Acha kukalili mzee makambako sio linear hii imejengeka Kila Kona ni mji uliopo junction tambarare ya kutosha muwe mnatembea kidogoCBD Huwa haikai kwenye miji linear qkama makambako
Acha kukalili mzee makambako sio linear hii imejengeka Kila Kona ni mji uliopo junction tambarare ya kutosha muwe mnatembea kidogoCBD Huwa haikai kwenye miji linear qkama makambako
Huu uchafu huuAcha kukalili mzee makambako sio linear hii imejengeka Kila Kona ni mji uliopo junction tambarare ya kutosha muwe mnatembea kidogoView attachment 2388732View attachment 2388735View attachment 2388738




Yan Kama ulikuwa hujui settlement structure ya makambako imekaa. Kama ilivyo morogoro mjini ko hapo unasema Ni linear kasome Tena type of settlementCBD Huwa haikai kwenye miji linear kama makambako
🐒😆😆😆hiyo ndo makambako mzee wivu wa Nini ulikuwa unaongelea mji ambao huu ujui umepigwa Cha mbavu unasikilizia maumivu sijui ya wapHuu uchafu huu![]()
Rgbadowakati mkiendelea kusubiri miti ya miparachichi ikueView attachment 2388746View attachment 2388747View attachment 2388748View attachment 2388749
🤣🤣🤣🤣😅wakati mkiendelea kusubiri miti ya miparachichi ikueView attachment 2388746View attachment 2388747View attachment 2388748View attachment 2388749
Sasa hayo mabanda ni mji ..aisee pole sanahiyo ndo makambako mzee wivu wa Nini ulikuwa unaongelea mji ambao huu ujui umepigwa Cha mbavu unasikilizia maumivu sijui ya wap

Niletee hotel Kali kuzidi hii hapo mkoani njombeRgbado
![]()
Pole yako shida Ni kuto kutembea mzeeSasa hayo mabanda ni mji ..aisee pole sana
Miradi mikubwa kama hii huwezi ikuta Kwa misitu ya nyumba nitu View attachment 2388758
Nitembee wapi ,,,,kusini eneo zuri ni iringa tu . kwingine ni trashPole yako shida Ni kuto kutembea mzee

Kmbe amepata watu wachache iviiiExcuses 🙂🙂🙂🙂.
Wazee wa Katoro buselesele 😆😆👇
Wasukuma ushamba haiwezi kuwaisha 😬😬Kmbe amepata watu wachache iviii
Mbeya ni Mwalimu wa Mwanza kwenye education facilities,yaani huko kwenye Technical colleague tumevuka tuna University of Science and Technology na tunatengeneza hadi drones..Ujenzi DIT phase one umeanza .....maji mtayaita mmaView attachment 2388692
Unaleta picha za masika na zenye filter,leta picha live tuone..Hii ndio green city tunayoambiwa Kila siku ..aisee kumekauka vibaya mno ...angalieni majiji ya wenzenu yanavyovutiaView attachment 2388691
Kigoma kuwa kama Dubai 😁😁😁😁wakati mkiendelea kusubiri miti ya miparachichi ikueView attachment 2388746View attachment 2388747View attachment 2388748View attachment 2388749
Njombe ina Hotel za Kitalii sio hivyo bi guest unavyoita Hotel na wewe unaelewa.Niletee hotel Kali kuzidi hii hapo mkoani njombe
K
Planet hotel kahama View attachment 2388759View attachment 2388761View attachment 2388762
Iringa iko Kanda ya Ziwa? 😬😬..Nitembee wapi ,,,,kusini eneo zuri ni iringa tu . kwingine ni trash![]()
Yaan kuna vumbi sana huko...Race ya Vyuo inaendelea Mbeya..
Ujenzi wa Lecture Theater na Computer Lab for Catholic University College of Mbeya at Forest ares Mbeya City ukiendelea![]()
Bukoba ni Msituni sasa unaweza vipi linganisha mashamba ya ndizi,Kahawa,mapori na mjini?Yaan kuna vumbi sana huko...
Hebu Tazama hali ya Bukoba ulinganishe na huko mavumbini mbeyaView attachment 2388917View attachment 2388920
Mji wenye mavumbi kama mbeya....na wew huna aibu unatupostia uchafu hapa...Bukoba ni Msituni sasa unaweza vipi linganisha mashamba ya ndizi,Kahawa,mapori na mjini?