Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Veta kagera Bukoba....

Na hapo ujenzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam tawi la Bukoba umeanza...View attachment 2386093

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Uko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..

Mikoa mingine ina veta miaka mingi tena zenye hadhi ya Kanda kama Vile Veta Mbeya kinafundisha hadi walimu wa kuja kufundisha hapo Veta yenu mpya.
 
Kweli umaskini haujifichi..

Wakati Mikoa ya Southern Highlands tuki enjoy barabara za lami kila mahala,Kagera wanakoita kuna Wasomi na watu wa kipato cho Kati wakaazi wake wanashangilia kupata hadi Barabara za mavumbi na maji ya Bomba...

Akina instabul na great haya waje na taarabu zao tena
Bora hata barabara, ona hiki kituko cha njombe . Misenyi iko too far ukilinganisha na wilaya za huko kusini
Screenshot_20221013-183638.jpg
Screenshot_20221013-183651.jpg
Screenshot_20221013-183728.jpg
 
Uko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..

Mikoa mingine ina veta miaka mingi tena zenye hadhi ya Kanda kama Vile Veta Mbeya kinafundisha hadi walimu wa kuja kufundisha hapo Veta yenu mpya.
Hebu Tazama hio view na background ya ziwa kwa nyuma...Bukoba ni pazuri sana...
JamiiForums-326158550.jpg
JamiiForums136547631.jpg
JamiiForums732980507.jpg
Screenshot_20221013-190123.jpg
Screenshot_20221013-190125.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Uko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..

Mikoa mingine ina veta miaka mingi tena zenye hadhi ya Kanda kama Vile Veta Mbeya kinafundisha hadi walimu wa kuja kufundisha hapo Veta yenu mpya.
Kwa akili zako unafikiri Kagera hapakuwa na VETA ya mkoa? Hiini VETA ya mfano Tanzania ndo maana waziri wa elimu wakati anahutubia amesema anaomba ijengwe VETA ya namna hii kila mkoa
 
Kwa akili zako unafikiri Kagera hapakuwa na VETA ya mkoa? Hiini VETA ya mfano Tanzania ndo maana waziri wa elimu wakati anahutubia amesema anaomba ijengwe VETA ya namna hii kila mkoa
Ni mjinga na hajielewi huyo Waziri..

Veta kubwa kama Chang'ombe,Mbeya,Songea,Dakawa,Dodoma, Shinyanga,Moshi ni Veta kubwa na zinatoa huduma mbalimbali pia..

Mfano Veta Mbeya Inatoa hadi huduma za consultancy na hata Leo hii wakitangaza uchague kusoma Veta hiyo yenu mpya na Mbeya wengi wataenda Mbeya Kwa sababu ina well equipment..

Kuna VETA Rukwa inajengwa Wala Haina Ramani kama hiyo ila iko poa sana tuu,nikipata current photos nitaziweka..

Hakuna sababu za kutokuwa maudenda yasiyo na msingi.
 
Mapicha picha ya mashule sijui wanawake na maduka haviwezi kuondoa Umaskini Kagera..

Endeleeni kufanya mzaha wenzenu tuko na miradi serious..

Rukwa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221014-201316.png
    Screenshot_20221014-201316.png
    155.4 KB · Views: 12
  • Screenshot_20221014-201351.png
    Screenshot_20221014-201351.png
    146.7 KB · Views: 12
  • Screenshot_20221014-212447.png
    Screenshot_20221014-212447.png
    246.6 KB · Views: 11
Tunduma ina sehemu 2 za kuongizea magari na kuvushia waenda kwa miguu yaani traffic light 👇
 

Attachments

  • IMG_20221015_135155_331.jpg
    IMG_20221015_135155_331.jpg
    722 KB · Views: 10
Watu wa Kanda ya Ziwa Kusini kumenoga Sana..

Baadhi ya majengo ya ghorofa Mjini Tunduma 👇
 

Attachments

  • IMG_20221015_082500_143.jpg
    IMG_20221015_082500_143.jpg
    1.1 MB · Views: 11
  • IMG_20221015_082130_351.jpg
    IMG_20221015_082130_351.jpg
    1.2 MB · Views: 8
  • IMG_20221015_081421_862.jpg
    IMG_20221015_081421_862.jpg
    1.2 MB · Views: 10
  • IMG_20221015_081450_452.jpg
    IMG_20221015_081450_452.jpg
    1.2 MB · Views: 8
  • IMG_20221015_071431_038.jpg
    IMG_20221015_071431_038.jpg
    1.3 MB · Views: 8
  • IMG_20221015_071403_114.jpg
    IMG_20221015_071403_114.jpg
    1.4 MB · Views: 6
  • IMG_20221015_070155_048.jpg
    IMG_20221015_070155_048.jpg
    1.5 MB · Views: 6
  • IMG_20221015_070029_378.jpg
    IMG_20221015_070029_378.jpg
    954.5 KB · Views: 6
  • IMG_20221015_062826_706.jpg
    IMG_20221015_062826_706.jpg
    1.2 MB · Views: 8
  • IMG_20221015_062825_729.jpg
    IMG_20221015_062825_729.jpg
    1.1 MB · Views: 7
Tunduma inakanyaga takataka zote za Lake Zone kasoro Mwanza..

More of Tunduma 👇
 

Attachments

  • IMG_20221015_083448_845.jpg
    IMG_20221015_083448_845.jpg
    1.1 MB · Views: 6
  • IMG_20221015_083339_149.jpg
    IMG_20221015_083339_149.jpg
    949.1 KB · Views: 7
  • IMG_20221015_082953_049.jpg
    IMG_20221015_082953_049.jpg
    1.1 MB · Views: 9
  • IMG_20221015_082934_183.jpg
    IMG_20221015_082934_183.jpg
    1 MB · Views: 8
  • IMG_20221015_080850_259.jpg
    IMG_20221015_080850_259.jpg
    979.7 KB · Views: 8
  • IMG_20221015_080744_745.jpg
    IMG_20221015_080744_745.jpg
    750.6 KB · Views: 5
  • IMG_20221015_081730_244.jpg
    IMG_20221015_081730_244.jpg
    1,007.7 KB · Views: 5
Hii ndio maana ya kuwa border ya Wajanja Tanzania nzima..

Tunduma 👇
 

Attachments

  • IMG_20221015_073825_016.jpg
    IMG_20221015_073825_016.jpg
    809.4 KB · Views: 8
  • IMG_20221015_073811_766.jpg
    IMG_20221015_073811_766.jpg
    783.6 KB · Views: 11
  • IMG_20221015_073451_925.jpg
    IMG_20221015_073451_925.jpg
    778.9 KB · Views: 9
  • IMG_20221015_073416_209.jpg
    IMG_20221015_073416_209.jpg
    1,001 KB · Views: 6
  • IMG_20221015_080804_070.jpg
    IMG_20221015_080804_070.jpg
    1.6 MB · Views: 8
  • IMG_20221015_171442_294.jpg
    IMG_20221015_171442_294.jpg
    1.4 MB · Views: 4
Mbeya inakuja kwa Kasi ya 5G.

At night 👇
 

Attachments

  • IMG_20221015_185423_504.jpg
    IMG_20221015_185423_504.jpg
    693.7 KB · Views: 7
  • IMG_20221015_185225_679.jpg
    IMG_20221015_185225_679.jpg
    624.3 KB · Views: 9
  • IMG_20221015_185035_849.jpg
    IMG_20221015_185035_849.jpg
    636.4 KB · Views: 6
  • IMG_20221015_193031_398.jpg
    IMG_20221015_193031_398.jpg
    697.8 KB · Views: 5
Back
Top Bottom