The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Huo Mkoa wanaishi kina nani? Vyuo wanajengewa wahaya peke yao?Kwan wahaya ndo wanaongoza kwa umaskini...au mkoa ndo maskini?
Wahaya wapo katika wilaya tatu tu za mkoa wa kagera wenye wilaya nane.....There is no connection kati ya wahaya na umaskini wa kagera...
Wilaya maskini zaidi mkoani kagera yaani biharamulo na ngara zote sio za wahaya..ni wasubi, washubi na wahangaza...
Bado wilaya za karagwe na kyerwa...
Hata ukijifanya mbishi...Tanzania hii wahaya ni moja ya Top jamii yenye watu wengi wa kipato cha kati na juu...Tazama hata mhaya aliyepo mtaani kwako..
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Afu VETA ni kila Mkoa na kila Wilaya 👇


