwanza imetoka trillion 11.1 Hadi 11.8 .
Ongezeko ni billion 70 ...
....rejea figure yako hapo juu then compute
 
Mathematically ...mbeya haitakuja kuifika mwanza Kwa GDP ... angalia growth quantity
emoji116.png

Mbeya imetoka trillion 8.5 mwaka Jana Hadi 9.08 . Ongezeko ni billion 50 ...
Mwanza imetoka trillion 11.1 Hadi 11.8 .
Ongezeko ni billion 70 ...
....rejea figure yako hapo juu then compute
Sasa wewe tangu lini GDP growth ikawa na rate sawa kila mwaka?

Growth rate itategemea na investments mpya za serikali na private sector na Kwa muktadha huo kwa kuzingatia massive untapped resources zilizopo Mbeya,ni suala la muda tuu kwamba mtapitwa iwe mathematically au vinginevyo..

Migodi yetu mikubwa ikitema,kilimo kikubwa cha mashamba ya biashara kikianza na biashara za mipakani kuchanganya tutakimbia Sana..

Mwisho investments za serikali zikiwezeshwa zote Kwa mfano barabara ya Kuja Kanda ya Ziwa kupitia Chunya na barabara ya Njombe kupitia Makete zikifunguka tuu zitaongeza GDP ya Mkoa haraka Sana maana hizo ni barabara muhimu sana hapa Mbeya..
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-203359.png
    Screenshot_20221018-203359.png
    313.5 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221018-203409.png
    Screenshot_20221018-203409.png
    177 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221018-203349.png
    Screenshot_20221018-203349.png
    326.8 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221018-203512.png
    Screenshot_20221018-203512.png
    123.7 KB · Views: 9
  • IMG_20221015_170352_552.jpg
    IMG_20221015_170352_552.jpg
    1.5 MB · Views: 8
Sasa wewe tangu lini GDP growth ikawa na rate sawa kila mwaka?

Growth rate itategemea na investments mpya za serikali na private sector na Kwa muktadha huo kwa kuzingatia massive untapped resources zilizopo Mbeya,ni suala la muda tuu kwamba mtapitwa iwe mathematically au vinginevyo..

Migodi yetu mikubwa ikitema,kilimo kikubwa cha mashamba ya biashara kikianza na biashara za mipakani kuchanganya tutakimbia Sana..

Mwisho investments za serikali zikiwezeshwa zote Kwa mfano barabara ya Kuja Kanda ya Ziwa kupitia Chunya na barabara ya Njombe kupitia Makete zikifunguka tuu zitaongeza GDP ya Mkoa haraka Sana maana hizo ni barabara muhimu sana hapa Mbeya..
Kwa bahati mbaya ,,,mbeya imeporomoka UKUAJI wake kiuchumi .. ukiangalia miaka mitano nyuma ,, growth ilikuwa bilion 700 .na mwaka huu imekuwa bilion 500 .. sasa hayo matarajio yako yanazidi kuyeyuka ... wakati mwanza tulishuhudia growth rate kubwa ya bilion 950 mwaka 2019 /2020 ..compute figure ..
Hapo hapo SGR bado haijafunguliwa. daraja la busisi ,mgodi mkubwa wa nyanzaga,.mgodi wa buswola ,nk
 
Write your reply...Aisee kwa kasi ya sasa ya mabadiliko katika mji wa shinyanga hakika mji utakua mbali sana ndani ya miaka mitatu.Baadhi ya miradi inayoendelea ni ujenzi wa kisasa wa stendi za mabasi madogo,bajaji nakupumzikia katika maeneo ya kalogho,soko kuu,kambarage,mataa,lubaga sokoni nk.ujenzi wa soko kuu,soko la kisasa kambarage na ngokolo mitumbani,ujenzi shopping mall eneo la mazingira center,soko la machinga eneo jiran na ccm wilaya,stendi ya mkoa ibadakuli,maegesho ya maloli trm jirani na veta,ujenzi wa ukumbi wa mikutano wakimataifa,ujenzi wa mahoteli mbalimbali maeneo ya lubaga,majengo mapya,bushushu na butengwa bila kusahu hoteli ya nyota 5 inayojengwa sambamba na uwanja wa mpira na michezo wakisasa vya fresho.Bila kusahau ujenzi wa uwanja wa ndege mkubwa.Vyuo vinavyopandishwa kua vyuo vikuu ni chuo cha biashara na ushirika kizumbi{muccobs kizumbi campus}na chuo cha afya kolandoto nk.miradi ni mingi sana na imeshaanza kujengwa,kwa aliepita shinyanga hivi karibuni ameona mabadiliko makubwa.
 
Kwa bahati mbaya ,,,mbeya imeporomoka UKUAJI wake kiuchumi .. ukiangalia miaka mitano nyuma ,, growth ilikuwa bilion 700 .na mwaka huu imekuwa bilion 500 .. sasa hayo matarajio yako yanazidi kuyeyuka ... wakati mwanza tulishuhudia growth rate kubwa ya bilion 950 mwaka 2019 /2020 ..compute figure ..
Hapo hapo SGR bado haijafunguliwa. daraja la busisi ,mgodi mkubwa wa nyanzaga,.mgodi wa buswola ,nk
Soma upya na uelewe sio kukurupuka kuandika.
 
Write your reply...Aisee kwa kasi ya sasa ya mabadiliko katika mji wa shinyanga hakika mji utakua mbali sana ndani ya miaka mitatu.Baadhi ya miradi inayoendelea ni ujenzi wa kisasa wa stendi za mabasi madogo,bajaji nakupumzikia katika maeneo ya kalogho,soko kuu,kambarage,mataa,lubaga sokoni nk.ujenzi wa soko kuu,soko la kisasa kambarage na ngokolo mitumbani,ujenzi shopping mall eneo la mazingira center,soko la machinga eneo jiran na ccm wilaya,stendi ya mkoa ibadakuli,maegesho ya maloli trm jirani na veta,ujenzi wa ukumbi wa mikutano wakimataifa,ujenzi wa mahoteli mbalimbali maeneo ya lubaga,majengo mapya,bushushu na butengwa bila kusahu hoteli ya nyota 5 inayojengwa sambamba na uwanja wa mpira na michezo wakisasa vya fresho.Bila kusahau ujenzi wa uwanja wa ndege mkubwa.Vyuo vinavyopandishwa kua vyuo vikuu ni chuo cha biashara na ushirika kizumbi{muccobs kizumbi campus}na chuo cha afya kolandoto nk.miradi ni mingi sana na imeshaanza kujengwa,kwa aliepita shinyanga hivi karibuni ameona mabadiliko makubwa.
Kwa hiyo mnataka kushindana na Kahama au mnajitutumua baada ya kupitwa na Kahama?..

Kuna Uzi wa Kahama vs Shinyanga ungeandika hayo Inge sound vizuri kule ukaitetee Shinyanga yako..
 
Soma upya na uelewe sio kukurupuka kuandika.
Nikurupuke nini Kwa figure ulizotoa ..mikoa ya kusini zaidi ya mikoa 6
Rukwa -trilion 2.9
Mbeya-trilion 9
ruvuma-trilion 6
njombe-trilion 3
Iringa -trilion 6
Songwe trillion 2.9
Total ni trillion 29 GDP saw na mkoa nzima wa dar es salaam
Kanda ya ziwa
mwanza-trilion 11
shinyanga-trilion 8
Mara trillion 6
Kagera 5
Geita trillion 7
Total ni trillion 36 .saw na 25 percent robo ya uchumi wa taifa .
 
Nikurupuke nini Kwa figure ulizotoa ..mikoa ya kusini zaidi ya mikoa 6
Rukwa -trilion 2.9
Mbeya-trilion 9
ruvuma-trilion 6
njombe-trilion 3
Iringa -trilion 6
Songwe trillion 2.9
Total ni trillion 29 GDP saw na mkoa nzima wa dar es salaam
Kanda ya ziwa
mwanza-trilion 11
shinyanga-trilion 8
Mara trillion 6
Kagera 5
Geita trillion 7
Total ni trillion 36 .saw na 25 percent robo ya uchumi wa taifa .
Unfortunately GDP yote ya Kanda ya Ziwa ni pesa ya migodi ya Mzungu 😂😂😂😂..
 
Back
Top Bottom